Waziri Masauni na IGP Wambura, mnasubiri nini kujiuzulu?

Waziri Masauni na IGP Wambura, mnasubiri nini kujiuzulu?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
 
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Hata wakijiuzuru bado haitasaidia kitu chochote kile.

We have to find the proper solution for this problem.
 
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Naunga mkono hoja
P
 
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Tumechoka na utawala wa CCM.
 
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Kwani aliyewatuma yeye kajihuzulu?
 
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu

 

Attachments

  • VID-20240910-WA0062.mp4
    5.4 MB
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Sio kawaida ya watawala wa hii serikali ya Ccm
 
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Sio itikadiya watawala wa hii serikali ya Ccm
 
Wajiuzulu kwasababu gani?
Nchi ni shwari. Matukio ya kihalifu huwa haya kosekani, hata katika nchi zilizo endelea kama Marekani kila kukicha matukio.
Kujiuzulu ni Ujinga mtupu, jambo la msingi ni kuongeza weledi na ufanisi kwa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama.
 
Wajiuzulu kwasababu gani?
Nchi ni shwari. Matukio ya kihalifu huwa haya kosekani, hata katika nchi zilizo endelea kama Marekani kila kukicha matukio.
Kujiuzulu ni Ujinga mtupu, jambo la msingi ni kuongeza weledi na ufanisi kwa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama.
 
Back
Top Bottom