Waziri Mbarawa ataja sababu za kubinafsisha bandari zetu kwa wageni

Huyu professor naye na Fala kama mafala wengine. Serikali inashindwa kuwasimamia watumishi wake itaweza kwa secta binafis
Sasa kipi unachopendekeza ?!!![emoji15]

Ya kwamba upembuzi yakinifu kufikia uamuzi huu haujafanyika?!!!

Ni kuwa kuhitaji mifumo ya tehama kusomana Kati ya TRA na TPA si suluhisho la changamoto katika bandari zetu?!!!
 
[emoji106]
 
Waliingia hiyo mikataba kwa ruhusa ya nani?
 
Kwani mh.Mpina naye hataki kuona mifumo ya TEHAMA kati ya TPA na TRA inasomana?!!!
Anataka. Ila mkataba wa IGA ndo anashauri kuutathimini madhara yake hasa kujilock kwa mwekezaji na mbadala tutumie tu M o U kama sekta nyingine.
....sina hakika kama tuko pamoja endapo uko busy huko BBT
 
Huyu professor naye na Fala kama mafala wengine. Serikali inashindwa kuwasimamia watumishi wake itaweza kwa secta binafis
Mimi siku nyingi sana nimeomba tuanze na kuwatafuta wawekezaji wa kutuendeshea serikali yetu kwa ufanisi, kwa sababu matatizo yetu yote yanasababishwa na hawa watu waliomo serikalini.

Huyu Profesa Makame hapo zamani nimchukulia kuwa mtu makini, kumbe hana kitu chochote cha maana.

Hovyo kabisa!

Hata haoni aibu, TICTS wamekaa hapo zaidi ya miaka 20, lakini bado haoni jinsi maelezo yake yanavyopingana yenyewe!
 
Ufisadi mwingine huo unatengenezwa.

Mtu anasimama bila aibu kabisa kutetea wizi.

Haya mambo Mungu hayapendi jamani tuyaache.
 
Huyu professor naye na Fala kama mafala wengine. Serikali inashindwa kuwasimamia watumishi wake itaweza kwa secta binafis
Ni mzanzibari, wazanzibari ni watu wa cherekochereko tu wavivu kufikiri, arudi akaendeshe bandari za kwao,
 
safari zile za ghuba hakuna mwekezaji mzuri duniani tuingie ubia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…