Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Simfahamu huyo "kalema". Sisi kijijini kwetu tumepata umeme wa tanesco mwaka huu.

Ahsante mama, ahsante January.
Migodi inapelekewa umeme wa gridi, Kigoma imewashwa, ma transmission line kibao yanajengwa. Nikonnect unapata umeme in one day, hamna vishoka, kuna mambo makubwa kibao yanafanyika, watu wamekaza tu umeme umeme. 😁😁
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
Tuondoleeni kwanza mita zenu za mchongo zinazo tulaza giza kila siku usiku.
 
Mkiambiwa kweli mnasema. Mipasho. Tanesco inaelekea kukaa sawa sasa hivi kuliko wakati wowote.

Nimeshangaa nilipowapigia simu ya dharura Tanesco.

Kwanza nimejibiwa vizuri, nikatumiwa namba ya complaint kwa message, haikupita lisaa limoja nikapigiwa simu na mtu wa Tanesco kuhakiki anuani ya kwenye tatizo, haikupita muda nikapigiwa na mafundi wananambia tutafika kwenye tukio baada ya nusu saa.

Kweli, ndani ya nusu saa naona umeme umerudi, wakanipigia tena mafundi kuniuliza kama tatizo linaendelea, nikawaambia hakuna tatizo umeme umerudi, wakanambia vizuri, tumetatua tatizo dogo kwenye transformer yenu.

Hayajawahi kuonekana hayo Tanzania hii, ni kwa mara ya kwanza nayashuhudia. Tena nupo kijijini siyo mjini.

Makamba anaitendea haki wizara hiyo. Mwenye chuki ajinyonge.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Masikini tz!

Yani simu ya watu wa dharura wanakuja baada ya saa moja na nusu kupita alafu unajisifia?

Kama nyumba ilikuwa inataka kuungua huoni kama wangekuta majivu?
 
Wewe udini utakua ni bibi mzima lakini huna akili, tetea maslahi ya nchi, 2025 utaona hatutaki waislamu tena
Kumbe tatizo lako ni Uislam?

Inabidi uustahimilie tu, ndiyo unao Tanzania hii na unazidi kushamiri.

Uislam ni mwema sana, usiuogope.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Masikini tz!

Yani simu ya watu wa dharura wanakuja baada ya saa moja na nusu kupita alafu unajisifia?

Kama nyumba ilikuwa inataka kuungua huoni kama wangekuta majivu?
Sikuwapigia kwa tatizo la nyumba kutaka kuunguwa, nimewapigia kwa tatizo la kukosa umeme.


Siku nyingine ukiona nyumba inataka kuunguwa, kwanza anza kwa kuwapigia fire, halafu ndiyo wengine.

Upo hapo ulipo?
 
Sikuwapigia kwa tatizo ka nyumba kutaka kuunguwa, nimewapigia kwa tatizo la kukosa umeme.


Siku nyingine ukiona nyumba inataka kuunguwa, kwanza anza kwa kuwapigia fire, halafu ndiyo wengine.

Upo hapo ulipo?
Sasa huoni kama hapo tayari kuna shida?

Vipi hilo tatizo la kukosa umeme kwako lingesababisha shoti na kuunguza nyumba sababu ya watu wa dharura wamekuja kwa kuchelewa?

Watu wa dharura inatakiwa wafike chini ya dk 15 nje na hapo ni uharo tu.

Upo hapo ulipo?
 
Sasa huoni kama hapo tayari kuna shida?

Vipi hilo tatizo la kukosa umeme kwako lingesababisha shoti na kuunguza nyumba sababu ya watu wa dharura wamekuja kwa kuchelewa?

Watu wa dharura inatakiwa wafike chini ya dk 15 nje na hapo ni uharo tu.

Upo hapo ulipo?
Dakika 15 eeh, atafikia huko, tumuongezee bajeti.
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
Ni kuwapuuza tuu uzuri Historia itaandikwa mikononi mwake..

Atasema nilisimamia bwawa la Nyerere
Nilisimamia mapinduzi ya Nishati Tanzania
Nilisimamia ndoto ya Tanzania kuwa na mradi mkubwa kabisa wa LNG Africa

Hii tuu ni credit kubwa kabisa kwake na historia itamuandika hivyo..

Cha Kuombea ni Rais Samia asikubadilishe Wizara hata baada ya 2025 Ili uandike historia vizuri na kuondoa ule ukakasi wa Mawaziri wa Nishati kutodumu..
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
Sawa nitamsaidia kugawa mitungi ya gesi kwa madiwani ili wamsifu zaidi.
 
Back
Top Bottom