Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Oyaaa, Waziri wa Nishati na Mfia Keyboard Sijui nani tasa wa akili?
nilishakataza mashoga kuni-qoute comments zangu, wenzako hawakukuambia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaaa, Waziri wa Nishati na Mfia Keyboard Sijui nani tasa wa akili?
Basi nenda kapost kisiwani uone mwenyewe 😂😂nilishakataza mashoga kuni-qoute comments zangu, wenzako hawakukuambia?
Basi nenda kapost kisiwani uone mwenyewe [emoji23][emoji23]
It's a public discussion halafu hautaki discussion. Haa haa. And I am a moron?Moron
It's a public discussion halafu hautaki discussion. Haa haa. And I am a moron?
Clown.
Ile ilikuwa nyota ya Magufuli,Wewe una chuki zako tu za hovyo. Makamba ni waziri mzuri sana na hajawahi kushindwa katika wizara yoyote. Kumbuka yeye ndie aliyefanikisha suala la kuondoa mifuko ya plastiki bila hata kumuumiza au kumfunga yoyote. Wewe maumivu yako ni kwa Kalemani kuondolewa pale na si vinginevyo.
Kalemani ndiyo aliyefyeka pori na kufanya mobilization zote.Waziri Bora Kabisa Kuliko Kina Kalemani
Wazungu kuweka hela nyingi hivyo kirahisi ni matokeo ya wao ku collude na corrupt African leaders kwenye Project. Washachora ramani watanufaika zaidi na Guarantor ni waziri.Kwenye wizara ya Mazingira alihakikisha hakuna mifuko ya plastiki na kazi nyingi tu za alama. Hapa kwenye nishati the fact kwamba as a minister of wazungu wamekubali kuweka $40B kwenye LNG Lindi, mradi mkubwa katika historia ya nchi.
Haya mradi mkubwa wa solar East Africa unaanza June, haya biggest investment in grid ever inafanyika sasa hivi. Bado vijiji 2000 tu nchi nzima kufikiwa na umeme.
Sooo talk your shit. But its probably hate driven.
😂😂
Soo
Pamoja wa wizara ya utaliiMwambieni hiyo wizara haijawahi poa Kwa waziri yeyote, na ndo wizara inayoongoza Kwa kushikwa na mawaziri wengi.
Fafanuaduh aiseee