Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Hamad Y. MASAUNI (Mb) amefanya ziara ya siku mbili kikazi Wilayani Kilosa, ambapo alipata nafasi ya kutembelea ujenzi wa Gereza la Wilaya hiyo, kuzungumza na kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na Wilaya pamoja na kuzungumza na kusikiliza kero za wananchi katika Mji mdogo wa Mikumi.
Katika ziara hiyo aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Mkurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa Idara, Mbunge wa Jimbo la Mikumi Mheshimiwa Denis Lazaro Londo pamoja na viongozi wa CCM wilaya hiyo.
Fuatilia matukio katika Picha.
#Kilosaye2Fursaze2
#Uongoziwapamoja
#MaendeleoEndelevu
Katika ziara hiyo aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Mkurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa Idara, Mbunge wa Jimbo la Mikumi Mheshimiwa Denis Lazaro Londo pamoja na viongozi wa CCM wilaya hiyo.
Fuatilia matukio katika Picha.
#Kilosaye2Fursaze2
#Uongoziwapamoja
#MaendeleoEndelevu