Waziri Makamba tunasubiri uifumue na TPDC na EWURA

Waziri Makamba tunasubiri uifumue na TPDC na EWURA

Naomba tuanzie hapa kabla sijakujibu maswali yako mengine.
Makamba amesomea masomo gani chuo kikuu?
Mambo ya community development or something; but certainly not ‘oil and gas management’ wala engineering aspects ya hiyo field.

Hivi unadhani kila mtu anaweza negotiate mikataba ya natural resources; hiyo ni discipline kwa kipekee and people are trained to do that work.
 
H
Mambo ya community development or something; but certainly not ‘oil and gas management’ wala engineering aspects ya hiyo field.

Hivi unadhani kila mtu anaweza negotiate mikataba ya natural resources; hiyo ni discipline kwa kipekee and people are trained to do that work.
hapo ndio unakosea embu tafuta CV yake, ujihakikishie mwenyewe. Degree yake ni zaidi ya oil and gas.
 
H

hapo ndio unakosea embu tafuta CV yake, ujihakikishie mwenyewe. Degree yake ni zaidi ya oil and gas.
Kama unadhani degree yake ni zaidi na hayo mambo ni rahisi embu wewe tutajia maeneo ya majadaliano kwenye hiyo mikataba.

Na aspect zipi za majadiliano ni ngumu na kwanini.

Nyie watu wenzenu wanafanya kazi mnaona kama vile awajui wanachokifanya mnataka kuona plant tu imejengwa bila ya kujua long term loss of income kwa nchi.
 
Yule MD wa TPDC ndio anafukuzwa na kurudishwa kila siku, huyo bado yupo sana.
Dr James Mataragio, mkali wa miamba duniani mwacheni apige kazi aendelee kututengenezea mambo mazuri. Yeye sio mwanasiasa ni mtaalam mbobezi tena mzalendo. Aliacha kazi za mapesa ulimwengu wa kwanza akaja kuitumikia Tz wakati wa Kikwete na sasa Samia.
 
Kama unadhani degree yake ni zaidi na hayo mambo ni rahisi embu wewe tutajia maeneo ya majadaliano kwenye hiyo mikataba.

Na aspect zipi za majadiliano ni ngumu na kwanini.

Nyie watu wenzenu wanafanya kazi mnaona kama vile awajui wanachokifanya mnataka kuona plant tu imejengwa bila ya kujua long term loss of income kwa nchi.
Anza kwanza na hii mkuu,
Kama unadhani degree yake ni zaidi na hayo mambo ni rahisi embu wewe tutajia maeneo ya majadaliano kwenye hiyo mikataba.

Na aspect zipi za majadiliano ni ngumu na kwanini.

Nyie watu wenzenu wanafanya kazi mnaona kama vile awajui wanachokifanya mnataka kuona plant tu imejengwa bila ya kujua long term loss of income kwa nchi.
Anza kwanza na hii wakati unasubiri elements.
 
Naomba tuanzie hapa kabla sijakujibu maswali yako mengine.
Makamba amesomea masomo gani chuo kikuu?
 
Kama unadhani degree yake ni zaidi na hayo mambo ni rahisi embu wewe tutajia maeneo ya majadaliano kwenye hiyo mikataba.

Na aspect zipi za majadiliano ni ngumu na kwanini.

Nyie watu wenzenu wanafanya kazi mnaona kama vile awajui wanachokifanya mnataka kuona plant tu imejengwa bila ya kujua long term loss of income kwa nchi.
Key issues wakati wa negotiations kwanza ni zifuatazo.
1. Technical and commercial
2. Environmental, Social, Economic and Political.

Elements za negotiations.
1. Interests
2. Legitimacy
3. Relationships
4. Options
5. Commitments
6. Communication
7. Alternatives and BATNA

Makamba ana degree ya Conflict Resolution, huwezi kufanya resolution kama hauna skills za negotiations. Naomba niishie hapa.
 
H

hapo ndio unakosea embu tafuta CV yake, ujihakikishie mwenyewe. Degree yake ni zaidi ya oil and gas.
 
Key issues wakati wa negotiations kwanza ni zifuatazo.
1. Technical and commercial
2. Environmental, Social, Economic and Political.

Elements za negotiations.
1. Interests
2. Legitimacy
3. Relationships
4. Options
5. Commitments
6. Communication
7. Alternatives and BATNA

Makamba ana degree ya Conflict Resolution, huwezi kufanya resolution kama hauna skills za negotiations. Naomba niishie hapa.
 
Mh. Makamba kiufupi kakosea sana. Hata kama ambition yake ya urais ila anafanya haraka mno. Anatakiwa ajifunze mambo mazuri hayahitaji haraka. Mama atamstukia kama ilivyokuwa zile hela hewa za mazingira kwenye ile hotel iliyopelekewa kufukuzwa kazi na Dkt JPM.
 
Kwako waziri wa nishati,
Hongera kwa kuanza kazi vizuri kwa kuifumua TANESCO.

Tunasubiri uifumue TPDC na EWURA ili mambo yaende vizuri.
Afumue nini huyu wakati si mshonaji...Afumue kwa sifa gani? Kazi ya ma Phd holders wazalendo inaenda haribiwa na wajuzi wa kupiga hela ya umma.
 
Anza kwanza na hii mkuu,

Anza kwanza na hii wakati unasubiri elements.
So what are actual elements of negotiations based on that info:


Mfano what clause will be used in the contract to mitigate political risks na wewe kama nchi unajilinda vipi?

Na kuna aina ngapi za mikataba unayoijua wewe kwenye oil and gas.
 
So what are actual elements of negotiations based on that info:


Mfano what clause will be used in the contract to mitigate political risks na wewe kama nchi unajilinda vipi?

Na kuna aina ngapi za mikataba unayoijua wewe kwenye oil and gas.
 
Watu mmeweka Imani kubwa Kwa Makamba kana kwamba ni Mungu , ni binadamu tena aliyeko kwenye mlengo wa wapigaji CCM
 
Watu mmeweka Imani kubwa Kwa Makamba kana kwamba ni Mungu , ni binadamu tena aliyeko kwenye mlengo wa wapigaji CCM
 
Key issues wakati wa negotiations kwanza ni zifuatazo.
1. Technical and commercial
2. Environmental, Social, Economic and Political.

Elements za negotiations.
1. Interests
2. Legitimacy
3. Relationships
4. Options
5. Commitments
6. Communication
7. Alternatives and BATNA

Makamba ana degree ya Conflict Resolution, huwezi kufanya resolution kama hauna skills za negotiations. Naomba niishie hapa.

61F0A7F8-37CF-4DB7-98F4-981AC9AF8F51.png
 
Key issues wakati wa negotiations kwanza ni zifuatazo.
1. Technical and commercial
2. Environmental, Social, Economic and Political.

Elements za negotiations.
1. Interests
2. Legitimacy
3. Relationships
4. Options
5. Commitments
6. Communication
7. Alternatives and BATNA

Makamba ana degree ya Conflict Resolution, huwezi kufanya resolution kama hauna skills za negotiations. Naomba niishie hapa.
Why do you think hao wawekezaji wanaungana na serikali inakabiliana vipi na unitasation clause ya visima.

Or what exactly is discussed in technical and commercial; clause hizo ni aspects mbili tofauti za majadiliano you know.

Besides the six elements of negotiations ni hizo ulizotaja hapo juu as 1 and 2; kila moja ni clause tofauti hapo na sina uhakika kama unajua vitu gani vinajadiliwa.

Makamba kuwa na degree ya conflict resolution aina maana anauelewa wa finance za mikataba, ndio maana nikakuuliza kwenye ku bypass political risk mwekezaji atataka clause gani.

Kukusaidia tu stabilisation clause sasa jielimishe inatumika vipi kutaka kukwepa sheria zetu za uwekezaji na dispute resolution.

Ni hivi negotiators wa mikataba are trained people na ni team ya watu wenye skills tofauti; sio swala la kujiamkia asubuhi na kusema unaunda mpya bila ya kufahamu majadiliano yamefikia hatua gani.

Huyo mtu keshaonyesha dalili zote za kuwa tatizo kwenye hiyo wizara.
 
So what are actual elements of negotiations based on that info:


Mfano what clause will be used in the contract to mitigate political risks na wewe kama nchi unajilinda vipi?

Na kuna aina ngapi za mikataba unayoijua wewe kwenye oil and gas.
Elements of negotiations nilishakueleza kwenye post niliyokutumia hapo juu.

Wakati wa negotiations vitu vingi muhimu huangaliwa,

Kuna mambo ya muundo wa mkataba (contract structure); standard za uhasibu; mchango wa mwekezaji kwenye miradi ya kijamii kama shule, hospital, maji, barababara; Afya na mazingira; stabilization clauses; vifungu vya kumaliza mkataba (termination).

Kuhusu clause hapa huwa tunatumia "stability clauses" vifungu hivi husaidia kupunguza risk za kisiasa endapo kama uongozi ukibadilishwa au kama mihimili ya serikali ikaamua kubadili sheria au regulatory matters zikaamua kubadili baadhi ya sheria.

Stability clause husaidia mwekezaji afanye kazi katika mazingira yenye stable rule of law hata kama mazingira ya uongozi sio stable. Kwa kifupi hata kama inchi inaweza kuwa na kelele za kisiasa kifungu cha stability clause huendelea kumlinda mwekezaji.

Na kifungu hicho huitaka serikali kuilipa kampuni fidia kama kutatokea mabadiliko yeyote ya sheria za taifa, au vidhibiti au utawala unao athiri kampuni au uendeshaji au biashara ya kampuni.

Mfano serikali ikaamua kuunda sheria mpya ya mazingira ambayo kwa namna moja ama nyingine ikaonekana kuibana kampuni kwa kuongeza gharama za kampuni, kifungu cha stability clause kitaruhusu kampuni kutoifuata hiyo sheria au kuiamuru serikali ilipe kampuni fidia kwa gharama itakazo ingia endapo ikiifuata hiyo sheria mpya.

Kwa kuongezea stability clause ndio yenye uwezo wa Kufreeze bunge na serikali au vidhibiti vingine vinavyotunga sheria mpya.
Stability clause ndio hutumika kama kinga ya kampuni hata mahakama hukosa nguvu. Mahakama zote za ndani ya nchi huwa disempowered kwenye mkataba wa gesi au mafuta na hicho kifungu cha STABILITY CLAUSE.

Kuhusu swala la mikataba bwana Kilatha, tuna aina tatu za mikataba.

1. License au Concession Agreement.
2. Production Sharing Agreement (PSA)
3. Joint Venture au Service Agreement

Kila mkataba hapo una faida na hasara zake. Siwezi kuelezea kwa kirefu sababu ya muda.

Kuhusu kujilinda
1. Serikali inatakiwa ichague team ya negotiaters wenye uelewa na mambo ya biashara ya mafuta na gesi na wenye uzoefu na sheria, mambo ya uhasibu, mazingira, na usimamizi wa mafuta.

2. Serikali lazima ihakikishe inatumia regulatory powers kwenye hiyo mikataba ili kulinda public interests zote za kimazingira, kibiashara, kodi n.k

3.Serikali pia lazima ihakikishe inatengeneza mazingira mazuri ya hali ya uwekezaji ili kuchochea ukuaji wa uchumi na ajira wakati inatengeneza sheria za uwekezaji na penalties kwaajili ya hizo kampuni za mafuta.

4. Au wakati mwingine serikali inaweza kutafuta wataalam wa kimataifa wa fedha na sheria watakaoishauri wakati wa mazungumzo na hizo kampuni kubwa.

5.Lakini pia moja ya uamuzi wa kwanza ambao serikali lazima iufanye ili kujilinda ni kuchagua aina nzuri ya mkataba. Kila mkataba una terms zake na una faida na hasara zake. Hivyo aina ya mkataba ambayo serikali itachagua itakua ni hatua ya kwanza kabisa ya kulinda public interest.
Naomba niishie hapa
 
Back
Top Bottom