Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi

Kwa hiyo yeye hakuwepo kwenye kundi la waliomsengenya Magufuli na wakadukuliwa??
 
Huyu jamaa kiazi kweli kweli, containers pale bandarini Zina tani 34 na zinashushwa na kupakiwa kwenye semi trailers Kila siku Sasa hiyo ya tani 26 Hadi alete ya kwake ndo ibebe hiyo milango? Ndo maana liliiba mitihani Galanos wakalifutia matokeo.
Hiyo milango Ni ya Zege imetengenezewa hapohapo au?
 
Hahahaha roho na chuki za kishambaπŸ˜…
 
Presidential material kwa kumtazama tu hana analojua πŸ˜…
Huwa nikimtizama kabla hata hajaongea kitu nabakia kuihurumia Tanzania, na kutambua kuwa hata awamu ya NNE ilipatikana katika mazingira haya ya kijima sana.
 


Kazi ipo
 
Huyu makamba anataka awe na pesa kama rugamarila tena fasta hana muda wa subra walahi
 
Hili kaburi wamelifunga reply

 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…