Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mbona Kalemani halikuwa hasemwi? hafai hata kidogo ni mwizi wala hana loloteMakamba kubali tuu kwamba you don't fit kwenye hiyo position uliyopo, mipasho ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Kalemani halikuwa hasemwi? hafai hata kidogo ni mwizi wala hana loloteMakamba kubali tuu kwamba you don't fit kwenye hiyo position uliyopo, mipasho ya nini?
So ulitaka hiyo project isifanikiwe? Can u imagine itaingiza sh ngapi kwenye uchumi na mzunguko wa fedha kwa ujumla? Tuache chuki tutoe alternatives. Hii tabia ya kila project kusema kuna wizi au kuita watu waliotuzidi uwezo kuwa ni wezi ni tabia ya sadists tuiache na tujifunze kufurahia mafanikio ya wenzetuWazungu kuweka hela nyingi hivyo kirahisi ni matokeo ya wao ku collude na corrupt African leaders kwenye Project. Washachora ramani watanufaika zaidi na Guarantor ni waziri.
Hapo kitakachotokea ni waziri kukatiwa 10% ya fedha hizo ili asaini mkataba na hio Gas iibiwe for insane number of years. Tunawajua na hio michezo yao
Ingekuwa ni rahisi wangeshaweka hela kitaaaamboWazungu kuweka hela nyingi hivyo kirahisi ni matokeo ya wao ku collude na corrupt African leaders kwenye Project. Washachora ramani watanufaika zaidi na Guarantor ni waziri.
Hapo kitakachotokea ni waziri kukatiwa 10% ya fedha hizo ili asaini mkataba na hio Gas iibiwe for insane number of years. Tunawajua na hio michezo yao
Wakati wa jiwe nani alikuwa na uthubutu wa kusema chochote??Mbona Kalemani halikuwa hasemwi? hafai hata kidogo ni mwizi wala hana lolote
Pamoja na mabaya yake lakini kwenye umeme aliweza sn hakuna kukatwa na kufungiwa ni dani siku 2 tena kwa 27,000, sahivi umeme kula giza ni kawaida na siyo ajabu ajabu ni kulala usiku ukakuta umeme upo haujakatika.Wakati wa jiwe nani alikuwa na uthubutu wa kusema chochote??
Kalemani kilichomtoa ni udini na ukandaNamkumbuka Kalimani,alifanya makubwa Ila basi tu!!
Mkiambiwa kweli mnasema. Mipasho. Tanesco inaelekea kukaa sawa sasa hivi kuliko wakati wowote.Makamba kubali tuu kwamba you don't fit kwenye hiyo position uliyopo, mipasho ya nini?
Mhmmmmmmm, alijifungia kupindisha matokeo ya kura za Urais mwaka 2015 kule Mikocheni.Wewe una chuki zako tu za hovyo. Makamba ni waziri mzuri sana na hajawahi kushindwa katika wizara yoyote. Kumbuka yeye ndie aliyefanikisha suala la kuondoa mifuko ya plastiki bila hata kumuumiza au kumfunga yoyote. Wewe maumivu yako ni kwa Kalemani kuondolewa pale na si vinginevyo.
Na wewe uliufyata kumwogopa jiwe?Wakati wa jiwe nani alikuwa na uthubutu wa kusema chochote??
Lakini wewe ulipinga ujenzi wa bwawaMkiambiwa kweli mnasema. Mipasho. Tanesco inaelekea kukaa sawa sasa hivi kuliko wakati wowote.
Nimeshangaa nilipowapigia simu ya dharura Tanesco.
Kwanza nimejibiwa vizuri, nikatumiwa namba ya complaint kwa message, haikupita lisaa limoja nikapigiwa simu na mtu wa Tanesco kuhakiki anuani ya kwenye tatizo, haikupita muda nikapigiwa na mafundi wananambia tutafika kwenye tukio baada ya nusu saa.
Kweli, ndani ya nusu saa naona umeme umerudi, wakanipigia tena mafundi kuniuliza kama tatizo linaendelea, nikawaambia hakuna tatizo umeme umerudi, wakanambia vizuri, tumetatua tatizo dogo kwenye transformer yenu.
Hayajawahi kuonekana hayo Tanzania hii, ni kwa mara ya kwanza nayashuhudia. Tena nupo kijijini siyo mjini.
Makamba anaitendea haki wizara hiyo. Mwenye chuki ajinyonge.
Hivi huyu jamaa ni mpare kwani?! Si najua ni watu wa Tanga huko?!Wapare wanategemea nguvu za giza, sasa hawajui kuwa Mungu anatawala,
Ukimtoa James Rugemalira na Prof Musa Assad kuna mtu mwingine ambaye hakuufyata?Na wewe uliufyata kumwogopa jiwe?
Kwenda zako bwana. Hizi ni hoja za kizembe sana kutetea haiba ya mtu. Kwahiyo akiingia waziri akakataza viroba automatically anakuwa the best?Wewe una chuki zako tu za hovyo. Makamba ni waziri mzuri sana na hajawahi kushindwa katika wizara yoyote. Kumbuka yeye ndie aliyefanikisha suala la kuondoa mifuko ya plastiki bila hata kumuumiza au kumfunga yoyote. Wewe maumivu yako ni kwa Kalemani kuondolewa pale na si vinginevyo.
Huyu ni Waziri jangili kabisa kuwahi kutokeaKwenda zako bwana. Hizi ni hoja za kizembe sana kutetea haiba ya mtu. Kwahiyo akiingia waziri akakataza viroba automatically anakuwa the best?
Hizi ni hoja hafifu. Huyu mtu ana tuhuma nyingi sana za ubadhirifu wa pesa za umma so ni ngumu at this point kuassume at ni chuki binafsi bali kuna something very fishy going on behind that fake good government official face of his.
Time will reveal all that is hidden.
Sababu za Sumaye na huyu ni tofauti.Wakati wa Utawala wa Mkapa hakuna kiongozi aliekuwa anachukiwa kama Sumaye....kila lawama Sumaye..
Ufisadi ukatungwa anamiliki shirika la ndege n.k...
Kumbe yote yalikuwa uwongo....mtupu..alibatizwa jina Zero...Kwa chuki tu...
Hatari sana