Waziri Makamba jiuzulu, siku 10 za mgao wa umeme kupisha marekebisho zilishaisha ila umeme bado unakatika

Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

0748550000
 
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

0748550000

Afadhali hua mko active kidogo hata tunapowatukana mnakua chini kidogo, saa nyingine tumepata hasara unaweka samaki wabichi kwenye friji umeme unakatika bila taarifa ndio hasira hizo
 
Je ni eneo gani?Wilaya na namba ya simu tafadhali
hivi wakubwa mkikaa chini si mnaona mnapigwa kweupee...maana kama majenereta tushanunua mvua za kumwaga matengenezo mshamaliza mwambieni kipara aachie umeme tu aisee
 
Wacheni utapeli wenu, huu umeme umewashinda muda mrefu sana, mnabahatisha tu kama mnavyobahatisha kuongoza nchi.
 
Teteteteete we chizi kweli
 
Wacheni utapeli wenu, huu umeme umewashinda muda mrefu sana, mnabahatisha tu kama mnavyobahatisha kuongoza nchi.
Mafuta tuliambiwa wameagiza mzigo wa Dec 2021 tutaanza kuona nafuu March 2022 matokeo yake wamegeuka eti vita ya Rusia na huku haina hata wiki
 
Kiukwel nchi ipo kwenye autopilot tusipoteze muda kuhoji kiukwel wa Mungu makamba hafai hata mjumbe wa nyumba kumi kumi
 
inawezekana makamba akawa waziri mzuri ila ana u much-know mwingi. Haiwezekani waziri anawapa kiburi/jeuri tanesco halafu utegemee umeme uwe wa uhakika
 
Mi najiuliza, kwanini haya yameanza baada ya kuondoka Kalemani, Why?!!
 
Je ni eneo gani?Wilaya na namba ya simu tafadhali
Maeneo mengine mmefunga mita mpya, Lakin kila tukijaza umeme unaambiwa mita namba haitambuliki..Umeme hakuna week ya pili sasa hivi. shirika lenu ni uchafu mtupu hakuna kazi hapo!
 
Kwanini ukatwe mchana,umeme usikatwe kabisa...tulisahau hizi shida za umeme kukatika hovyo.
 
Nyie Kongowe, Kigamboni mbona hakuna umeme..!?
Wataalamu wetu wa matengenezo watafika Leo kwa utatuzi zaidi

Tahadhari
Usikanyage wala kushika waya uliokatika au kulala chini.

Wasiliana nasi kupitia kupitia kituo cha miito ya simu:-0748550000
 
Wee jamaa haupo serious keshasema mwanza,mwananchi hapo si karibia na ofisi zenu. Namba za simu unataka umtumie muamala ama
Je ni eneo gani?Wilaya na namba ya simu tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…