Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Salaam, Shalom!!

Hii ni Rai yangu ndugu Makamba, changamkia fursa Ili tupeleke walimu wa kiswahili ambao hivi sasa ni hotcake huko duniani.

Tanzania ndio Nchi pekee yenye watu wengi wenye kuongea kiswahili kimenyooka Afrika nzima. Sasa habari za kupitwa na majirani hazifai.

Ukilifanya hili kiufasaha, utakumbukwa sana, nchi itapata pesa za kigeni na tutapunguza tatizo la ajira,achana na hizi habari za kupiga deal kutaka pesa za mifuko zikiwemo pension za walimu zikajenge magorofa huko balozi za nje!!

Karibuni tumshauri ndugu waziri.

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Hawana habari wao mambo yao yanawaendea.

Mabalozi karibu wote wameenda ku relax sio kuhangaika
 
Ndio. Kwa wangozi baadaye kilishuka kiliendelea kudambaa katika pwani ya kusini Hadi kuingia upwa wa tanzaniaTanzania
Usiwaamini wakenya,

Kila kizuri ni Chao,

Hata Nyerere ni mkenya kama hujui.
 
Sasa Ule mradi wa kujenga magorofa kwenye balozi zetu sijui itakuwaje tena 🤔
 
Kiswahili ni fursa ya ajira Kwa watz.

Mpango wa kufungua vituo vya kufundisha kiswahili duniani uwe thabiti, Si porojo!!
 
Back
Top Bottom