Waziri Masauni arudi kwa familia ya Hayati Ali Kibao kuipa pole

Waziri Masauni arudi kwa familia ya Hayati Ali Kibao kuipa pole

Masauni kama kweli ameguswa na huo msiba anatakiwa kuachia ngazi, full stop.

Tusidanganyane kwa namna nyingine yoyote, ameshindwa kutekeleza majukumu yake, kulinda uhai wetu, huyu bado anafanya nini ofisini mpaka sasa?

Au ndio jukumu lake jipya limekuwa kutoa pole kwenye misiba inayotokea kwa kushindwa kwake kutimiza majukumu yake?

Hii serikali imejaa wajinga wasiojua majukumu yao, hawajui wanatupeleka wapi, kwao ilimradi pakuche tu.
Hapo ndipo mzee Mwinyi aka mzee ruksa atabaki kuwa Shuja katika viongozi wa nchi hii. RIP Mzee.wetu 🙏
 
Wanau MTU kisha wanawapoza na Milioni 5. Utu w mtu.
All the best
 
Binafsi siwezi kupokea pesa yoyote, ni udhaifu mkubwa sana.
Yaani mzazi wangu auawe katika hali kama hiyo.
Nikifikiria kuanzia gari zilizotumika, aina ya bunduki za kivita ambazo raia hawaruhusiwi kuzimiliki halafu waniletee hela! Hapana,si bure hivyo siwezi kuuza uhai wa mzazi wangu kwa milioni 5 na simpi ushirikiano wowote.
 
Sijawahi kuona mtu ambaye siyo ndugu,siyo rafiki wala siyo jirani watu wanakupigia kelele kuashiria hawakutaki hapo msibani lakini unakuwa king'ang'anizi tu.
 
Back
Top Bottom