Waziri Makamba, Ule mpango wa kuisuka UPYA Wizara ya Mambo ya nje uliishia wapi?

Waziri Makamba, Ule mpango wa kuisuka UPYA Wizara ya Mambo ya nje uliishia wapi?

Miili ya Watanzania walioripotiwa kufa Israel ilipatikana?

Na tetesi za wanajeshi wetu 3 kufariki congo ni za Kweli?
mambo ya utu wa mwanadamu hayafanyiki kisiasa na mazingira unayoyasema sio salama, huwezi kuingia kichwa kichwa maeneo hayo ukasababisha madhara mengine....

Tanzania na nchi nyingine duniani zinaendelea kutoa wito kwa pande zinazohasimiani huko mashariki ya kati na hata huko DRC ambapo Jeshi letu lipo linawajibika katika kuleta amani mashariki mwa DRC....

hata hivyo Dr.Tulia Ackson Mwansasu speaker wetu lakini pia Rais wa shirikisho la mabunge duniani alikuako huko mashariki ya kati, na zote hizo ni jitihada za wizara hii muhimu sana katika kutafuta suluhu na Utulivu palipo na vita na mafarakano 🐒

licha ya jitihada za kila siku kushughulika na mambo hayo, bado subra na ustahimilivu kwa waTanzania, ni muhimu sana ili kwa wakati muafaka mbivu na mbichi juu ya masuala uliyoyaibua kuwekwa bayana 🐒

Eid Mubarak 🌹
 
mambo ya utu wa mwanadamu hayafanyiki kisiasa na mazingira unayoyasema sio salama, huwezi kuingia kichwa kichwa maeneo hayo ukasababisha madhara mengine....

Tanzania na nchi nyingine duniani zinaendelea kutoa wito kwa pande zinazohasimiani huko mashariki ya kati na hata huko DRC ambapo Jeshi letu lipo linawajibika katika kuleta amani mashariki mwa DRC....

hata hivyo Dr.Tulia Ackson Mwansasu speaker wetu lakini pia Rais wa shirikisho la mabunge duniani alikuako huko mashariki ya kati, na zote hizo ni jitihada za wizara hii muhimu sana katika kutafuta suluhu na Utulivu palipo na vita na mafarakano 🐒

licha ya jitihada za kila siku kushughulika na mambo hayo, bado subra na ustahimilivu kwa waTanzania, ni muhimu sana ili kwa wakati muafaka mbivu na mbichi juu ya masuala uliyoyaibua kuwekwa bayana 🐒

Eid Mubarak 🌹
Wewe ni KE?
 
Kwa heshima zote hivi huyu jamaa wanavyomsifiaga kua ni smart u smart wake uko sehemu gani?Huenda sisi mambumbu hatuoni !!! Ila kimsingi jamaa ni average Sana Ila pretending to have a very big exposure but ni moja ya watu wanaoliangusha Taifa hili kwaulaghai laghai
 
Hivi kweli ule mwili ulikuwaje? Nilikuwa nimesahau
Wanaibua mambo mengi yasiyo maana tunajadili na kuacha ya msingi,

Movie iliishia alipompeleka Israel mzazi Eti akanegotiate, na kutambua mwili,

Kilichoendelea hakijulikani Hadi Leo.
 
Kwa heshima zote hivi huyu jamaa wanavyomsifiaga kua ni smart u smart wake uko sehemu gani?Huenda sisi mambumbu hatuoni !!! Ila kimsingi jamaa ni average Sana Ila pretending to have a very big exposure but ni moja ya watu wanaoliangusha Taifa hili kwaulaghai laghai
Ni wa kawaida sana.
 
Just for the sake of argument: jee, akijibu kazi ya "kuisuka" keshamaliza kitambo lkn results may vary, wewe utasema nini?
 
Hakuna sehemu ngumu kuibadilisha kama foreign kuna wazee wale wako very rigid na conservative. Sijui japo wengi wamestaafu kwa sasa.

Na hii ni mbinu ya kutaka kuvuta pesa toka kwa mamlaka kwamba nahitaji reforms, capacity building. What what kam vile tanesco

Kipara kwenye introduction meeting na watumishi wa shirika hasa wale wakubwa aliwaambia " nahitaji watu watakaofanya kazi kisiasa na sio kiutalaamu" utaalamu peleka chuo sio shirikani..

Ukishasikia mkuu wako wa kazi anakuambia tutafanya kazi kisiasa ndio zile za kina.makonda kitu kidogo millard ayo kashaitwa achukie picha za video.
 
Back
Top Bottom