Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Ccm cjui wanashida gani aisee kweli Makamba mbona majibu mepesi sana hili toto jinga kabisa
 
Wenye akili woye walipin ga mradi huu, baadaye nyie wenyewe mka Kiri kuwa ,hata Mkandarqsi hana uwezo!
Nani huyo mwenye akili aliupinga mradi huu? Huwezi kuwa na akili timamu halafu ukaupinga mradi huu. Kabla ya JPM awamu zote nne zilizo mtangulia zilitamani kuutekeleza mradi huu, tatizo likawa ukosefu wa fedha na uwoga.
 
Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba au waziri yeyote angethubutu kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.

Mama Samia Rais wangu, angalia sana huyu January, juzi kati tena tumesikia Tanesco wameingia mkataba wa USD 30 mil.. Takriban 69 bil tshs. Jamani, Mh. Rais mchunge huyu mtu, hatujakaa sawa mara gharama za kuchimba gesi tril 70.. Eeeeh eeeh, Mama yangu jamani, ebu mwangalie kwa umakini sana huyu January. Tril 70 ni gharama zote hizo kweli kwa ajili ya gesi kweli? Matrilioni hayoo jamaniiiii, OMG. Sasa kama ni tril 70, hiyo gesi hao wawekezaji si watatumia miaka 100 hadi warudishe gharama zao.. Mwanzoni tuliambiwa gharama ni tril 40 tu, ghafla imekuwa tril 70 za Tshs.
Hehe hehe! Wewe unafikiri Mama kamweka Makamba hapo kwa bahati mbaya au kwa uwezo alio nao? Ni mchoro umechorwa.
 
Watanzania kwa ujumla tumepigwa. SSH, Mulamula, Dorothy gwajima, makamba, ndalichako, doto biteko, majaliwa, mpango, mwenezi wa ccm Taifa, hii orodha majibu yake yataonekana 2025
Aliyetupiga ni nani kati ya hao?
 
Dadeki contractor analipwa trillion sita kujenga bwawa then unaambiwa hakuna crane ya kubeba tani 30 kwa hiyo kazi haiwezi kamilika kwa wakati, ningekuwa mimi Makamba ningekuwa offended vibaya sana na sababu ya kipuuzi kama hiyo na ningehakikisha crane zinanunuliwa within 24 hours na ningewaburuza kuhakikisha hakuna hata siku moja inaongezwa kumaliza kazi tuliyokubaliana , lakini kwa waziri kuongea alichoongea atakuwa very weak na haelewi anachofanya au hataki kazi ifanyike
 
Haya mambo ya kukosa umeme mbadala si yalianza kujadiliwa hata kabla ya white hair kumwaga manyanga? Umeme wa upepo vipi? au umekwama kwenye hansad za bunge.
Huko wanaona hakuna upigaji mwingi
 
Kama kweli alisema hivyo,basi kazi tunayo,jmn hizi Mambo za kupeana shukru ,kwenye Mambo nyet tunafeoishana aise.
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Tone 26 mbona ndogo Sana, zipo zimejaa tele
 
Kuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina. Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba angedhubutu au waziri yeyote kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
Huyu mkandarasi mkubwa ni wa kukosa winchi ya kunyenyua chuma cha tan 26

Akiwa Waziri wa mazingira unajua walisema nini kuhusu Bwawa hili
 
Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!

Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.

Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].

Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!

Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Huyu jamaa kiazi kweli kweli, containers pale bandarini Zina tani 34 na zinashushwa na kupakiwa kwenye semi trailers Kila siku Sasa hiyo ya tani 26 Hadi alete ya kwake ndo ibebe hiyo milango? Ndo maana liliiba mitihani Galanos wakalifutia matokeo.
 
Back
Top Bottom