Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Your browser is not able to display this video.
Amesema hayo wakati akitoa salamu za Serikali Jijini Tanga wakati wa Msiba wa aliyekuwa Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ali Mohamed Kibao.
Pia soma:
~ Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
~ Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
~ Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni kuhudhuria mazishi ya Ally Mohamed Kibao jijini Tanga