Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Huwezi peleka mwalimu wa kiswahili duniani kama siyo mahili kwenye lugha ya kingereza... Ndio maana wakenya wanakula shavu kuliko wa tz..ishu ikiwa wakenya wapo vizuri ktk lugha zote mbili..Angalia hata watangazaji wa idhaa za kiswahili kama VOA, BBC, dautchvelle etc.. majority ni wakenya...
 
Vitambulisho maalum wakivionyesha hivyo, konda hawaombi nauli sio!!
ndiyo,
ni bure kabisaa au kuna mwalimu analalamika kutozwa nauli?

au anaona soni mwenyewe kutoa kitambulisho? kama anaona soni alipe tu nauli 🐒
 
ndiyo,
ni bure kabisaa au kuna mwalimu analalamika kutozwa nauli?

au anaona soni mwenyewe kutoa kitambulisho? kama anaona soni alipe tu nauli 🐒
Unadhani Kijiji Cha Mpwayungu Kuna mabasi ya mwendokasi?
 
Hajakosea, na sio Kiswahili tuu, wapatieni vijana passport wakatafute ajira nchi zilizoendelea, kwa sasa Kenya the biggest source of foreign money ni diaspora na inazidi industry zote by far, hata wazungu walituma watu wao Africa kutuibia, is time we do the same kwa style tofauti
 
Hajakosea, na sio Kiswahili tuu, wapatieni vijana passport wakatafute ajira nchi zilizoendelea, kwa sasa Kenya the biggest source of foreign money ni diaspora na inazidi industry zote by far, hata wazungu walituma watu wao Africa kutuibia, is time we do the same kwa style tofauti
Bei ya passport Si kubwa,

Nadhani Maarifa ndiyo yanahitajika.

Kwamba wakienda huko, wataajirika?
 
Huwezi peleka mwalimu kama siyo mahili kwenye lugha ya kingereza... Ndio maana wakenya wanakula shavu kuliko wa tz..ishu ikiwa wapo vizuri ktk lugha zote mbili
umeongea point ya maana sana kuhusu mwalimu huyo wa kiswahili kujua pia kiingereza kwa ufasaha. huo ni ukweli kabisa, vinginevyo ukipata fursa huko ughaibuni, utalazimika kujifunza kiingereza kwa mwaka mzima, kabla ya kuruhusiwa kufundisha wengine kiswahili🐒

ambacho umenichekesha,
ni ati wakenya wanakula shavu sana kuliko waTanzania, wapi kwanza?🤣

hakuna nchi zaidi ya Tanzania pekee, yenye walimu wengi zaidi wa kiswahili katika mataifa mbalimbali duniani,

chukulia tu mfano mdogo wa Africa kusini, enzi za Hayati Magufuli waliomba zaidi ya walimu mia5 wa kiswahili na walimu wale walienda na wengine wanaendelea kwenda kufundisha huko kwa taratibu mbalimbali...

lakini pia kwenye nchi kama vile Sweden, China, Japan, India na Marekani nyomi ya walimu wa kiswahili kutoka Tanzania ni kubwa mno, ukilinganisha na walimu kutoka kenya ambao ni wachache mno huko ng'ambo 🐒
 
Unadhani Kijiji Cha Mpwayungu Kuna mabasi ya mwendokasi?
vijijini walimu wengi huishi kwenye nyumba maalumu za shule au za umma huko huko vijijini. wachache hupangishwa maeneo jirani na shule, mwendo kasi ya nini na ikupeleke wapi mwalimu?🐒
 
umeongea point ya maana sana kuhusu mwalimu huyo wa kiswahili kujua pia kiingereza kwa ufasaha. huo ni ukweli kabisa, vinginevyo ukipata fursa huko ughaibuni, utalazimika kujifunza kiingereza kwa mwaka mzima, kabla ya kuruhusiwa kufundisha wengine kiswahili🐒

ambacho umenichekesha,
ni ati wakenya wanakula shavu sana kuliko waTanzania, wapi kwanza?🤣

hakuna nchi zaidi ya Tanzania pekee, yenye walimu wengi zaidi wa kiswahili katika mataifa mbalimbali duniani,

chukulia tu mfano mdogo wa Africa kusini, enzi za Hayati Magufuli waliomba zaidi ya walimu mia5 wa kiswahili na walimu wale walienda na wengine wanaendelea kwenda kufundisha huko kwa taratibu mbalimbali...

lakini pia kwenye nchi kama vile Sweden, China, Japan, India na Marekani nyomi ya walimu wa kiswahili kutoka Tanzania ni kubwa mno, ukilinganisha na walimu kutoka kenya ambao ni wachache mno huko ng'ambo 🐒
Acha uongo,

Lete data, mwaka wa Fedha 2023/2024,

Walimu Watanzania wangapi wameenda huko nje kufundisha Kiswahili?
 
Bei ya passport Si kubwa,

Nadhani Maarifa ndiyo yanahitajika.

Kwamba wakienda huko, wataajirika?
Ni kweli lakini 90% ya kazi zinazofanywa na watu from third world countries ni day worker na hao ndio wanaotuma pesa nyingi nyumbani
 
Acha uongo,

Lete data, mwaka wa Fedha 2023/2024,

Walimu Watanzania wangapi wameenda huko nje kufundisha Kiswahili?
nilisha kujibu but naweza kurudia tena kwamba check kitabu cha hotuba ya bajeti ya wizara ya Mambo ya Nje yote hayo utayajua, utayafahamu na utapata uelewa zaidi wa mambo haya ambayo unadhani ni mageniiii 🤣

kumbe ni mambo ya kawaida ya kila siku tu wizara inashughulika nayo..
nikikumbuka ukurasa mahususi ntashare 🐒
 
nilisha kujibu but naweza kurudia tena kwamba check kitabu cha hotuba ya bajeti ya wizara ya Mambo ya Nje yote hayo utayajua, utayafahamu na utapata uelewa zaidi wa mambo haya ambayo unadhani ni mageniiii 🤣

kumbe ni mambo ya kawaida ya kila siku tu wizara inashughulika nayo..
nikikumbuka ukurasa mahususi ntashare 🐒
Acha blaa blaa, weka hizo data hapa!!

Ninyi ndio mnasababisha viongozi wa kisiasa wanadharauliwa na kuonekana kama conman!!
 
Kiingereza wanajua? Kama hawajui lugha nyingine ya pili ya kimataifa hicho kiswahili watafundishaje? Hivi kweli unaweza kwenda kufundisha warusi kiswahili ilihali haujui kiingereza au kirusi hata kidogo au unataka kusema lugha ni sawa na kocha wa mpira wa miguu sio lazima kujua lugha ya timu yake.
 
Acha blaa blaa, weka hizo data hapa!!

Ninyi ndio mnasababisha viongozi wa kisiasa wanadharauliwa na kuonekana kama conman!!
anaedharaulika ni wewe unaedhani umeshauri au kuibua jambo jipyaaa, kumbe ni jambo ambalo linatekelezwa miaka nenda miaka rudi na watu na nchi vinanufaika tayari 🤣
 
anaedharaulika ni wewe unaedhani umeshauri au kuibua jambo jipyaaa, kumbe ni jambo ambalo linatekelezwa miaka nenda miaka rudi na watu na nchi vinanufaika tayari 🤣
Siasa ni taaluma pekee ambayo ahitaji vigezo vya elimu kushika nafasi za juu, Iła maamuzi yake ni serious kwenye maisha ya jamii.

Ni dharau kwa watu kama nyinyi kuitetea CCM niliyokuwa naijua mimi.
 
Siasa ni taaluma pekee ambayo ahitaji vigezo vya elimu kushika, Iła maamuzi yake ni serious kwenye maisha ya jamii.

Ni dharau kwa watu kama nyinyi kuitetea CCM niliyokuwa naijua mimi.
asie na taaluma ya siasa hujitambulisha kirahisi sana kwa mihemko, ghadhabu, hasira na saa zinngine kuporomosha matusi na kutukana....

asie na taaluma ya siasa utambambua kirahisi sana kwa namna ambavyo amefikia ukomo wa mawazo na fikra mbadala dhidi ya hoja nzito iliyoibuliwa dhidi ya yakwake kwa haraka sana, na matokeo yake huanza kuhitimisha au kujiondoa kwenye mjadala kwa dhihaka na kejeli dhidi ya alie na hoja nzito dhidi ya yakwake kama ambavyo umeanza kufanya wewe 🐒

kwahiyo siasa ni taaluma,
huwez mkuta mtu mzima mwenye taaluma ya siasa anamuita mwanasiasa mwingine mjinga au jina jingine lisilo la kiungwana hata siku moja...
na hata ukimwita utakavyomwita kamwe hawezi kujiskia vibaya....

mwenye taaluma ya siasa ana tumia taaluma yake ya siasa kumshawishi alie na mawazo tofauti na yake kwa hoja, hekima na busara kwa kutumia lugha rahisi za kuwin mindset yake....

sio mbinu kama unazotumia wewe kumkimbiza mwanchi hata asivumilie kukuskiza kwa mihemko na matusi huku ukijipa umuhimu usio stahili kwa hoja, hekima, busara na hasira za kama za samaki mkizi inabidi uchekwe tu 🤣
 
Nani huko duniani anaitaka lugha ya kiswahili? Lugha isiyobeba maarifa na teknolojia ya aina yoyote. Lugha imejaa utajiri wa mipasho, majungu na masimango.

Kiswahili ni kugha ya 10 duniani kwa kuzungumzwa na watu wengi
 
Salaam, Shalom!!

Hii ni Rai yangu ndugu Makamba, changamkia fursa Ili tupeleke walimu wa kiswahili ambao hivi sasa ni hotcake huko duniani.

Tanzania ndio Nchi pekee yenye watu wengi wenye kuongea kiswahili kimenyooka Afrika nzima. Sasa habari za kupitwa na majirani hazifai.

Ukilifanya hili kiufasaha, utakumbukwa sana, nchi itapata pesa za kigeni na tutapunguza tatizo la ajira,achana na hizi habari za kupiga deal kutaka pesa za mifuko zikiwemo pension za walimu zikajenge magorofa huko balozi za nje!!

Karibuni tumshauri ndugu waziri.

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
INASIKITISHA WALLAH
 
Back
Top Bottom