Tanesco ibinafsishwe haraka sana iwezekanavyoNapinga kwa nguvu zote na kwa Jina la Yesu Kristo, Tanesco kubinafsishwa, hii idea ife mara moja na Mungu wetu mkuu amuangamize na kumteketeza atakaye leta au kutaka kubinafsisha tanesco yetu. Tanesco ni Taa yetu. Naamini, CCM yangu iko makini sana haitaruhusu hii kutokea, Mh. Ndugai alitoa maono yake mazuri sana kwa January siku ya kuapishwa kwake.
Mungu tuokoe
shida ni ccmHuyu bwana nashauri ATENGULIWE kwa maslahi makubwa ya taifa! Kwenye uongoz wa magu scandal zote za masuala ya umeme zilikata, lkn mama alivoingia mambo hayakuwa haba ila tatz linaanza kuonekana mapema baada ya huyu January kuingia. Pamoja na mentally yake ya ubinafsishaji lkn bado umeme umekuwa tatizo, umeme unakatika ovyo ovyo.
Haukai ukadumu ata lisaa haujakatika. SHENZI KABISA, huu umeme tunauhangaikia cc mbwa wewe. Bado tunaulipia plus makato kibao. Sasa mwambieni kama vipi aanze kumbinafsisha mke wake aone madhara yake. Mijitu mingine haina akili bc tu ina majina makubwa. Kudadeq😬😬😬
Team Jiwe mnajulikanaWaziri wa Nishati January Makamba ajulishwe kuwa kwenye taifa siyo kila kitu ni cha kubinafisishwa kwa masilahi mapana ya taifa.
Umeme
Bandari
Reli
Viwanja vya ndege
Mbuga etc
Baba wa taifa mwl Nyerere kwenye hotuba yake moja mwaka 1995 alikemea vikali akili ya kuchukua mali ya uma na kuwakabidhi watu wachache, mfano umeme ndiyo injini ya uchumi wa nchi kwa kuvutia kujengwa kwa viwanda vingi na kuzalisha bidhaa za bei ndogo zitakazoshindana kwenye soko, kamwe hatuwezi kuwapa watu wachache watufanyie biashara kwa kutuuzia umeme alafu tukategemea bidhaa zetu zishindane kwenye soko la Dunia.
Enzi za Kikwete Tanesco nusura ibinafisishwe baada ya kuwa na madeni makubwa ya kulipia capacity charges kutoka kwenye generator za kampuni la symbion.
Alipoingia Magufuli akafuta baadhi ya mikataba ya hovyo na kuliwezesha shirika kukusanya zaidi ya trillion 2 kwa mwaka hivyo likaacha kujiendesha kwa kutegemea ruzuku ya serikali na kufuta mpango wa kulibinafisisha shirika hili la uma.
Ameingia rais Samia na alipomteua waziri January Makamba tayari ameingia na mentality ileile ya enzi za Kikwete.
1.Pamoja na kwamba Tanesco ya leo hawaagizi nguzo nje ya nchi kama walivyokuwaga wanafanya huko nyuma lakini bado Makamba anataka shirika libinafisishwe.
2.Pamoja na kwamba Tanesco ya leo wanakusanya zaidi ya trillion mbili kwa mwaka lakini bado waziri Makamba anataka shirika libinafisishwe!
3.Pamoja na kwamba kupitia REA Tanesco imetapakaa nchi nzima lakini bado waziri anataka shirika libinafisishwe.
4.Pamoja na kwamba sasa hivi Tanzania inajenga bwawa kubwa kabisa la kufua umeme lakini bado waziri anataka Tanesco ibinafisishwe.
Hii speed ya 4G ya Makamba kutaka Tanesco ibinafisishwe inasukumwa na nini? Hivi kwa akili hii vipi huyu Makamba angeshinda urais mwaka 2015?
Tafadhali ndugu mwananchi, ukijibiwa hilo suali na yeyote yule basi naomba uni-tag manake hili suala la kubinafsisha TANESCO nimelisikia sana safari hii hapa, nami nilipojaribu kuhoji ni lini hizi habari zimetangazwa, bado sijapata jibu!!Wapi alipotangaza anataka TANESCO ibinafsishwe? Au chuki zako tu.
Shida ya Makamba ni alivyojipozisheni,shida ndo inaanzia hapo,kakaa sehemu ya kurushiwa Mawe,Uraisi asahauWatanzania ni watu wa ajabu sana
Hivi hapo wapo wanapiga majungu ili Makamba atimuliwe
Ccm haijachoka,Ila ni mapungufu na mikakati ya hovyo ya wachache wanayoibuni,ambayo huipa adha nchi,naungana na ww ktk hili kwanza Mambo ya kubinafsisha si ndo Yale ambayo yalimshinda hata hayati mkapa!?,kwani nchi inafeli wapi? na kwanini !?mpaka mtafute watu wa nje ndo Wawa endeshee mashirika yenu na taasisi zenu!? wakija wanakuja na mikakati yao kulingana na nn wanataka ku gain,ni ujinga kubinafsisha kila kitu ,kwann kusiwekwe mikakati madhubuti ya usimamiaji!?nn kinashndkana !!?au ndo kutafutiana ma-gap ya biashara na upigaji Kama zama zile!????huwa najiskia vibaya Sana kuona kiongozi anakimbilia agenda ya kubinafsisha huko ni kufeli kwa ubongo kufikili ,na kubuni!! Kama ni kuwataka watu wa nje kufanya biashara nchini hatukatai,Ila waje na vitu vipya ambavyo ndani ya nchi havipo na hatujawahi kuwanavyo ,mf.viwanda vya kutengeneza magari,vifaa tiba,viwanda vya kutengeneza mashine za kilimo/pembejeo,viwanda vya madawa ya binadamu ,n.k,sio hivi ambavyo tumevianzisha wenyewe kwa kuumiza akili kweli, kwa kujichangachanga na vikodi vyetu vya miamala ya sm na kadhalika ,halafu tunawakabidhi wengine waviendeshe ,upuuuz kabisa!!!!Tukisema CCM imechoka na kuishiwa mbinu/ubunifu ktk kukuza uchumi watu wanatutukana.
Bila shaka amewekwa na hajajiweka mwenyeweShida ya Makamba ni alivyojipozisheni,shida ndo inaanzia hapo,kakaa sehemu ya kurushiwa Mawe,Uraisi asahau
Umenena vyema mkuuCcm haijachoka,Ila ni mapungufu na mikakati ya hovyo ya wachache wanayoibuni,ambayo huipa adha nchi,naungana na ww ktk hili kwanza Mambo ya kubinafsisha so ndo Yale ambayo yalimshinda hata hayati mkapa!?,kwani nchi inafeli wapi na kwanini !?mpaka mtafute watu wa nje ndo Wawa endeshee mashirika yenu na taasisi zenu!? wakija wanakuja na mikakati yao kulingana na nn wanataka ku gain,ni ujinga kubinafsisha kila kitu ,kwann kusiwekwe mikakati madhubuti ya usimamiaji!?nn kinashndkana !?au ndo kutafutiana ma-gap ya biashara na upigaji Kama zama zile!????huwa najiskia vibaya Sana kuona kiongozi anakimbilia agenda ya kubinafsha huko ni kufeli kwa ubongo kufikili ,na kubuni!! Kama ni kuwataka watu wa nje kufanya biashara nchini hatukatai,Ila wake na vitu vipya ambavyo ndani ya nchi havipo na hatujawahi kuwanavyo ,mf.viwanda vya kutengeneza magari,vifaa tiba,viwanda vya kutengeneza mashine za kilimo/pembejeo,viwanda vya madawa ya binadamu ,n.k,sio hivi ambavyo tumevianzisha wenyewe kwa kuumiza akili kweli, kwa kujichangachanga na vikodi vyetu vya miamala ya sm na kadhalika ,halafu tunawakabidhi wengine waviendeshe ,upuuuz kabisa!!!!
Sio kweli...Enzi za Kikwete Tanesco nusura ibinafisishwe baada ya kuwa na madeni makubwa ya kulipia capacity charges kutoka kwenye generator za kampuni la symbion.
Tena ndio shida kuu, tukishaiondoa shida zetu zote zitaishashida ni ccm
Mfano wa Tazara sio kweli. Uliza kabla ya kupotosha wengine, kwa mfano, maamuzi ya uendeshaji wake yanafanyikaje ukizingatia ni mradi wa serikali mbili. Tukirejea kwa tanesco au mashirika mengine ya umma, yana mamlaka kiasi gani kufanya maamuzi kitaaluma bila kuingiliwa na wanasiasa. Yawezekana baadhi ya mashirika hayana uhuru huo kwa maana ya kila mara kukimbilia Wizarani kupata baraka wakati mwingine kutoka kwa maofisa wasiokiwa na taaluma/uzoefu stahiki.Unabinafisaji uendeshaji maana mswahili hawezi akaendesha kitu kwa ufanisi na ishu ya security inabakia kwenye serikali kwa national security.
Check tu mfano Tazara wameshindwa japo market ni kubwa na ya uhakika.
watu wanaleta stori za vijiweni hapa na kulazimisha sote tuziamini.Tafadhali ndugu mwananchi, ukijibiwa hilo suali na yeyote yule basi naomba uni-tag manake hili suala la kubinafsisha TANESCO nimelisikia sana safari hii hapa, nami nilipojaribu kuhoji ni lini hizi habari zimetangazwa, bado sijapata jibu!!
Haya mkamateni sasa na huyu maana wengine wasio na majina wakiwasilisha ujumbe wao kwa michoro vikaragosi mnawakamata.Kwani kunanini? Mbona nyuzi ximekuwa nyingi kwa Tanesco?View attachment 1972913
Kukusanya trillion 2 sio tafsiri ya kupata faida, wanaweza kukusanya trillion 2 na gharama za uendeshaji zikawa trillion 3Waziri wa Nishati January Makamba ajulishwe kuwa kwenye taifa siyo kila kitu ni cha kubinafisishwa kwa masilahi mapana ya taifa.
Baba wa taifa Mwl Nyerere kwenye hotuba yake moja mwaka 1995 alikemea vikali akili ya kuchukua mali ya uma na kuwakabidhi watu wachache, mfano umeme ndiyo injini ya uchumi wa nchi kwa kuvutia kujengwa kwa viwanda vingi na kuzalisha bidhaa za bei ndogo zitakazoshindana kwenye soko, kamwe hatuwezi kuwapa watu wachache watufanyie biashara kwa kutuuzia umeme alafu tukategemea bidhaa zetu zishindane kwenye soko la Dunia.
- Umeme
- Bandari
- Reli
- Viwanja vya ndege
- Mbuga etc
Enzi za Kikwete Tanesco nusura ibinafisishwe baada ya kuwa na madeni makubwa ya kulipia capacity charges kutoka kwenye generator za kampuni la symbion.
Alipoingia Magufuli akafuta baadhi ya mikataba ya hovyo na kuliwezesha shirika kukusanya zaidi ya trillion 2 kwa mwaka hivyo likaacha kujiendesha kwa kutegemea ruzuku ya serikali na kufuta mpango wa kulibinafisisha shirika hili la uma.
Ameingia rais Samia na alipomteua waziri January Makamba tayari ameingia na mentality ileile ya enzi za Kikwete.
1. Pamoja na kwamba Tanesco ya leo hawaagizi nguzo nje ya nchi kama walivyokuwaga wanafanya huko nyuma lakini bado Makamba anataka shirika libinafisishwe.
2. Pamoja na kwamba Tanesco ya leo wanakusanya zaidi ya trillion mbili kwa mwaka lakini bado waziri Makamba anataka shirika libinafisishwe!
3. Pamoja na kwamba kupitia REA Tanesco imetapakaa nchi nzima lakini bado waziri anataka shirika libinafisishwe.
4. Pamoja na kwamba sasa hivi Tanzania inajenga bwawa kubwa kabisa la kufua umeme lakini bado waziri anataka Tanesco ibinafisishwe.
Hii speed ya 4G ya Makamba kutaka Tanesco ibinafisishwe inasukumwa na nini? Hivi kwa akili hii vipi huyu Makamba angeshinda urais mwaka 2015?
Bujibuji simba Nyanaume haha sawa huenda bado mshika mkoba wa chifu hangayaHuyu Makamba ndiyo alikuwa mshika mkoba wa Kikwete
Watanzania hawatakubaliKukusanya trillion 2 sio tafsiri ya kupata faida, wanaweza kukusanya trillion 2 na gharama za uendeshaji zikawa trillion 3
Hakuna waziri anaweza tu kuanzisha mchakato kubinafsisha shirika bila kuwa na technical facts za kwa nini atake kubinafsisha. Wala si personal idea inaweza kufanya maamuzi makubwa kama kubinafsisha tanesco