Waziri Masauni arudi kwa familia ya Hayati Ali Kibao kuipa pole

Waziri Masauni arudi kwa familia ya Hayati Ali Kibao kuipa pole

Masauni kama kweli ameguswa na huo msiba anatakiwa kuachia ngazi, full stop.

Tusidanganyane kwa namna nyingine yoyote, ameshindwa kutekeleza majukumu yake, kulinda uhai wetu, huyu bado anafanya nini ofisini mpaka sasa?

Au ndio jukumu lake jipya limekuwa kutoa pole kwenye misiba inayotokea kwa kushindwa kwake kutimiza majukumu yake?

Hii serikali imejaa wajinga wasiojua majukumu yao, hawajui wanatupeleka wapi, kwao ilimradi pakuche tu.
Sahihi kbs mkuu..wanapuyanga tu
 
Masauni kama kweli ameguswa na huo msiba anatakiwa kuachia ngazi, full stop.
Bado anaupenda uwaziri na hajisikii sala hajioni kama mmoja wa wawajibikaji
Taifa limepotea njia siku nyingi sana, kama ni bus tunakaribia kuanguka korongoni dereva limeshamshinda.
20240910_122533.jpg
 
Mariam, mtoto wa aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ali Kibao akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni (kulia), baada ya kufika kuwafariji kwa kifo cha baba yake.

Kibao aliuawa baada ya kutekwa na watu wenye silaha, jioni ya Ijumaa ya Septemba 6, 2024 eneo la Kibo Complex, Tegeta jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya basi la Kampuni ya Tashriff kwenda mkoani Tanga.

Baada ya kuondoka naye akiwa amefungwa pingu, mwili wake uliokotwa eneo la Ununio, Dar es Salaam ukiwa na majeraha na inaelezwa alimwagiwa tindikali usoni.

Leo Jumanne, Septemba 10, 2024, Waziri Masauni amewasilisha salamu za rambirambi za Serikali na kutoa Sh5 milioni huku akieleza familia jinsi Rais Samia alivyoguswa na tukio hilo na tayari wamekwisha kuanza uchunguzi ili kuwabaini wahusika.

Mariam kwenye maelezo yake amesema: “Tumesikia Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza vyombo vya uchunguzi vifanye uchunguzi wa kifo cha baba yetu, sisi kama familia tutakuwa tunapataje taarifa za uchunguzi huo, najua kuna muda inakuwa ni vigumu kuwafikia viongozi wa juu huko serikalini hasa kwa kesi kama hii ni jambo nzito.”

Tunachoomba ni ushirikiano wenu kama Serikali kwetu sisi maana hata sisi hatujui nani amefanya huo utekaji na mauaji ya baba yetu. Muhimu tunaomba huo uchunguzi ufanyike kwa haraka ili ukweli ujulikane na haki ipate kutendeka,” ameongeza Mariam.

Waziri Masauni amewasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais Samia na ameiomba familia hiyo kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho wamempoteza mpendwa wao huku akiwaomba wawe na subira ili vyombo husika vikiendelea na uchunguzi wa tukio hilo la kutekwa na kuuawa kwa mzazi wao.
Soma pia:
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuhudhuria mazishi ya Ally Mohamed Kibao jijini Tanga
=> Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Lema: Nilitegemea mpaka sasa baada ya statement ya Rais Samia kuhusu mauaji ya Ally Kibao basi Waziri Masauni, IGP wawe wamejiuzulu
=> Godbless Lema amwelekeza Hamad Masauni kutokuhudhuria Mazishi ya Watu Wanaotekwa, atahadharisha kwamba inaweza kusababisha Maafa Mengine
Fala sana huyu jamaa...yaani nimekosa hata tusi la la maana la kumpa!
 
Manipulative behaviours, kuiridhisha hiyo familia sio kuifuata fuata muda wote, ni kwenda kufanyia kazi jinai, majibu ya uchunguzi yatoke, haki itendeke, familia ipate closure.

Weledi wa kitanzania ni wakipumbavu sana. Tunathamini mno misiba kinafiki nafiki wakati kulikuwa na preventive measures za kufanya tukio lisilete madhara.

Simu moja tu Mzee kibao (RIP) angerudishwa kwake akiwa hai. Na hiyo simu moja itumike kuwaachia walioko kizuizini ambao bado hawajauawa warudi kwenye familia zao, sio mnasubiri miili iokotwe muanze kugharamikia misiba sijui serikali imetoa rambirambi ya million 5, nonsense.
 
Mariam, mtoto wa aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ali Kibao akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni (kulia), baada ya kufika kuwafariji kwa kifo cha baba yake.

Kibao aliuawa baada ya kutekwa na watu wenye silaha, jioni ya Ijumaa ya Septemba 6, 2024 eneo la Kibo Complex, Tegeta jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya basi la Kampuni ya Tashriff kwenda mkoani Tanga.

Baada ya kuondoka naye akiwa amefungwa pingu, mwili wake uliokotwa eneo la Ununio, Dar es Salaam ukiwa na majeraha na inaelezwa alimwagiwa tindikali usoni.

Leo Jumanne, Septemba 10, 2024, Waziri Masauni amewasilisha salamu za rambirambi za Serikali na kutoa Sh5 milioni huku akieleza familia jinsi Rais Samia alivyoguswa na tukio hilo na tayari wamekwisha kuanza uchunguzi ili kuwabaini wahusika.

Mariam kwenye maelezo yake amesema: “Tumesikia Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza vyombo vya uchunguzi vifanye uchunguzi wa kifo cha baba yetu, sisi kama familia tutakuwa tunapataje taarifa za uchunguzi huo, najua kuna muda inakuwa ni vigumu kuwafikia viongozi wa juu huko serikalini hasa kwa kesi kama hii ni jambo nzito.”

Tunachoomba ni ushirikiano wenu kama Serikali kwetu sisi maana hata sisi hatujui nani amefanya huo utekaji na mauaji ya baba yetu. Muhimu tunaomba huo uchunguzi ufanyike kwa haraka ili ukweli ujulikane na haki ipate kutendeka,” ameongeza Mariam.

Waziri Masauni amewasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais Samia na ameiomba familia hiyo kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho wamempoteza mpendwa wao huku akiwaomba wawe na subira ili vyombo husika vikiendelea na uchunguzi wa tukio hilo la kutekwa na kuuawa kwa mzazi wao.
Soma pia:
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuhudhuria mazishi ya Ally Mohamed Kibao jijini Tanga
=> Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Lema: Nilitegemea mpaka sasa baada ya statement ya Rais Samia kuhusu mauaji ya Ally Kibao basi Waziri Masauni, IGP wawe wamejiuzulu
=> Godbless Lema amwelekeza Hamad Masauni kutokuhudhuria Mazishi ya Watu Wanaotekwa, atahadharisha kwamba inaweza kusababisha Maafa Mengine
Damu hii na ya wengine zitawasumbua sana sana.

Hata warudi kwa familia hii mara 100 hakuna mercy watakayoipata.

Wajiondoe madarakani
 
Hiyo picha inaongea, nyuso na macho ya wafiwa hayana tumaini na kuamini anachojaribu kuwaaminisha. Mwenyezi Mungu, awape faraja yake katika kipindi hiki kigumu wanachopitia.
 
Mariam, mtoto wa aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ali Kibao akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni (kulia), baada ya kufika kuwafariji kwa kifo cha baba yake.

Kibao aliuawa baada ya kutekwa na watu wenye silaha, jioni ya Ijumaa ya Septemba 6, 2024 eneo la Kibo Complex, Tegeta jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya basi la Kampuni ya Tashriff kwenda mkoani Tanga.

Baada ya kuondoka naye akiwa amefungwa pingu, mwili wake uliokotwa eneo la Ununio, Dar es Salaam ukiwa na majeraha na inaelezwa alimwagiwa tindikali usoni.

Leo Jumanne, Septemba 10, 2024, Waziri Masauni amewasilisha salamu za rambirambi za Serikali na kutoa Sh5 milioni huku akieleza familia jinsi Rais Samia alivyoguswa na tukio hilo na tayari wamekwisha kuanza uchunguzi ili kuwabaini wahusika.

Mariam kwenye maelezo yake amesema: “Tumesikia Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza vyombo vya uchunguzi vifanye uchunguzi wa kifo cha baba yetu, sisi kama familia tutakuwa tunapataje taarifa za uchunguzi huo, najua kuna muda inakuwa ni vigumu kuwafikia viongozi wa juu huko serikalini hasa kwa kesi kama hii ni jambo nzito.”

Tunachoomba ni ushirikiano wenu kama Serikali kwetu sisi maana hata sisi hatujui nani amefanya huo utekaji na mauaji ya baba yetu. Muhimu tunaomba huo uchunguzi ufanyike kwa haraka ili ukweli ujulikane na haki ipate kutendeka,” ameongeza Mariam.

Waziri Masauni amewasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais Samia na ameiomba familia hiyo kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho wamempoteza mpendwa wao huku akiwaomba wawe na subira ili vyombo husika vikiendelea na uchunguzi wa tukio hilo la kutekwa na kuuawa kwa mzazi wao.
Soma pia:
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuhudhuria mazishi ya Ally Mohamed Kibao jijini Tanga
=> Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Lema: Nilitegemea mpaka sasa baada ya statement ya Rais Samia kuhusu mauaji ya Ally Kibao basi Waziri Masauni, IGP wawe wamejiuzulu
=> Godbless Lema amwelekeza Hamad Masauni kutokuhudhuria Mazishi ya Watu Wanaotekwa, atahadharisha kwamba inaweza kusababisha Maafa Mengine
Naona albadir imeanza kufanya kazi anarudi rudi sn siyo kawaida yake

 
POLENI SANA SANA FAMILIA YA MAREHEMU ALI KIBAO.
 
UVCCM ni wazee wa comedy, sasa hawa ndiyo wapewe nchibl yetu waiongoze baadaye - let us be serious.

Muhuni huwa haachi tabia yake hata akiwa mzee anabaki muhuni tu.
 
Mariam, mtoto wa aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ali Kibao akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni (kulia), baada ya kufika kuwafariji kwa kifo cha baba yake.

Kibao aliuawa baada ya kutekwa na watu wenye silaha, jioni ya Ijumaa ya Septemba 6, 2024 eneo la Kibo Complex, Tegeta jijini Dar es Salaam akiwa ndani ya basi la Kampuni ya Tashriff kwenda mkoani Tanga.

Baada ya kuondoka naye akiwa amefungwa pingu, mwili wake uliokotwa eneo la Ununio, Dar es Salaam ukiwa na majeraha na inaelezwa alimwagiwa tindikali usoni.

Leo Jumanne, Septemba 10, 2024, Waziri Masauni amewasilisha salamu za rambirambi za Serikali na kutoa Sh5 milioni huku akieleza familia jinsi Rais Samia alivyoguswa na tukio hilo na tayari wamekwisha kuanza uchunguzi ili kuwabaini wahusika.

Mariam kwenye maelezo yake amesema: “Tumesikia Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza vyombo vya uchunguzi vifanye uchunguzi wa kifo cha baba yetu, sisi kama familia tutakuwa tunapataje taarifa za uchunguzi huo, najua kuna muda inakuwa ni vigumu kuwafikia viongozi wa juu huko serikalini hasa kwa kesi kama hii ni jambo nzito.”

Tunachoomba ni ushirikiano wenu kama Serikali kwetu sisi maana hata sisi hatujui nani amefanya huo utekaji na mauaji ya baba yetu. Muhimu tunaomba huo uchunguzi ufanyike kwa haraka ili ukweli ujulikane na haki ipate kutendeka,” ameongeza Mariam.

Waziri Masauni amewasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais Samia na ameiomba familia hiyo kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho wamempoteza mpendwa wao huku akiwaomba wawe na subira ili vyombo husika vikiendelea na uchunguzi wa tukio hilo la kutekwa na kuuawa kwa mzazi wao.
Soma pia:
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuhudhuria mazishi ya Ally Mohamed Kibao jijini Tanga
=> Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao
=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
=> Lema: Nilitegemea mpaka sasa baada ya statement ya Rais Samia kuhusu mauaji ya Ally Kibao basi Waziri Masauni, IGP wawe wamejiuzulu
=> Godbless Lema amwelekeza Hamad Masauni kutokuhudhuria Mazishi ya Watu Wanaotekwa, atahadharisha kwamba inaweza kusababisha Maafa Mengine
CCM hupenda kutanguliza pesa mbele, wanainunua roho yako kwa shs 5 milioni! Huyo Masauni ametumia zaidi ya hizo kifikisha hizo shs 5 milioni, Masauni ndiye aliyefaidika na kifo hicho.
 
Bila shaka serikali haijahusika maana Kwa unyama huo Kwa maumivu hayo unapata wapi ujasiri wa kupokea rambirambi?
Wawe watulivu kipindi hiki. Je baada ya hapo ndo baba yao atarudi. Uhalifu wote wa kidola huwa hautoi majibu
 
Back
Top Bottom