Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Hii ni Rai yangu ndugu Makamba, changamkia fursa Ili tupeleke walimu wa kiswahili ambao hivi sasa ni hotcake huko duniani.

Tanzania ndio Nchi pekee yenye watu wengi wenye kuongea kiswahili kimenyooka Afrika nzima. Sasa habari za kupitwa na majirani hazifai.

Ukilifanya hili kiufasaha, utakumbukwa sana, nchi itapata pesa za kigeni na tutapunguza tatizo la ajira,achana na hizi habari za kupiga deal kutaka pesa za mifuko zikiwemo pension za walimu zikajenge magorofa huko balozi za nje!!

Karibuni tumshauri ndugu waziri.

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
 
Salaam, Shalom!!

Hii ni Rai yangu ndugu Makamba, changamkia fursa Ili tupeleke walimu wa kiswahili ambao hivi sasa ni hotcake huko duniani.

Tanzania ndio Nchi pekee yenye watu wengi wenye kuongea kiswahili kimenyooka Afrika nzima. Sasa habari za kupitwa na majirani hazifai.

Ukilifanya hili kiufasaha, utakumbukwa sana, nchi utapata pesa za kigeni na tutapunguza tatizo la ajira,achana na hizi habari za kupiga deal kutaka pesa za mifuko zikajenge magorofa huko balozi za nje!!

Karibuni tumshauri ndugu waziri.

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
ni miongni mwa mambo yanayofanyika kwa nguvu na ufanisi mkubwa, kuongeza juhudi zaid za kutafuta fursa zaid ni muhimu zaid 🐒
 
ni miongni mwa mambo yanayofanyika kwa nguvu na ufanisi mkubwa, kuongeza juhudi zaid za kutafuta fursa zaid ni muhimu zaid 🐒
Acha kujipendekeza,

Makamba hakuwa na mpango huo,

Si lazima uingize siasa kwenye Kila kitu!!
 
Acha kujipendekeza,

Makamba hakuwa na mpango huo,

Si lazima uingize siasa kwenye Kila kitu!!
sio mpango wa makamba ni mpango wa serikali,

hivi sasa kwenye balozi zetu zaid ya 15 nchi mbalimbali duniani zina vituo vya kufundishia kiswahili, lakini pia kupitia vituo hivyo, waTanzania wengi sana wamepata fursa za kufundisha vyuo mbalimbali duniani...

pamoja na mipango mikakati mingine, mpango huu ambao ni fursa ya ajira kwa waTanzania ni endelevu 🐒
 
Nani huko duniani anaitaka lugha ya kiswahili? Lugha isiyobeba maarifa na teknolojia ya aina yoyote. Lugha imejaa utajiri wa mipasho, majungu na masimango.
 
sio mpango wa makamba ni mpango wa serikali,

hivi sasa kwenye balozi zetu zaid ya 15 nchi mbalimbali duniani zina vituo vya kufundishia kiswahili, lakini pia kupitia vituo hivyo, waTanzania wengi sana wamepata fursa za kufundisha vyuo mbalimbali duniani...

pamoja na mipango mikakati mingine, mpango huu ambao ni fursa ya ajira kwa waTanzania ni endelevu 🐒
Lete data,

Mwaka wa Fedha unaoishia 2023/ 2024,

Walimu wangapi Watanzania wamepata ajira kufundishwa kiswahili huko ngambo?

Pia linganisha na Jirani zetu wasiojua kiswahili wakenya!!
 
Nani huko duniani anaitaka lugha ya kiswahili? Lugha isiyobeba maarifa na teknolojia ya aina yoyote. Lugha imejaa utajiri wa mipasho, majungu na masimango.
Nenda kaulize Kenya hapo!!
 
Kwann walimu wenyewe wasitafute fursa dunia kiganjani sasa hivi ajira kibao mitandao ya nje wabongo tunafeli wapi kuliko kutegemea mtu aliyeshiba uwaziri akukumbuke wewe
 
Lete data,

Mwaka wa Fedha unaoishia 2023/ 2024,

Walimu wangapi Watanzania wamepata ajira kufundishwa kiswahili huko ngambo?

Pia linganisha na Jirani zetu wasiojua kiswahili wakenya!!
check kwenye kitabu cha hotuba ya bajeti ya wizara ya Mambo ya Nje,

hata hivyo data ina umuhimu gani hali ya kua umetoa ushauri mujarabu, nami nimesititiza yafaa juhudi zaidi ziongezwe kwasababu jambo hilo lipo na linafanyika tangu muda mrefu tu kwa ushirikiano baina ya wizara,BAKITA na balozi zetu nchi mbalimbali duniani 🐒

mafanikio ya kila mwaka wa fedha ni tofauti sana, ni makubwa na huongezeka mwaka hadi mwaka....🐒
 
Tatizo Ni uwekezaji , je Tanzania inaweza kufanya Kama Shirika la British kanseli kusambaza kiingereza na utamaduni wa kiingereza? Je inaweza kufanya Kama confiscious institute kusambaza Kichina na utamaduni wa Kichina duniani? Je Tanzania na BAKITA wanaweza kusambaza kiswahili na utamaduni wa mswahili nchi nyingine Kama yanavyofanya hayo mashirika? Hilo Jambo linahitaji uwekezaji kweli kweli. Na Kama tukifanikiwa kufanya hivyo tutanufaika kiuchumi, kumfunisha mtu lugha yako Ni sawa na kumtawala kiakili(lugha na utamaduni)
 
Tatizo Ni uwekezaji , je Tanzania inaweza kufanya Kama Shirika la British kanseli kusambaza kiingereza na utamaduni wa kiingereza? Je inaweza kufanya Kama confiscious institute kusambaza Kichina na utamaduni wa Kichina duniani? Je Tanzania na BAKITA wanaweza kusambaza kiswahili na utamaduni wa mswahili nchi nyingine Kama yanavyofanya hayo mashirika? Hilo Jambo linahitaji uwekezaji kweli kweli. Na Kama tukifanikiwa kufanya hivyo tutanufaika kiuchumi, kumfunisha mtu lugha yako Ni sawa na kumtawala kiakili(lugha na utamaduni)
 
Salaam, Shalom!!

Hii ni Rai yangu ndugu Makamba, changamkia fursa Ili tupeleke walimu wa kiswahili ambao hivi sasa ni hotcake huko duniani.

Tanzania ndio Nchi pekee yenye watu wengi wenye kuongea kiswahili kimenyooka Afrika nzima. Sasa habari za kupitwa na majirani hazifai.

Ukilifanya hili kiufasaha, utakumbukwa sana, nchi itapata pesa za kigeni na tutapunguza tatizo la ajira,achana na hizi habari za kupiga deal kutaka pesa za mifuko zikajenge magorofa huko balozi za nje!!

Karibuni tumshauri ndugu waziri.

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Salaam, Shalom!!

Hii ni Rai yangu ndugu Makamba, changamkia fursa Ili tupeleke walimu wa kiswahili ambao hivi sasa ni hotcake huko duniani.

Tanzania ndio Nchi pekee yenye watu wengi wenye kuongea kiswahili kimenyooka Afrika nzima. Sasa habari za kupitwa na majirani hazifai.

Ukilifanya hili kiufasaha, utakumbukwa sana, nchi itapata pesa za kigeni na tutapunguza tatizo la ajira,achana na hizi habari za kupiga deal kutaka pesa za mifuko zikajenge magorofa huko balozi za nje!!

Karibuni tumshauri ndugu waziri.

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
HUYO ANAWAZA KUPIGA DILI HANA HABARI NA VILAZA WADANGANYIKA
 
Tatizo Ni uwekezaji , je Tanzania inaweza kufanya Kama Shirika la British kanseli kusambaza kiingereza na utamaduni wa kiingereza? Je inaweza kufanya Kama confiscious institute kusambaza Kichina na utamaduni wa Kichina duniani? Je Tanzania na BAKITA wanaweza kusambaza kiswahili na utamaduni wa mswahili nchi nyingine Kama yanavyofanya hayo mashirika? Hilo Jambo linahitaji uwekezaji kweli kweli. Na Kama tukifanikiwa kufanya hivyo tutanufaika kiuchumi, kumfunisha mtu lugha yako Ni sawa na kumtawala kiakili(lugha na utamaduni)
Wazo zuri.

Tuanzie na vyuoni huko duniani,

Walimu wa kiswahili ni hotcake, waziri achangamke.
 
Back
Top Bottom