BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kati ya fedha hizo, Tsh. 948,335,400 zimelipwa kwa Askari 217 walioumia kazini na kiasi cha Tsh. 252,000,000 zimelipwa kwa Wasimamizi wa Mirathi na Familia za Asakri 16 waliopoteza maisha wakiwa kwenye majukumu yao.