Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Mkuu huo ni mpango wa ccm nzimaYani hatuko salama asee. Naogopa hadi kulala pekee yangu dem wangu yuko night shift.
Wajiuzulu asee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huo ni mpango wa ccm nzimaYani hatuko salama asee. Naogopa hadi kulala pekee yangu dem wangu yuko night shift.
Wajiuzulu asee!
kosa lipi?Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.
Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.
Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wanasubiri Mkeka maana utamaduni wa kujiuzulu haupo Tanzania.Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.
Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.
Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Hayati Ali Hassan Mwinyi alitoa mfano.Naunga mkono hoja
P
lini ulikua na imani nao acha ushirikina wewe artist?Kwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.
Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.
Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
mkeka ni katika kuimarisha ufanisi katika utendaji wa shughuli za kuwatumikia waTanzania na kuwapelekea Maendeleo 🐒Wanasubiri Mkeka maana utamaduni wa kujiuzulu haupo Tanzania.
ilisaidia nini kwa mfano 🐒Hayati Ali Hassan Mwinyi alitoa mfano.
Waondokeee!!!!! Wameshindwa kazi hatuwahitaji Tena.Hata wakijiuzuru bado haitasaidia kitu chochote kile.
We have to find the proper solution for this problem.
AstaghafululahMzee Mbowe angetuachia sekunde kadhaa juzi pale msibani, Wallah Leo tungekua tumekula ubwabwa wa masauni
Masauni anasema alienda pale kwa niaba ya rais kwa hio aliemtuma kwenda pale ni rais angekua ni maamuzi yake mwenyewe asingeenda pale wala asingetia mguu,Waondokeee!!!!! Wameshindwa kazi hatuwahitaji Tena.
Kweli Ila hao inabidi watangulie kujiuzulu kwanza, hivi zile habari za Awadh ziliishia Wapi?Hao wakijiuzulu leo, ama wakitumbuliwa. Utekaji na mauaji yakiendelea. Mtakuwa mkitaka watu, wajiuzulu tu? Ukitaka kuondoa mchwa, ondoa malkia wao.
Huwezi mbishia bosi wako, akikwambia ni amri siyo ombi. Si mnawachekea viongozi wakubwa, mnawaonea dagaa. Ndiyo wataongeza zaidi sababu wanajua hawaguswi wao. Hiyo ya Awadh itakuwa imenipita Mkuu, hebu nielezeeKweli Ila hao inabidi watangulie kujiuzulu kwanza, hivi zile habari za Awadh ziliishia Wapi?
Mtu ambaye hujui kuishi bila uchawa ni laana kwa ummalini ulikua na imani nao acha ushirikina wewe artist?
Amini Mungu Pekee.
viongozi wasio jasiri wasio na mipango ndio hukimbia mikwamo na matatizo kwa kisingizio cha kujiuzulu.
ni dhana ya kizamani ya kujipa umuhimu usiokua na maana kukimbia tatizo, ili umuachie nani?
yaani watu waviziane kwasabb za kisiasa au wafumaniea huko na kuumizana au kuuana mwingine ajiuzulu?🐒
Awadh aliwatwanga mangumi Mnyika na Sugu kule Mbeya akawaburuza wote mpaka Mwenyekiti kutoka Mbeya hadi Dar au ndio wamemsamehe siku nyingine akawatwange tena na hakuna wa kumfanya kitu?Huwezi mbishia bosi wako, akikwambia ni amri siyo ombi. Si mnawachekea viongozi wakubwa, mnawaonea dagaa. Ndiyo wataongeza zaidi sababu wanajua hawaguswi wao. Hiyo ya Awadh itakuwa imenipita Mkuu, hebu nielezee
wa kuwajibika ni namba 1. tunazunguka mbuyu yeye ndiye anatoa order za mauajiKwa haya yaliyotokea na yanayoendelea kutokea. Ni ukweli kwamba imani yetu wananchi kwa jeshi la polisi imeshapotea.
Tumepoteza imani na Rais pia. Sababu za kupoteza imani ni kutochukua hatua thabiti dhidi ya vilio vyetu kuhusu utekaji, upotezaji na uuaji wa wananchi wa Tanzania.
Kwa kuwa taratibu za kumuwajibisha Rais siyo rahisi, lakini hawa wasaidizi wake ambao ni Waziri wa Mambo ya ndani na IGP tunaweza kupaza sauti wawajibike. Wawajibike kwa kujiuzulu.
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Wajiuzulu
Sawa, kuimarisha utendaji na kupelekea maendeleo ni muhimu kwa ustawi wa Watanzania.mkeka ni katika kuimarisha ufanisi katika utendaji wa shughuli za kuwatumikia waTanzania na kuwapelekea Maendeleo 🐒
Waondokeee!!!!! Wameshindwa kazi hatuwahitaji Tena.
wa kuwajibika ni namba 1. tunazunguka mbuyu yeye ndiye anatoa order za mauaji
Awadh aliwatwanga mangumi Mnyika na Sugu kule Mbeya akawaburuza wote mpaka Mwenyekiti kutoka Mbeya hadi Dar au ndio wamemsamehe siku nyingine akawatwange tena na hakuna wa kumfanya kitu?
Huwezi mbishia bosi wako, akikwambia ni amri siyo ombi. Si mnawachekea viongozi wakubwa, mnawaonea dagaa. Ndiyo wataongeza zaidi sababu wanajua hawaguswi wao. Hiyo ya Awadh itakuwa imenipita Mkuu, hebu nielezee
Inavyoonekana wa-Tanzania wengi sana bado hawajui kiini hasa Cha matatizo mengi ya Kiutawala yaliyopo kwenye nchi hii, bado hawajui sababu za kuwepo kwa matatizo hayo.Kweli Ila hao inabidi watangulie kujiuzulu kwanza, hivi zile habari za Awadh ziliishia Wapi?