Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Amesema hayo wakati akitoa salamu za Serikali Jijini Tanga wakati wa Msiba wa aliyekuwa Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ali Mohamed Kibao.
Pia soma:
~ Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
~ Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
~ Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuhudhuria mazishi ya Ally Mohamed Kibao jijini Tanga