Waziri Makamba ujue siyo kila kitu ni cha kubinafisisha

Hivi ni wapi makamba kasema anataka kubinafsisha tanesco?na hata kama ana huo mpango kwani ana mamlaka gani ya kufanya huo uamuzi peke yake?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Itakuja kuwa kama Tuna Scandal
Africa yote ni moja na mawazo yaleyale
 
Kama mradi wa tanesco aliouacha mwendazake pale rufiji ukiwa na aina yoyote ya mashirikiano na mabebex tutalaanika
 
Kama mradi wa tanesco aliouacha mwendazake pale rufiji ukiwa na aina yoyote ya mashirikiano na mabebex tutalaanika
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini
 
Ni ujuha tu kuwa na mali za umma.

Mataifa yaliyoendelea kiuchumi kila kitu kinachowezq kufanywa na watu binafsi ni huru kuyafanya isipokua yale wasioweza kuyafanya watu binafsi. Yote uliyoyataja nchi nyingi duniani ni ya watu binafsi.

Serikali inabaki kutunga sheria tu na kuwa "facilitators" sio waendeshaji.
 
Huu unatakiwa kuwa mjadala mpana kwa sababu kadhaa. Kwa mfano, dhana ya kubinafsisha kimsingi haina ubaya katika taifa lakini Watanzania wanao uwezo huo au vipi, na kama uwezo wao ni mdogo watawezeshwaje. Pengine, tunalo la kujifunza kutoka kwenye mfumo wa uchumi wa China ambapo serikali ni mbia Mkuu kwenye sekta zilizoainishwa na aliyeibua mhadala huu.

Waziri wa Nishati ana maoni yake. Tujadiliane hatimaye tutafikia muafaka kwa maslahi mapana ya taifa.
 
Walishawezeshwa na bado wanawezeshwa. Labda huelewi tu.


Unataka kuwezeshwa kwenye lipi tukupe darsa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…