Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

huyu jamaa simkubali kama kiongozi kwa namna yoyote ile. huwenda hata kama angepewa ubalozi wa nyumba kumi mtaani kwetu bado nisinge mkubali.
Nafsi yangu inaona ni kama mtu aliyebebwabebwa tu kwa nguvu kubwa ya mzazi wake napata tabu kukubali kama anaweza kuwa na maarifa ya kutosha katika taifa hili lenye watu zaidi ya milioni 60.
we hata mume wako humkubali utamkubali naye?
 
Hata kwenye gas ya Mtwara mlijitapa hivi hivi na mkaenda mbali sana mkasema Kukatika umeme Tanzania itakuwa historia.Mnatufanya mazezeta lakini historia hujiandika kwa matendo na maneno yenu.
Kwani ni nani amesababisha tushindwe kutumia bomba la gas ya Mtwara to its fullest potential?
 
Ungeyataja hayo aliyofanya makubwa
senge hilo linatafuta mabwana kinguvu kuleta kashfa hapa. Ukute hata boxer aliyovaa ni mabaki kutoka kwa shemeji yake anaemlala dada yake. Kapata jero ya kifurushi iliyobaki kwenye mkate aliotumwa maneno ya shombo yanamtoka hapa badala kwenda kupiga kiwi viatu vya shemeji yake.
 
Wewe una chuki zako tu za hovyo. Makamba ni waziri mzuri sana na hajawahi kushindwa katika wizara yoyote. Kumbuka yeye ndie aliyefanikisha suala la kuondoa mifuko ya plastiki bila hata kumuumiza au kumfunga yoyote. Wewe maumivu yako ni kwa Kalemani kuondolewa pale na si vinginevyo.
Mbona unachanganya mambo? Wangapi itabidi uwahusishe na Mapenzi yao kwa Kalemani ili hali uzi haujamhusisha Kalemani?

Uzuri na umakini kwa Makamba ni upi?

Kuwazunguka watanzania na kuwa adui na kupinga ujenzi wa JKNHP kwamba ni uharifu na uharibifu wa mazingira siyo?

Kwa nini hakuweza kupinga na ama kuiandikia dunia uharibifu wa mazingira ujenzi wa bwawa la Ethiopia?
 
Kama hafai mje na facts

inakuaje Generator ya Uwanja wa Taifa ikizimika katikati ya mechi ahusishwe Waziri wa Nishati

kama Umeme umekatika ndani ya Ubunge kwa hitilafu za Jengo ahusishwe Waziri wa Nishati?

Tabia yenu ya kumshambulia kwa hoja nyepesi nyepesi mara mtu akifa ofisi ya CAG basi akitajwa yeye kahusika basi nasi tuamini kichwa kichwa …hapana

Makamba sio chaguo langu lakini pia sikubali mtu kuchafuliwa

nilikuwa simkubali Lowassa lakini pia nilikuwa sikubali Siasa chafu dhidi yake
Unataka wamshambulia Waziri wa Afya au Elimu kuhusu kukatika kwa umeme?Hivi mnatumia nini kufikiri?Umeme kukatika katika hovyo bila utaratibu imekuwa ni desturi chini ya wizara yake.
 
Ndiyo maana mahali popote pale watu wakikwambia wewe ni MSWAHILI ujue umetukanwa sana mnaleta uswahili uswahili kwenye mambo ya msingi.
Kwanza kalaumu yule marehemu wenu ndio alitelekeza mradi saizi ungekuwa uko kwenye utekelezaji..
 
Kwenye wizara ya Mazingira alihakikisha hakuna mifuko ya plastiki na kazi nyingi tu za alama. Hapa kwenye nishati the fact kwamba as a minister of wazungu wamekubali kuweka $40B kwenye LNG Lindi, mradi mkubwa katika historia ya nchi.

Haya mradi mkubwa wa solar East Africa unaanza June, haya biggest investment in grid ever inafanyika sasa hivi. Bado vijiji 2000 tu nchi nzima kufikiwa na umeme.

Sooo talk your shit. But its probably hate driven.

😂😂



Soo
Suala la mifuko ya plastiki lilikuwa ni msukumo wa JPM

Lakini nilipomsikiliza jana juu ya kukatika kwa umeme,nilimuelewa.Naamini ni kiongozi mzuri.Tumpe muda.
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
makamba hatakiwi kupewa uwaziri wowote hapa nchini. basi tu sijui kwanini.
 
senge hilo linatafuta mabwana kinguvu kuleta kashfa hapa. Ukute hata boxer aliyovaa ni mabaki kutoka kwa shemeji yake anaemlala dada yake. Kapata jero ya kifurushi iliyobaki kwenye mkate aliotumwa maneno ya shombo yanamtoka hapa badala kwenda kupiga kiwi viatu vya shemeji yake.
Matusi yote haya kwa sababu ya mtu kutoa maoni na mtazamo wake?
 
Kama kwa "mdini" unamaanisha Mujslam, jweli kabusa, najivunia Uislam wangu.


Pia najivunia kuwa na Rais mama wa Kiislaam.

Ma shaa Allah.
Acha basi kutia watu hasira sio vizuri kuwa mtu wa stara na kujali hisia za wengine. Mtu akionyeshwa kukerwa na kauli au maneno yako basi fanya kama kupunguza ukali wa maneno ili asiumie zaidi. Mbona haya mafunzo yapo wazi kabisa we mdada aiseeee khaaaaaah?!
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
Future president umeeleweka vyema.
 
Back
Top Bottom