greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Soma kichwa cha thread yako,,unajua unajichanganya.
teknolojia ya treni ya umeme hipo mda mrefu hata nchi bado kupata uhuru.wewe unataka treni ambayo ni teknolojia hata steji ya pili bado.hiyo magnet ni teknolojia mpya kwa dunia ya sasa sawa na gari za umeme kama tesla.
usiluke mambo
Mi nimekufahamisha kwamba hatuwezi kuwa na treni kama ya Japan (ulitaja kwenye heading)...
Hizo Japan wana treni za mwendokasi wa km300 + for over 20 years sasa.