Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

Waziri Makamba: Ninatukanwa sana lakini nitalipa kisasi kwa matokeo

"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
Mbona yeye alikuwa anamsema Magufuli na kumfanyia fitina? Utaratibu ni ule ule
 
Sele naona umekuja kujitetea….🤣🤣

How many burner accounts do you have?
Haven't contributing in this place for ages. Nasoma lakini.😂😂.. Discourse imekuwa watered down kidoogo Au?


Account ni hii tu.
 
huyu jamaa simkubali kama kiongozi kwa namna yoyote ile. huwenda hata kama angepewa ubalozi wa nyumba kumi mtaani kwetu bado nisinge mkubali.
Nafsi yangu inaona ni kama mtu aliyebebwabebwa tu kwa nguvu kubwa ya mzazi wake napata tabu kukubali kama anaweza kuwa na maarifa ya kutosha katika taifa hili lenye watu zaidi ya milioni 60.

Acha wivu na roho mbaya, maisha umeyakosea mwenyewe.
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Kwa kuwa anaendeleza legacy kupitia ujenzi wa bwawa la mwalimu Nyerere, tunaweza kumuelewa kiasi fulani.
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
January ukimpa hiyo wizara hadi 2030, atakuja na hizo ngonjera tu za kila siku kwamba tupeni muda ,michakato inaendela ,mtuamini , ..mtu umekaa karibia 3 years bado unaimba taarabu
 
"Siku moja hapa umeme umekatika Bungeni, kumetokea hitilafu. Ghafla bwana “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe kuja kuchunguza waala!.

Umeme umekatika kwenye uwanja wa mpira, “fukuza Waziri, fukuza TANESCO”. Kumbe ni mambo mengine. Jamani, sio wakati wote ni TANESCO, sio wakati wote ni Wizara.

Sisi tutachukua wajibu wetu pale inapotokea” Waziri wa Nishati, January Makamba.

Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama chetu.

Hamasa nyingine ni kuwasaidia Watanzania kwa majukumu tuliyopewa. Lakini hamasa ya mwisho ni maneno haya, mtu akikusema wewe hufai maana yake unajitahidi ili uonekane unafaa. Kwa hiyo haya maneno yanatusaidia. Lakini pia haya maneno yanatusaidia kwa sababu yanawaamsha wanaotupenda na wanaotutakia heri ili watuombee dua na sala.”- Waziri January Makamba

“Maneno haya yanatusaidia kwa sababu yanatufundisha ukomavu, yanatufundisha kuwa na subra, yanatufundisha kuwa na uvumilivu na yanatujenga kuwa viongozi bora zaidi. Sisi tumesema waendelee kwa sababu yanatusaidi. Sisi kisasi chetu ni MATOKEO. Hatutabishana, hatutatupa maneno, hatutajitetea, tutalipa kisasi kwa matokeo” Waziri wa Nishati, January Makamba.
January ukimpa hiyo wizara hadi 2030, atakuja na hizo ngonjera tu za kila siku kwamba tupeni muda ,michakato inaendela ,mtuamini , ..mtu umekaa karibia 3 years bado unaimba taarabu
 
Wewe una chuki zako tu za hovyo. Makamba ni waziri mzuri sana na hajawahi kushindwa katika wizara yoyote. Kumbuka yeye ndie aliyefanikisha suala la kuondoa mifuko ya plastiki bila hata kumuumiza au kumfunga yoyote. Wewe maumivu yako ni kwa Kalemani kuondolewa pale na si vinginevyo.
Haa hilo swala lilifanikiwa kwa kuwa serikali iliyopo ilikuwa serous na mambo yake ,lilipewa msukumo wa kutosha ,na kuhakikisha makamba hana influences yoyote ya kutekeleza hayo ,kama swala la machinga tu wamelishindwa itakuwa hiyo
 
Kwenye wizara ya Mazingira alihakikisha hakuna mifuko ya plastiki na kazi nyingi tu za alama. Hapa kwenye nishati the fact kwamba as a minister of wazungu wamekubali kuweka $40B kwenye LNG Lindi, mradi mkubwa katika historia ya nchi.

Haya mradi mkubwa wa solar East Africa unaanza June, haya biggest investment in grid ever inafanyika sasa hivi. Bado vijiji 2000 tu nchi nzima kufikiwa na umeme.

Sooo talk your shit. But its probably hate driven.

[emoji23][emoji23]



Soo
Mbona aliondolewa na Magufuli ?, The Man was not fit for the position. January aliondolewa kushindwa kuondoa mifumo ya plastic. Kama alishindwa mifumo ya plastic hii wizara ya nishati ni Kubwa kwake kuiongoza.
 
January ukimpa hiyo wizara hadi 2030, atakuja na hizo ngonjera tu za kila siku kwamba tupeni muda ,michakato inaendela ,mtuamini , ..mtu umekaa karibia 3 years bado unaimba taarabu
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom