Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Ndo maana taifa Ili liko pale pale ,Ili bwawa limeisha ongiza mapesa kibao utashangaa wanaachana nalo na kufuata Mambo mengine ,alafu iyo kazi ya kutafuta winchi kuitafuta si ni kazi ya mkandarasi au

Kama ndo ivyo basi mkandarasi anachotakiwa ni kumaliza kazi KWa MJIBU wa mkataba wake waziri acha ingiza siasa kwenye miradi ya kitaifa ambayo imewasomesha watz namber miaka 6 sasa
Mkuu ata kama mkandarasi hana lakini sio kwakusema Tanzania nzima hatuna hiyo crane ni uongo wa mchana kweupe! Yale berms pale kwenye daraja za SGR toka Station mpaka shaurimoyo yale maberms yalikuwa na uzito wa tani 90 lakini kule juu yalienda inashindika vipi kwa kitu cha uzito wa tani 26?
Screenshot_2021-11-12-11-59-49-83.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama alisemea Bungeni! walishindwa kumuuliza hili swali la maana Sana.
Mkuu pale bungeni hatuna wabunge bali tuna kundi la wala pesa za wananchi! Kichwa Ndungayi kimejaa masizi hawezi kuuliza maswali ya msingi!
 
Kuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina. Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba angedhubutu au waziri yeyote kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
Huyu mkandarasi mkubwa ni wa kukosa winchi ya kunyenyua chuma cha tan 26


Kifupi nzige wameanza kuota mabawa baada ya msimu mgumu wa 2015/2021😅😅
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Mm ninalo winchi la tani 60 niwakodishe
 
Kila anayehusika kuihujumu nchi yetu hatabaki salama,

Narudia Tena, hatabaki salama
 
Kuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina. Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba angedhubutu au waziri yeyote kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
Huyu mkandarasi mkubwa ni wa kukosa winchi ya kunyenyua chuma cha tan 26


Kambale ameanza kutoka sharubu, yaan Samia katupiga pakubwa kwahuyu jamaa!
 
Niliweka wazi kuwa Mr.Marope ni kilaza na kiazi kama vingine watu wakapinga! Ukisha pata zero kwenye masomo 7 na kuendelea tambua ni kiazi tu, ndugu yake ni Mr. Slowslow,

Hivi Mr. Marope anadhania kuwa kampuni ya ujenzi hawakufanya feasibility study na kuonesha mahitaji yote?
Hili tatizo naliona lipo Whitehouse na kwavile ndiyo limeleta hiki Kilaza na Mwizi wa awamu ya NNE kutwambia uongo!

Yaani, ukiona ikulu inaokoteza watu walioachwa kwa madhaifu waliyoyaoneaha hapo awali kisha wanakuja tena kwa kupewa sekta nyeti kama Nishati tambua hadi system yetu inakuwa ya kuhojiwa kama kweli wapo makini au nao ni whitehouse ndiyo inaamua mambo yote!

kukatikakatika kwa umeme nayo ni kilio kona zote za nchi hii nayo inahitaji maji kutoka nje ya nchi!?

Poleni Tanzania kupona kwenu huko Tanzania ni kutoa vilaza wote pasina kuangalia ngazi walizopo
 
hapo kuna kitu kinafichwa kwa kisingizio cha kukosekana Crane ya kubeba tani 26!! mwanzoni mwa miradi tunaonaga mashine na vifaa muhimu vya kazi vinapelekwa kwenye hizo kazi sasa wamecheleweshaje hiyo Crane mda wote huo wakati mrad umeanza zaid ya mwaka sasa..!!!
Je hiyo crane imehitajika ghafla baada ya uteuzi wa Makamba?
Kwa mujibu wa mkataba, je jukumu la kuleta zana ni la nani?
Muda si mrefu tutaambiwa Tz hakuna bolt na nut za kipenyo cha 100mm, zitatoka nje.
Nina wasiwasi kunaweza kuwa na 'wizi' mkubwa wa vifaa ili kudumaza mradi?
Pia isije kuwa appointment ya Makamba ni ya kimkakati ili kuua mradi. Matatizo ya ya nishati kwa ujumla ni mengi, Ila kambi imewekwa Tanesco
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Ana ujinga sana makamba kakalia majungu tu
 
Kuna watu wamezoea kuambiwa uongo
Hakuna active Operation kwa siku 420 bado mtu anataka bwana likamilike siku ioio nazani mnataka January na mama Samia wakafungue bwawa hewa kama jamaa yenu wa mapicha picha
 
Huyu ndugu MAKAMBA alipinga wakati akiwa waziri wa mazingira akidai kujenga BWAWA la nyerere athari ni kubwa kuliko faida, wakati mambo yako tofauti, hivi huyu MAKAMBA siku awe rais nchi itaelekea wapi?? Jamani muogopeni Mungu, Yani inauma Sana kwa matendo yenu ya hovyo, MAKAMBA kuongea point na kutetea hoja Yuko vzr,Ila matendo yake Sasa !!!
Nikuulize we tangu ukue kila kitu huwa unasema ndio tuu
KAPINGA Kabla sababu alternative ya Gesi ilikuwepo sasa kama Mwendazake walilazimishwa lijengwe na fedha zimetumika unataka aendelee kukataa au aendeleze kuokoa fedha za walipa kodi
 
Back
Top Bottom