johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siyo Eritrea ndio kidume?Huku hawakupiga kura,
Wanawake juu
Uhuru alisimama kiume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Eritrea ndio kidume?Huku hawakupiga kura,
Wanawake juu
Uhuru alisimama kiume.
Unaelewa maana ya " leo"?
Ndugu MtejaWacha nijibu kwa niaba yake;
Mimi naishi dar nipo wilaya ya ilala msongola namba ya simu ni 0783721337 jana kati ya majira ya saa tatu na saa nne asubuhi umeme ulikatika na kurudi saa moja kasoro usiku pia juzi mchana kati ya majira ya saa sita ulikatika na kurudi mchana kama kwenye saa nane hatukuwa na taarifa yoyote,pia maeneo yote jirani kama kivule,kitonga,mvuti na chanika kote tulikosa umeme naomba majibu ya hili tatizo lilikuwa ni nini na kwann mlituaminisha kuwa zile siku kumi mlituaminisha kuwa kukatika kwa umeme kutakuwa ni historia?!!!! TANESCO
Ndugu Mteja
Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
TANESCO Huduma kwa Wateja
Makao Makuu
0748550000
hivi wakubwa mkikaa chini si mnaona mnapigwa kweupee...maana kama majenereta tushanunua mvua za kumwaga matengenezo mshamaliza mwambieni kipara aachie umeme tu aiseeJe ni eneo gani?Wilaya na namba ya simu tafadhali
Teteteteete we chizi kweliNimeona kupitia Al jazeera kwamba kutakuwa na hali ya upungufu wa nishati katika maeneo mbalimbali duniani kufuatia vita ya Russia na Ukraine na vikwazo vilivyowekwa.
Tanzania iko duniani ndio nauliza hii katika katika ya umeme wiki hii ni kwa sababu ya vita?
Maendeleo hayana vyama!
Mafuta tuliambiwa wameagiza mzigo wa Dec 2021 tutaanza kuona nafuu March 2022 matokeo yake wamegeuka eti vita ya Rusia na huku haina hata wikiWacheni utapeli wenu, huu umeme umewashinda muda mrefu sana, mnabahatisha tu kama mnavyobahatisha kuongoza nchi.
Maana yake ni mitano tena kwa Samia🐒🐒🐒Unaelewa maana ya " leo"?
Maeneo mengine mmefunga mita mpya, Lakin kila tukijaza umeme unaambiwa mita namba haitambuliki..Umeme hakuna week ya pili sasa hivi. shirika lenu ni uchafu mtupu hakuna kazi hapo!Je ni eneo gani?Wilaya na namba ya simu tafadhali
Kwanini ukatwe mchana,umeme usikatwe kabisa...tulisahau hizi shida za umeme kukatika hovyo.Mhe. Waziri alituaminisha kuwa utafanyika ukarabati kwa muda wa wiki mbili na umeme utarudi kama uilivyokuwa tangu zamani. Tulifurahi sana kwa kauli ya Mhe. Waziri lakini cha kushangaza mambo yamekuwa tofauti kabisa. Nitoe mfano hapa Mwanza eneo la Mwananchi. Jana umeme ulikatwa mida ya saa moja kamili za usiku na umeme ukarudi kama saa saba za usiku. Ifahamike kuwa kuanzia saa moja usiku ndiyo muda wa kutayarisha mlo wa usiku, kusali, watoto wa shule kufanya mazoezi waliopewa shuleni, n.k. sasa inakuwaje umeme unakatwa muda ambao vitu vya muhimu vinatakiwe vifanyike?. Wakati wa Hayati Mhe. Magufuli umeme ulikuwa haukatiki mbona awamu hii tunaona mambo yakiwa tofauti. Nashauri Mamlaka ya uteuzi uangalie kwa maakini nafasi ya Waziri wa Nishati na Meneja Mkuu wa Tanesco. Kwa maeneo wanapoishi wananchi wa kawaida ni vema umeme ukatwe mchana na siyo usiku.
Nyie Kongowe, Kigamboni mbona hakuna umeme..!?Je ni eneo gani?Wilaya na namba ya simu tafadhali
Wataalamu wetu wa matengenezo watafika Leo kwa utatuzi zaidiNyie Kongowe, Kigamboni mbona hakuna umeme..!?
Je ni eneo gani?Wilaya na namba ya simu tafadhali