Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Sasa likiisha unafikiri biashara ya mafuta si itakufa maana umeme ukiwepo maana yake mafuta ya kuendesha magenerator hayatotumika
Sio kweli
Matumizi ya umeme wa maji na mafuta bado yanahutajika bado wanahangaika na umeme wa taa sio wa viwanda
Bado tunatumia single phase maeneo mengi sasa tukiwa na bwawa tutauweza kufika 4 phase ambao utakuwa ni umeme mkubwa wa viwanda
Mafuta bado yanakaziyake nyingi tuu pia tunaweza kuuza umeme nje ya nchi
 
Wana JF,
Najuwa JUKWAA la JF ni mahala pa Watanzania wote kujieleza maoni yao bila woga. Ila unapoona member mpya ameingia siku 2 zikizopita na ameshupalia mada za aina Moja tambua kuwa ana matatizo.

Naomba muendelee ku-monitor mada za Suzy Elias zimejikita kwenye umeme na January Makamba. Ni angalizo tu
Kwa hiyo,unataka alete mada zipi?
 
Mlizoea kudanganywa na marehemu sasa mnaambiwa ukweli mnapanic wabongo bwana.
Wewe na kikundi chako ndo mliamini mnadanganywa,ata kwenye jambo linaloonekana kwa macho bado mlivaa miwani ya mbao mhakutaka kuona na kuamini,tuliambiwa bwawa haliwezekani lakini magu aliweza sgr the same achana na ndege.
 
Tunamjua ni mpiga madili tu huyo hata alomueka anajua hilo

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Sasa hamjui
Katika watu ambao ni roho za Rais Samia ni Makamba
Anamfahamu tangu akiwa Waziri chini yake mazingira iko chini ya makamu wa Rais
Makamba always ni mtu wa plans na implementation tatizo mwendazake alimuadd iwa makusudi kumchafua
 
Mkuu, wanaolalamika ni sukuma gang, wewe inabidi uwe upande wa January makamba by all means!
Yaani kuna ka kikundi naona kanapoteza tenda za ku supply material tanesco sasa wame invest kwa vijana wenye njaa waje waanzishe mada dhidi ya Makamba hawataweza
 
S
Hivi winchi ni kitu cha kusema haipo, tena waziri mzima, kabla hata ya mradi kuanza, inajulikana kila aina ya nyenzo zinazohitajika kwa kazi fulani, na hiyo ndio kazi ya mkandarasi, alafu huyo mkandarasi ana uwezo mkubwa tu. Alafu waziri anasema easily hakuna winchi, hii ni njia ya makusudi kuchelewesha mradi au kuuhujumu, imagine JPM angekuwa hai ndio Rais, hivi Makamba au waziri yeyote angethubutu kusema haya? Kwanza hii ni dharau kwa SSH.

Mama Samia Rais wangu, angalia sana huyu January, juzi kati tena tumesikia Tanesco wameingia mkataba wa USD 30 mil.. Takriban 69 bil tshs. Jamani, Mh. Rais mchunge huyu mtu, hatujakaa sawa mara gharama za kuchimba gesi tril 70.. Eeeeh eeeh, Mama yangu jamani, ebu mwangalie kwa umakini sana huyu January. Tril 70 ni gharama zote hizo kweli kwa ajili ya gesi kweli? Matrilioni hayoo jamaniiiii, OMG. Sasa kama ni tril 70, hiyo gesi hao wawekezaji si watatumia miaka 100 hadi warudishe gharama zao.. Mwanzoni tuliambiwa gharama ni tril 40 tu, ghafla imekuwa tril 70 za Tshs.
sasa makamba kafika kwenye wizara
Waziri alitekuwepo hakukodi izo winch sasa unataka afanye nini
Anapochukua jukumu la kukodi winch ni lazima siku kadhaa nitumie
Ishu ya mkataba wa 30ml tender ilitangazwa Miezi mitatu nyuma makamba nakuwa Waziri
Ishu ya Gesi anakamilisha makubaliano yaliyoanza tangu mwaka 2014 sasa unasemaje makamba haifai
Ungekuwa wewe usingetekeleza ayo Majukumu au humtaki tuu makamba wewe kama wewe
 
Sasa hamjui
Katika watu ambao ni roho za Rais Samia ni Makamba
Anamfahamu tangu akiwa Waziri chini yake mazingira iko chini ya makamu wa Rais
Makamba always ni mtu wa plans na implementation tatizo mwendazake alimuadd iwa makusudi kumchafua
Ndiyo hizi plan zake kutupa umeme wa mgawo

Ili wauze majenereta

Nashangaa kwetu umeme unakuja uck tu

Huyu jamaa dah

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kingine gharama za kuzalisha umeme kwa maji kwa unit 1 yaweza kuwa 36Tsh ila kwa gas ni 300tsh! Sasa akili ni ipi hapo?

Ukiweka ewura na kodi na takataka zingine
kwa gas unit 1 inaweza kuwa 500tshs. huku unit ya umeme wa maji ikiwa 100tsh.

Sasa hapo nani mwenye akili!? Aliyeanzisha umeme wa maji au wa gas?
Iko hivi, huyo unayemuambia sio kwamba hajui umuhuimu na cost za umeme wa maji laaaaa anajua sana tena vizuri sema tuu shida ipo kwa aliyeueanzisha huo mradi ,huyo ni wale bado wanaomuonea wivu marehemu [emoji23][emoji23][emoji23]wanaona kama magu akisifiwa kwa mazuri ni atafufuka tena .
 
Ka busara unakuja Waziri amekaa kimya ili mambo yaende wananchi wasistukie
Wananchi wanataka bwawa kijae
Hapa washajua kwa mabadiliko ya tabia ya nchi yanavoendelea dawa ni kuchelewesha tu kulijaza maji bwawa ili hata iyo March mwakani iwe sio rahisi kulijaza kwani kiwango cha maji kinaweza kisiruhusu kutokana Na ukosefu wa mvua za kutosha hivyo hii ni ku buy time tu kulihujumu bwawa,
Kongole wapigaji,kongole Maropes

Nilisema chini ya hawa ndugu zangu CCM hututafika hata kanani,, yaani wanajiangalia wenyewe na mitumbo yao,,
Katiba mpya inatakiwa sasa hivi jamani!!!
Hakuna chama kama CCM
 
Wana JF,
Najuwa JUKWAA la JF ni mahala pa Watanzania wote kujieleza maoni yao bila woga. Ila unapoona member mpya ameingia siku 2 zikizopita na ameshupalia mada za aina Moja tambua kuwa ana matatizo.

Naomba muendelee ku-monitor mada za Suzy Elias zimejikita kwenye umeme na January Makamba. Ni angalizo tu
Kama ameingia na anatoa madini aendelee, tena kama kuna mwenzake ananondo ajiunge kesho na kuzimwaga.
Tumechoka na swaga za wazee wa zamani.
Kwanza Mpinge kuwa Waziri hajasema hivyo. Na kama kasema mtetee kuwa winchi ya tani 26 haipo Tz. Ili tujue zile bandari zinazonyanyua kontena 40ft ni tani 5 tu?
 
M
Makamba anajitafutia shida tu huko mbeleni.

Anaweza akajikuta kama Membe.
Makamba mwenyewe yuko bize kutekeleza kazi yake izo kelele za makundi watu wanakosa tender wanaamisha wananchi Makamb ni Mbaya
 
But Kalemani alitangaza by November 15 maji yataanza kujazwa kwenye bwawa tena na saa alitaja. Hii ina maana waziri au mtu yeyote anaweza kusema uongo ndani ya bunge kadri anavyojisikia? Siyo nziri hii!
Mbona umeme wa rea alisema umefika kila jijini mbona vijinini huko maeneo mengi hakuna umeme kwaio tusemeje
 
Makamba anafanya kazi ilimleta hapo yaani kuja kuchelewesha na kama siyo kuja kuua mradi wote mtaona tuu maji yalikuwa yajazwe mwezi huu JPM dead na Kalema out kazi iendelee KAZI IPI IENDELEE??? YA UHUJUMU NA UPIGAJI hamkuelewa Samia alisema tu Kazi iendelee yaaah mazozo wakalifurahia neno bila kujua maana yake poleni
Mbona huku ni kulalamika kusiko na sababu
Wewe ni nani pale wizarani
Keleman anaende kuzinddua nyumba mbili anasema umeme umefika tanzania nzima ndio mnayempenda
Mnapenda uongo uongo
Professionalism hautaki uongo
Makamba yuko kwenye professional sio ukanjanja
 
Llawama zote atapewa makamba
Watu wanapenda mambo ya zimamoto
Nchi inatakiwa iendeshwe kwa mikakati
Haya mambo ya kukosa umeme mbadala si yalianza kujadiliwa hata kabla ya white hair kumwaga manyanga? Umeme wa upepo vipi? au umekwama kwenye hansad za bunge.
 
Back
Top Bottom