Waziri Makamba na mitungi ya Taifa Gas

Unaweza kuta n kampuni yake Rostam yuko Kama ageresha au bosheni tu
 
Usikute kapewa free na Rostam
 
Serikali imejaa mafisadi watupu
 
Kwa namna ulivyouliza. Inaonekana hata kama angetumia mitungi mingine bado ungehoji
 
Angekua na hisa huko na jinsi mlivyokua mmempania, mngekua mshaweka wazi hadharani
 
Mazingira hayatakua salama kama hakutokua na kipimo Cha chini.

Mkaa unatumika sana ,sio kwa sababu ni Bei nafuu.

Mkaa ni ghali Kuriko Gas, sema nafuu yake Kuna kipimo hadi Cha 1000.
Mkaa ni ghali kuliko gesi? Kivpi?
 

Januari Makamba Kama gas iliyopo kwenye hii mitungi ya Taifa gas itaisha , hao ulio wapa wataruhusiwa kwenda kununua gas Kwenye kampuni ya Orxy kwa kutumia mitungi ya Taifa gas? Nimeuliza tu.​

 
Huyu mpuuzi anafanya siasa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…