Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Mbona huku ni kulalamika kusiko na sababu
Wewe ni nani pale wizarani
Keleman anaende kuzinddua nyumba mbili anasema umeme umefika tanzania nzima ndio mnayempenda
Mnapenda uongo uongo
Professionalism hautaki uongo
Makamba yuko kwenye professional sio ukanjanja
Kwa hiyo yeye hakuwepo kwenye kundi la waliomsengenya Magufuli na wakadukuliwa??
 
Huyu jamaa kiazi kweli kweli, containers pale bandarini Zina tani 34 na zinashushwa na kupakiwa kwenye semi trailers Kila siku Sasa hiyo ya tani 26 Hadi alete ya kwake ndo ibebe hiyo milango? Ndo maana liliiba mitihani Galanos wakalifutia matokeo.
Hiyo milango Ni ya Zege imetengenezewa hapohapo au?
 
Iko hivi, huyo unayemuambia sio kwamba hajui umuhuimu na cost za umeme wa maji laaaaa anajua sana tena vizuri sema tuu shida ipo kwa aliyeueanzisha huo mradi ,huyo ni wale bado wanaomuonea wivu marehemu [emoji23][emoji23][emoji23]wanaona kama magu akisifiwa kwa mazuri ni atafufuka tena .
Hahahaha roho na chuki za kishamba😅
 
Presidential material kwa kumtazama tu hana analojua 😅
Huwa nikimtizama kabla hata hajaongea kitu nabakia kuihurumia Tanzania, na kutambua kuwa hata awamu ya NNE ilipatikana katika mazingira haya ya kijima sana.
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!


Kazi ipo
 
Huyu makamba anataka awe na pesa kama rugamarila tena fasta hana muda wa subra walahi
 
Hili kaburi wamelifunga reply

 
 
Back
Top Bottom