Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Makamba ni Tanga siyo mpareHivi huyu jamaa ni mpare kwani?! Si najua ni watu wa Tanga huko?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba ni Tanga siyo mpareHivi huyu jamaa ni mpare kwani?! Si najua ni watu wa Tanga huko?!
Njoo mimi nitakubeba ila kwenye toroli sasa.Kwenye maisha ya kawaida kila mtu anatamani kubebwa,kila mtu anatamani kufika sehemu fulani ya mafanikio!!
Swali langu Kwako,Je ungepata fursa ya kupata mtu wa kukubeba ungekataa?
Hata mimi,natamani nipate mtu aweze kunibeba lakini sina?,tuache wivu jamani kila mtu na bahati yake!!
Hawezi pata, kashachafuka huyu.Halafu yeye anautaka urais wa nchi hii
Udini tu unakusumbua hakuna lolote, tunalala giza kila siku tena Arusha, labda hakati kwa waislamu wenzake, Arusha hatutaki hata kumuona, kufungua umeme sahivi imekuwa ni hisani na siyo huduma hata kama nguzo ipo kwako na umelipa 320,000Mkiambiwa kweli mnasema. Mipasho. Tanesco inaelekea kukaa sawa sasa hivi kuliko wakati wowote.
Nimeshangaa nilipowapigia simu ya dharura Tanesco.
Kwanza nimejibiwa vizuri, nikatumiwa namba ya complaint kwa message, haikupita lisaa limoja nikapigiwa simu na mtu wa Tanesco kuhakiki anuani ya kwenye tatizo, haikupita muda nikapigiwa na mafundi wananambia tutafika kwenye tukio baada ya nusu saa.
Kweli, ndani ya nusu saa naona umeme umerudi, wakanipigia tena mafundi kuniuliza kama tatizo linaendelea, nikawaambia hakuna tatizo umeme umerudi, wakanambia vizuri, tumetatua tatizo dogo kwenye transformer yenu.
Hayajawahi kuonekana hayo Tanzania hii, ni kwa mara ya kwanza nayashuhudia. Tena nupo kijijini siyo mjini.
Makamba anaitendea haki wizara hiyo. Mwenye chuki ajinyonge.
Atawekwa na majangili ya nchi kama yalivyomweka pale TANESCOHawezi pata, kashachafuka huyu.
Huyu ni Waziri jangili kabisa kuwahi kutokea
Ha! Eti jangili. Kwa tuhuma. Tuhuma za mitandaoni. Kutokana na nini labda.Huyu ni Waziri jangili kabisa kuwahi kutokea
Mwenzake umeme ilikuwa ni full leo umeme ni hisani kukesha naoHa! Eti jangili. Kwa tuhuma. Tuhuma za mitandaoni. Kutokana na nini labda.
Kwani huyo January mwenyewe anasemaje? 🤣🤣
View attachment 2643311
Ongeeni sana ila kisasi ni MATOKEO. Ingawa mnajifanya hamyaoni matokeo. 🤔
View attachment 2643311
Karma is real.
Uliufyata ukiwa wapi?Ukimtoa James Rugemalira na Prof Musa Assad kuna mtu mwingine ambaye hakuufyata?
[emoji1][emoji1]Mwenzake umeme ilikuwa ni full leo umeme ni hisani kukesha nao
Joka la MdimuNdo itokee bahati mbaya awe Rais, watu watajuta
Isikilize hotuba ya Makamba, tatizo la kukatika umeme baadhi ya maeneo litaendelea kutatuliwa kidogo kidogo mpaka liishe, kasema wazi, hawezi kuahidi kuwa litaisha nchi nzima kwa mwaka huu.Udini tu unakusumbua hakuna lolote, tunalala giza kila siku tena Arusha, labda hakati kwa waislamu wenzake, Arusha hatutaki hata kumuona, kufungua umeme sahivi imekuwa ni hisani na siyo huduma hata kama nguzo ipo kwako na umelipa 320,000
Wahuni hawa wapo KiAgenda zaidi.Isikilize hotuba ya Makamba, tatizo la kukatika umeme baadhi ya maeneo litaendelea kutatuliwa kidogo kidogo mpaka liishe, kasema wazi, hawezi kuahidi kuwa litaisha nchi nzima kwa mwaka huu.
Huo ndiyo ukweli.
Mbona kipindi cha Kalema umeme ulikuwa haukatiki hovyo? kwanini bei ya umeme imepanda(27,000 -320,000) na unakatika hovyo? mbona Zanzibar bei ya umeme ipo chini na wakati Unguja ni mjini kama ilivyo Morogoro?Isikilize hotuba ya Makamba, tatizo la kukatika umeme baadhi ya maeneo litaendelea kutatuliwa kidogo kidogo mpaka liishe, kasema wazi, hawezi kuahidi kuwa litaisha nchi nzima kwa mwaka huu.
Huo ndiyo ukweli.
Huyu memuo ni ngumu kumtetea hata kdgWahuni hawa wapo KiAgenda zaidi.
Unaishi wapi jombaa. Huku kwetu Changanyikeni tunatiririka tu mbona.Mwenzake umeme ilikuwa ni full leo umeme ni hisani kukesha nao
If you are objective it's very easy. If you have personal thingiii, that is tough.Huyu memuo ni ngumu kumtetea hata kdg
Naishi Tz hapa hapa, acha kutetea ujinga, huyu mtu wenu hatumtakiUnaishi wapi jombaa. Huku kwetu Changanyikeni tunatiririka tu mbona.
Halafu do not be narrow minded. Tanesko ni sehemu kidunchu sana ya Wizara ya Nishati.
Simfahamu huyo "kalema". Sisi kijijini kwetu tumepata umeme wa tanesco mwaka huu.Mbona kipindi cha Kalema umeme ulikuwa haukatiki hovyo? kwanini bei ya umeme imepanda(27,000 -320,000) na unakatika hovyo? mbona Zanzibar bei ya umeme ipo chini na wakati Unguja ni mjini kama ilivyo Morogoro?