Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Wazungu kuweka hela nyingi hivyo kirahisi ni matokeo ya wao ku collude na corrupt African leaders kwenye Project. Washachora ramani watanufaika zaidi na Guarantor ni waziri.

Hapo kitakachotokea ni waziri kukatiwa 10% ya fedha hizo ili asaini mkataba na hio Gas iibiwe for insane number of years. Tunawajua na hio michezo yao
So ulitaka hiyo project isifanikiwe? Can u imagine itaingiza sh ngapi kwenye uchumi na mzunguko wa fedha kwa ujumla? Tuache chuki tutoe alternatives. Hii tabia ya kila project kusema kuna wizi au kuita watu waliotuzidi uwezo kuwa ni wezi ni tabia ya sadists tuiache na tujifunze kufurahia mafanikio ya wenzetu

Kwa taarifa yako asilimia 10 ya Trillion 90 ni Trillion 9! Hiyo hela tu ikiingia kwenye mzunguko itabadili maisha ya watu kwa malaki mtaani. Tuache chuki
 
Wazungu kuweka hela nyingi hivyo kirahisi ni matokeo ya wao ku collude na corrupt African leaders kwenye Project. Washachora ramani watanufaika zaidi na Guarantor ni waziri.

Hapo kitakachotokea ni waziri kukatiwa 10% ya fedha hizo ili asaini mkataba na hio Gas iibiwe for insane number of years. Tunawajua na hio michezo yao
Ingekuwa ni rahisi wangeshaweka hela kitaaaambo
 
Makamba kubali tuu kwamba you don't fit kwenye hiyo position uliyopo, mipasho ya nini?
Mkiambiwa kweli mnasema. Mipasho. Tanesco inaelekea kukaa sawa sasa hivi kuliko wakati wowote.

Nimeshangaa nilipowapigia simu ya dharura Tanesco.

Kwanza nimejibiwa vizuri, nikatumiwa namba ya complaint kwa message, haikupita lisaa limoja nikapigiwa simu na mtu wa Tanesco kuhakiki anuani ya kwenye tatizo, haikupita muda nikapigiwa na mafundi wananambia tutafika kwenye tukio baada ya nusu saa.

Kweli, ndani ya nusu saa naona umeme umerudi, wakanipigia tena mafundi kuniuliza kama tatizo linaendelea, nikawaambia hakuna tatizo umeme umerudi, wakanambia vizuri, tumetatua tatizo dogo kwenye transformer yenu.

Hayajawahi kuonekana hayo Tanzania hii, ni kwa mara ya kwanza nayashuhudia. Tena nupo kijijini siyo mjini.

Makamba anaitendea haki wizara hiyo. Mwenye chuki ajinyonge.
 
Wewe una chuki zako tu za hovyo. Makamba ni waziri mzuri sana na hajawahi kushindwa katika wizara yoyote. Kumbuka yeye ndie aliyefanikisha suala la kuondoa mifuko ya plastiki bila hata kumuumiza au kumfunga yoyote. Wewe maumivu yako ni kwa Kalemani kuondolewa pale na si vinginevyo.
Mhmmmmmmm, alijifungia kupindisha matokeo ya kura za Urais mwaka 2015 kule Mikocheni.
 
Mkiambiwa kweli mnasema. Mipasho. Tanesco inaelekea kukaa sawa sasa hivi kuliko wakati wowote.

Nimeshangaa nilipowapigia simu ya dharura Tanesco.

Kwanza nimejibiwa vizuri, nikatumiwa namba ya complaint kwa message, haikupita lisaa limoja nikapigiwa simu na mtu wa Tanesco kuhakiki anuani ya kwenye tatizo, haikupita muda nikapigiwa na mafundi wananambia tutafika kwenye tukio baada ya nusu saa.

Kweli, ndani ya nusu saa naona umeme umerudi, wakanipigia tena mafundi kuniuliza kama tatizo linaendelea, nikawaambia hakuna tatizo umeme umerudi, wakanambia vizuri, tumetatua tatizo dogo kwenye transformer yenu.

Hayajawahi kuonekana hayo Tanzania hii, ni kwa mara ya kwanza nayashuhudia. Tena nupo kijijini siyo mjini.

Makamba anaitendea haki wizara hiyo. Mwenye chuki ajinyonge.
Lakini wewe ulipinga ujenzi wa bwawa
 
Wewe una chuki zako tu za hovyo. Makamba ni waziri mzuri sana na hajawahi kushindwa katika wizara yoyote. Kumbuka yeye ndie aliyefanikisha suala la kuondoa mifuko ya plastiki bila hata kumuumiza au kumfunga yoyote. Wewe maumivu yako ni kwa Kalemani kuondolewa pale na si vinginevyo.
Kwenda zako bwana. Hizi ni hoja za kizembe sana kutetea haiba ya mtu. Kwahiyo akiingia waziri akakataza viroba automatically anakuwa the best?

Hizi ni hoja hafifu. Huyu mtu ana tuhuma nyingi sana za ubadhirifu wa pesa za umma so ni ngumu at this point kuassume at ni chuki binafsi bali kuna something very fishy going on behind that fake good government official face of his.

Time will reveal all that is hidden.
 
Kwenda zako bwana. Hizi ni hoja za kizembe sana kutetea haiba ya mtu. Kwahiyo akiingia waziri akakataza viroba automatically anakuwa the best?

Hizi ni hoja hafifu. Huyu mtu ana tuhuma nyingi sana za ubadhirifu wa pesa za umma so ni ngumu at this point kuassume at ni chuki binafsi bali kuna something very fishy going on behind that fake good government official face of his.

Time will reveal all that is hidden.
Huyu ni Waziri jangili kabisa kuwahi kutokea
 
Wakati wa Utawala wa Mkapa hakuna kiongozi aliekuwa anachukiwa kama Sumaye....kila lawama Sumaye..
Ufisadi ukatungwa anamiliki shirika la ndege n.k...

Kumbe yote yalikuwa uwongo....mtupu..alibatizwa jina Zero...Kwa chuki tu...

Hatari sana
Sababu za Sumaye na huyu ni tofauti.
 
Back
Top Bottom