Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Waziri Makamba tafuta fursa huko Duniani, walimu wetu wakafundishe kiswahili tuondokane na Umaskini

Wakenya wamejifinza matusi tu. Kwenye maandamano walikuwa wakitumia kiswahili kutukana, lkn walitumia kiingereza kujenga hoja

Kenya wamepiga Hatua kwenye kiswahili kuliko sisi 1. Kiswahili kilianzia Kenya
2. Kiswahili Ni lugha ya Taifa la Kenya kikatiba/kisheria tofauti na Tanzania ambapo kiswahili hakitambuliki kikatiba Kama lugha ya Taifa
3. Kenya huchukuliwa Kama dola yanye nguvu
 
Wakenya wamejifinza matusi tu. Kwenye maandamano walikuwa wakitumia kiswahili kutukana, lkn walitumia kiingereza kujenga hoja
Fikra sahihi, huja Kwa lugha sahihi.

Na lugha hiyo Kwa Afrika ni kiswahili.
 
Kenya wamepiga Hatua kwenye kiswahili kuliko sisi 1. Kiswahili kilianzia Kenya
2. Kiswahili Ni lugha ya Taifa la Kenya kikatiba/kisheria tofauti na Tanzania ambapo kiswahili hakitambuliki kikatiba Kama lugha ya Taifa
3. Kenya huchukuliwa Kama dola yanye nguvu
Kiswahili kilianzia Kenya?
 
Walimu andikeni machapisho ili uji-'brand' kimataifa; kutegemea huruma kwenye mambo ya kimataifa ni ngumu.
 
Fikra sahihi, huja Kwa lugha sahihi.
Haya ni maneno tu, kama yale ya kwenye kanga. Lugha sahihi kivipi? Hakuna maarifa yoyote yaliyoibuliwa na kubuniwa na mswahili, kisha kutunzwa kwenye vitabu vilivyoandikwa kwa kiswahilli
 
Walimu andikeni machapisho ili uji-'brand' kimataifa; kutegemea huruma kwenye mambo ya kimataifa ni ngumu.
Mwalimu ramadhani athumani na Mwl Mpwayungu village wamekusikia!!

Maana Kila kukicha wanalalama, posho ya nauli hawapewi!!

Kule ni raha tele, unalipwa Kwa dollar!!
 
Walimu andikeni machapisho ili uji-'brand' kimataifa; kutegemea huruma kwenye mambo ya kimataifa ni ngumu.
Kama ulimaanisha Rabbon,

Sie wahubiri soon tutaivamia Dunia kuhubiri INJILI mataifa yote.
Hatuhitaji huruma au promo ya waziri
 
Kufundisha Kiswahili nani akupige shule!!
yaani ukafundishe kiswahili tena ng'ambo bila kua na sifa za kitaalamu na ujuzi wa darasani wa lugha ya kiswahili?

kwamba yeyote tu kwa vile anafahamu kuzungumza kiswahili, ila si mjuzi wa lugha ya kiswahili apate fursa hiyo 🤣

watu ambao kwanza ni walimu waliofuzu mafunzo ya kufundisha wengine, lakini pili ni Lazima wawe wabobezo katika lugha ya kiswahili, hao ndio hua kipaumbele zaidi ya wengine 🐒
 
yaani ukafundishe kiswahili tena ng'ambo bila kua na sifa za kitaalamu na ujuzi wa darasani wa lugha ya kiswahili?

kwamba yeyote tu kwa vile anafahamu kuzungumza kiswahili, ila si mjuzi wa lugha ya kiswahili apate fursa hiyo 🤣

watu ambao kwanza ni walimu waliofuzu mafunzo ya kufundisha wengine, lakini pili ni Lazima wawe wabobezo katika lugha ya kiswahili, hao ndio hua kipaumbele zaidi ya wengine 🐒
Sawa kabisa.

Hivi nini kinasababisha walimu wasipewe hata posho tu ya nauli?
 
Salaam, Shalom!!

Hii ni Rai yangu ndugu Makamba, changamkia fursa Ili tupeleke walimu wa kiswahili ambao hivi sasa ni hotcake huko duniani.

Tanzania ndio Nchi pekee yenye watu wengi wenye kuongea kiswahili kimenyooka Afrika nzima. Sasa habari za kupitwa na majirani hazifai.

Ukilifanya hili kiufasaha, utakumbukwa sana, nchi itapata pesa za kigeni na tutapunguza tatizo la ajira,achana na hizi habari za kupiga deal kutaka pesa za mifuko zikajenge magorofa huko balozi za nje!!

Karibuni tumshauri ndugu waziri.

Mungu Ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Ni sawasawa na kuomba damu mochwari. Mtu ambaye hana sifa wala maarifa hayo, ataanzaje kwa mfano.
Kwenye haya maisha, hakuna mtu atakayekupa kitu ambacho yeye mwenyewe hana. It will never happen. Tuwaze mengine. Kupigana na deal za kijinga
 
Ni sawasawa na kuomba damu mochwari. Mtu ambaye hana sifa wala maarifa hayo, ataanzaje kwa mfano.
Kwenye haya maisha, hakuna mtu atakayekupa kitu ambacho yeye mwenyewe hana. It will never happen. Tuwaze mengine. Kupigana na deal za kijinga
Kwamba Hana nini🤔
 
Sawa kabisa.

Hivi nini kinasababisha walimu wasipewe hata posho tu ya nauli?
nauli ya kwenda wapi na wana makazi yao katika maeneo ya shule?

walimu wachache ambao wanaishi nje ya maeneo ya shule, wana vitambulisho maalumu vya kutumia wanapotoka majumbani kuelekea mashuleni na kurudi majumbani mwao, lengo ni kuwaleta unrahisi na unafuu katika usafiri..

hata hivyo,
wanayo fursa ya kuanzisha au kufanya kazi nyingine za kujiongezea kipato lakini pia kukopa kwenye taasisi za fedha na kujinunulia usafiri ikiwa utaratibu wa vitambulisho mwalimu fulani hauwezi 🐒
 
nauli ya kwenda wapi na wana makazi yao katika maeneo ya shule?

walimu wachache ambao wanaishi nje ya maeneo ya shule, wana vitambulisho maalumu vya kutumia wanapotoka majumbani kuelekea mashuleni na kurudi majumbani mwao, lengo ni kuwaleta unrahisi na unafuu katika usafiri..

hata hivyo,
wanayo fursa ya kuanzisha au kufanya kazi nyingine za kujiongezea kipato lakini pia kukopa kwenye taasisi za fedha na kujinunulia usafiri ikiwa utaratibu wa vitambulisho mwalimu fulani hauwezi 🐒
Vitambulisho maalum wakivionyesha hivyo, konda hawaombi nauli sio!!
 
Back
Top Bottom