Waziri Masauni na IGP Wambura, mnasubiri nini kujiuzulu?

Waziri Masauni na IGP Wambura, mnasubiri nini kujiuzulu?

Kufika leo jioni wote waliohusika na mauaji ya Mzee Ali Kibao wawe wamejiuzulu.
 
Mtu ambaye hujui kuishi bila uchawa ni laana kwa umma
kushupalia mambo na dhana za kizamani ambazo hazina maana yoyote ni ushirikina huo...

ati ng'we ng'we ng'we jiuzulu, useless and nonsense narrative kabisa alaaa......

unakimbia tatizo ili iweje?
ili nani aje alitatue?

kama unaumwa sawa unaweza kuachia ngazi, wengine wakachukua hatamu lakin si vinginevyo..

unaiga vitu vya hovyo hovyo TU 🐒
 
Bosi wao awajibike basi
Hata Mabosi wao wakijiuzuru, bado vitendo viovu vya utekaji, utesaji na Mauaji ya kiholela vitaendelea kutokea..

Ukitaka kuua mti suluhisho sahihi ni kuchimbua mizizi yake yote kabisa, lakini siyo kukata matawi yake tu kwani ukikata matawi yake lazima baadaye mti huo utakuja kuchipua Tena na kustawi.
 
Kwa nini anaye waamuru asijiuzuru yeye?
 
Inavyoonekana wa-Tanzania wengi sana bado hawajui kiini hasa Cha matatizo mengi ya Kiutawala yaliyopo kwenye nchi hii, bado hawajui sababu za kuwepo kwa matatizo hayo.
gentleman,
sasa wewe unayejua si uwaeleze kinagaubaga sasa?

sasa japo kwa mfano,
unawafokea, unawabeza au unawaandaa kisaikolojia ili baadae uwaeleze ndio uwaeleze kinagaubaga 🐒
 
gentleman,
sasa wewe unayejua si uwaeleze kinagaubaga sasa?

sasa japo kwa mfano,
unawafokea, unawabeza au unawaandaa kisaikolojia ili baadae uwaeleze ndio uwaeleze kinagaubaga 🐒
Hata Mabosi wao wakijiuzuru, bado vitendo viovu vya utekaji, utesaji na Mauaji ya kiholela vitaendelea kutokea..

Ukitaka kuua mti suluhisho sahihi ni kuchimbua mizizi yake yote kabisa, lakini siyo kukata matawi yake tu kwani ukikata matawi yake lazima baadaye mti huo utakuja kuchipua Tena na kustawi
 
Hata Mabosi wao wakijiuzuru, bado vitendo viovu vya utekaji, utesaji na Mauaji ya kiholela vitaendelea kutokea..

Ukitaka kuua mti suluhisho sahihi ni kuchimbua mizizi yake yote kabisa, lakini siyo kukata matawi yake tu kwani ukikata matawi yake lazima baadaye mti huo utakuja kuchipua Tena na kustawi
Mimi nimekuelewa Masauni akijiuzulu bado Kamishina Awadh yupo pale wakfanya fyoko anaenda kuwashushia mkong'oto na Jamaa wanamuogopa sasa hivi kweli Awadh kiboko
 
Wewe unaejua kiini waambie
Kiini Cha majanga yote haya ni kwamba Katiba ya nchi ambayo ipo pamoja na Sheria zingine za nchi zilizopo zinawaruhusu na zinawapa Mamlaka hao Walalamikiwa KUUA WATU KWA UHOLELA na bila ya hao Wauaji kuweza kuwajibishwa Wala kuchukuliwa hatua zozote zile za kisheria, kama vile kushitakiwa kwa Kesi za Mauaji au kwa Kesi ya Ugaidi au Uhaini.
Kwa hiyo mchawi wa matatizo yote haya ni kuwepo kwa Katiba mbaya sana na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya kwani zinawapa Kinga hao Wauaji wasiweze kuwajibishwa mahali popote pale.

Mathalani, kwlutokana na hayo maovu na Uhalifu mkubwa sana uliofanywa na hao Watu, Je, upo uwezekano wa kwenda kuwafungulia Kesi za Mauaji ya kupanga, au Kesi za Ugaidi hao Watu ambao wanatuhumiwa kuhusika na Mauaji/Uhalifu huo? Je, upo uwezekano wa ndugu za Wahanga waliouawa kinyama kuweza kwenda Mahakamani ili kuwafungulia Kesi za Mauaji au Kesi za Ugaidi dhidi ya wakuu wa vyombo vya usalama vinavyotuhumiwa kwenye mkasa huu, Yaani kuwashitaki Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) pamoja na Mkuu wa Tiss? Je, inawezekana hilo kufanyika??
 
Kiini Cha majanga yote haya ni kwamba Katiba ya nchi ambayo ipo pamoja na Sheria zingine za nchi zilizopo zinawaruhusu na zinawapa Mamlaka hao Walalamikiwa KUUA WATU KWA UHOLELA na bila ya hao Wauaji kuweza kuwajibishwa Wala kuchukuliwa hatua zozote zile za kisheria, kama vile kushitakiwa kwa Kesi za Mauaji au kwa Kesi ya Ugaidi au Uhaini.
Kwa hiyo mchawi wa matatizo yote haya ni kuwepo kwa Katiba mbaya sana na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya kwani zinawapa Kinga hao Wauaji wasiweze kuwajibishwa mahali popote pale.
Ungetutajia na Vifungu vinavyowapa mamlaka ya kuua
 
Ungetutajia na Vifungu vinavyowapa mamlaka ya kuua
1. Je, umeisoma vizuri Katiba ya nchi hii hususani kuhusu masuala ya Haki za binadamu? Kwenye Katiba ya nchi Kuna Ibara inayoeleza kwamba Vyombo vya Usalama (e.g, Polisi) vitatumia "nguvu ya kadiri" katika kutekeleza majukumu yao, Je, hiyo "nguvu ya kadiri" unaweza ukaipimaje?????
2. Je, umezisoma vizuri Sheria za Usalama wa Taifa (Tiss) pamoja na marejeo yake na umezielewa vizuri???
 
ati ng'we ng'we ng'we jiuzulu, useless and nonsense narrative kabisa alaaa......
Kama nakuona vile umebenua kitako na mkono mmoja kounoni na mwingine unautumia kunisuta😃😃😃
 
Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.

Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.

Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.

Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Watajiuzuru iwapo hawajui kinachoendelea lkn iwapo na wao ni wahusika, hawawezi kujiuzuru labda wawajibishwe.
 
Back
Top Bottom