Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Mkuu February anajichafua mwenyewe kwa kutumia tope la msoga area c, accompanied with race area,Yupo hapa kimkakati ili kumchafua Makamba.
#tumepigwa na kitu kizito kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu February anajichafua mwenyewe kwa kutumia tope la msoga area c, accompanied with race area,Yupo hapa kimkakati ili kumchafua Makamba.
Acha kusingizia watu uongoVasco da gama wa msoga ndiye mpanga mipango yote hiyo.
Ccm cjui wanashida gani?Si huyu aliyesema utaharibu mazingira na alishikilia msimamo hadi akaondolewa, leo ashike wizara ile mradi uendelee. Kiufupi hawataki kuona umma ukinufaika, watakosa la kuja kusema kwenye kampeni
Mkuuu punguza pressure kunywa majiEti huyu ndiye kuna watu wanampigia debe kuwa rais siku moja!
Magonjwa yapo ya aina nyingi sana humu duniani!
Nani huyo mwenye akili aliupinga mradi huu? Huwezi kuwa na akili timamu halafu ukaupinga mradi huu. Kabla ya JPM awamu zote nne zilizo mtangulia zilitamani kuutekeleza mradi huu, tatizo likawa ukosefu wa fedha na uwoga.Wenye akili woye walipin ga mradi huu, baadaye nyie wenyewe mka Kiri kuwa ,hata Mkandarqsi hana uwezo!
Du CCM NDIO IMETUFIKISHA HUKU MUNGU WALAAANI HAWA WATUAcha watafunane
Yaani hata kama Bwawa haikuwa plan kwa tulipofikia si vizuri kulitelekeza bora tumalizieSafari ya Misri ni kujadiri ahirisho la Ujenzi wa Bwawa
Hehe hehe! Wewe unafikiri Mama kamweka Makamba hapo kwa bahati mbaya au kwa uwezo alio nao? Ni mchoro umechorwa.Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba au waziri yeyote angethubutu kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
Mama Samia Rais wangu, angalia sana huyu January, juzi kati tena tumesikia Tanesco wameingia mkataba wa USD 30 mil.. Takriban 69 bil tshs. Jamani, Mh. Rais mchunge huyu mtu, hatujakaa sawa mara gharama za kuchimba gesi tril 70.. Eeeeh eeeh, Mama yangu jamani, ebu mwangalie kwa umakini sana huyu January. Tril 70 ni gharama zote hizo kweli kwa ajili ya gesi kweli? Matrilioni hayoo jamaniiiii, OMG. Sasa kama ni tril 70, hiyo gesi hao wawekezaji si watatumia miaka 100 hadi warudishe gharama zao.. Mwanzoni tuliambiwa gharama ni tril 40 tu, ghafla imekuwa tril 70 za Tshs.
Aliyetupiga ni nani kati ya hao?Watanzania kwa ujumla tumepigwa. SSH, Mulamula, Dorothy gwajima, makamba, ndalichako, doto biteko, majaliwa, mpango, mwenezi wa ccm Taifa, hii orodha majibu yake yataonekana 2025
Huko wanaona hakuna upigaji mwingiHaya mambo ya kukosa umeme mbadala si yalianza kujadiliwa hata kabla ya white hair kumwaga manyanga? Umeme wa upepo vipi? au umekwama kwenye hansad za bunge.
Makamba hawezi fika popote katika harakati zake za kuutafuta Urais, hata hawa CCM siyo wajinga kiasi hicho.Makamba anajitafutia shida tu huko mbeleni.
Anaweza akajikuta kama Membe.
Yono ana winchi lenye kuinua tani 42.5Unaelewa nini unapoambiwa winchi lenye uwezo wa tani 26?
Tone 26 mbona ndogo Sana, zipo zimejaa teleAisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi 😂.
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!
Sio JPM tena au ukiwa haupo na lako halipo [emoji28][emoji28][emoji28]Waziri Mulamula: Arab Contactors ni kampuni kubwa sana inayoheshimika!
Akiwa Waziri wa mazingira unajua walisema nini kuhusu Bwawa hiliKuna mchezo unachezwa na January, awe makini, sbb Hili Bwawa la Nyerere naona kama vile analipinga kiaina. Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba angedhubutu au waziri yeyote kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.
Huyu mkandarasi mkubwa ni wa kukosa winchi ya kunyenyua chuma cha tan 26
Huyu jamaa kiazi kweli kweli, containers pale bandarini Zina tani 34 na zinashushwa na kupakiwa kwenye semi trailers Kila siku Sasa hiyo ya tani 26 Hadi alete ya kwake ndo ibebe hiyo milango? Ndo maana liliiba mitihani Galanos wakalifutia matokeo.Aisee kwa Waziri huyo tumepigwa!
Leo bungeni amedai Tanzania nzima eti hakuna winchi lenye uwezo wa kubeba milango yenye uzito wa tani 26 ili kuziba milango iliyokuwa inachepusha maji ili ujenzi wa bwawa uendelee.
Kadai winchi hilo hadi litoke nje ya Nchi [emoji23].
Hivi huyo jamaa anatuona hamnazo eti?!
Mawinchi mamia yaliyojaa Tanzania hii ambayo hata Waturuki wa SGR wanayo kibao ajabu leo tunadanganywa eti Nchi nzima hayapo?!