Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Jiue Kama umechukia yeye kuteuliwaNakubaliana na wewe huyu kipara ngoto sio anatembelea nyota ya baba yake ila baba yake anatembeza nyota yake kwa mtoto wake. Wote ni watu laghai tu wamejaliwa mdomo tu.
Mwenye mawazo mafupi uwaza majungu na kuwa na fikira zisizo fikirikaNyie hata angeteuliwa Nani, bado mngekosoa tu, hamueleweki watz, kwanza mna chuki kubwa na Samia
Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..
Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..
Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...
Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...
Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli
Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..
Aliyeweza kuendesha tanesco mpaka ikawa kwenye mrengo wa kupata faida ni Idris Rashid peke yake, maana yule alikuwa na muelekeo wa kibiashara. Mimi niliambiwa hayo na wafanyakazi wenyewe wa tanesco kipindi kile.
baadhi ya wafanyakazi wa kibongo ni hatari sana kuliko kansa.Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..
Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..
Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...
Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...
Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli
Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..
Kwanini ashindwe? Wakandarasi wapo na hela zipo kunashindikana nini? Shida ni watu kimpenda jamaa sababu alijisahau na kufunga watu bila sababuUsishangae hata vijiji vilivyobaki kuwekewa umeme vikamshinda huyu jamaa!
Na waliomundoa Idrisa ni kina nani? Kama ni wao wataanzaje kusema?Hilo ni kweli asilimia 100..
Ajabu halisemwi kabisa
Ila kama wana lengo la kuua ule mradi watakuwa hawafai kabisa, maana ni wapi tutakuja pata umeme mwingi na wa uhakika, ila naamini hata wakifanya hivyo, Mungu atatuletea mwingine wa kufanya kama JPMMakamba hana lolote ukifikiria haya,
mosi. Ndo alikuwa mpinga mradi wa bwawa la kufua umeme la mwal Nyerere na leo kapewa idara yenye huo mradi.
pili. Yeye atakuwa kawekwa lengo likiwa kuchota pesa ama kuua ule mradi wa Nyerere
Ila kama wana lengo la kuua ule mradi watakuwa hawafai kabisa, maana ni wapi tutakuja pata umeme mwingi na wa uhakika, ila naamini hata wakifanya hivyo, Mungu atatuletea mwingine wa kufanya kama JPMakamba hana lolote ukifikiria haya,
mosi. Ndo alikuwa mpinga mradi wa bwawa la kufua umeme la mwal Nyerere na leo kapewa idara yenye huo mradi.
pili. Yeye atakuwa kawekwa lengo likiwa kuchota pesa ama kuua ule mradi wa Nyerere
Ni nani alifunga watu bila sababu?Kwanini ashindwe? Wakandarasi wapo na hela zipo kunashindikana nini? Shida ni watu kimpenda jamaa sababu alijisahau na kufunga watu bila sababu
Huyo kipara ngoto muizi wa kura 2015(Tallying centre)Tangu lini akawa smart Zaid ya wizi na kupika majungu tu ndani ya chama KWA kivuli cha dingi ake.
Huyu anatumia principle ya kukaa kimya mara nyingi na kucheka cheka hovyo ila ni mficha udhaifu wake,Hebu aweke speech walau robo saa tu uone PUMBA atazotoa zisizoeleweka wala kufikirika.
Huyu KWA upishi wa majungu tu anafaa sanaa lakini si kua great thinker ktk kuwaongoza watu.
Aliyetoka alikuwa anaona sifa kuvuruga watu tena kwa kuwaoneaIla kama wana lengo la kuua ule mradi watakuwa hawafai kabisa, maana ni wapi tutakuja pata umeme mwingi na wa uhakika, ila naamini hata wakifanya hivyo, Mungu atatuletea mwingine wa kufanya kama JP
Ni nani alifunga watu bila sababu?
Hakika mkuu umenenaHuyo kipara ngoto muizi wa kura 2015(Tallying centre)Tangu lini akawa smart Zaid ya wizi na kupika majungu tu ndani ya chama KWA kivuli cha dingi ake.
Huyu anatumia principle ya kukaa kimya mara nyingi na kucheka cheka hovyo ila ni mficha udhaifu wake,Hebu aweke speech walau robo saa tu uone PUMBA atazotoa zisizoeleweka wala kufikirika.
Huyu KWA upishi wa majungu tu anafaa sanaa lakini si kua great thinker ktk kuwaongoza watu.
Kuna watu wamesahau hii picha,jamaa kakaa zake hapo sijui ni mikocheni/mlimani city anachakachua tu kura afu zinatumwa NEC
Its too early to judge someone in this short a time. Tunahitaji Waziri aneweza kufikiri strategically not operational wise. Waziri Makamba please think trategically isiingie kwenye kuayaendesha mashirika yaliyo chini yako utapoteza mwelekeo kama aliyekutangulia. Nashindwa kuelewa mwelekeo wa viongozi wa leo kazi yao kubwa ni kukagua miradi badala ya kufikiri solution zitakazopeleka nchi mbele. Fukuza huyu fukuza yule kumbe tatizo ni mwajiri mwenyewe hii sio njia sahihi ya kuongoza nchi. Ministers should think big not operational. Wamefunga nguzo mkataba ilikuwaje ooh Mkandarasi ametender high nakadhalika. Waziri mwenyewe mwalimu anahoji tender ya kiufundi mtu anafukuzwa. Hii ni ujima.Nimesoma taarifa kuwa waziri Makamba atafukuza watu umeme ukiendelea kukatika nimejikuta nasema 'yale yale'..
Makamba mashabiki wake wanampamba Sana kama mtu mwenye akili na Presidential material lakini cha ajabu anakuja na kauli zile zile za kufukuza watu..
Kalemani alikuwa anafukuza na kuhamisha Hadi wafanyakazi wa chini kabisa Tanesco but still hakuna alicho achieve..
Natamani kumshauri Makamba...Ku deal na management ya Tanesco ikiwezekana kushawishi apatikane CEO hata kutoka nje ya nchi na kuvunja bodi...
Natamani kumshauri Makamba afanye reverse ya policy ya centralisation ya mashirika ya umma yote na taasisi zake
Na shirika kama Tanesco lijiendeshe kama
Any Corporation na sio kupokea maagizo ya Utumishi au wanasiasa...
Natamani kumshauri vingi Waziri Makamba but kwa level yake naamini hakuna kipya ambacho ntaweza shauri
Kama ni smart kama anavyosemwa basi
Haya anapaswa kuyajua....na mengine mengi lakini kama hayajui na atazidi kutishia kufukuza watu na kufukuza kweli
Kwa maana ya waziri mzima kufanya kazi zinazotakiwa kufanywa na CEO wa Tanesco huku ceo wa Tanesco akiwa kama picha hana mamlaka hata ya kuajiri yeyote .. wala kupanga bajeti ya chochote bila Serikali kuu kutoa maagizo basi ..
Makamba atakuwa hana jipya ..
Na mda si mrefu tutakuwa tunasubiri aondolewe aletwe mwingine wizara hiyo
Inayo ongoza kufukuza mawaziri Tz..