Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Kenya train yao ni 120km/h sidhani kama ni kiwango kikubwa sanaMbona sijaweka tusi lolote! Kama kunatusi samahani inawezekana kiswahili kimekua.
Treni ya SGR Kenya ina mwendo kasi zaidi ya hii yetu, huo ndio ukweli. Huu mpango wa kubadili reli ulipitishwa na Jumuia ya Afrika Mashariki(EAC) kwa sababu nchi zote tatu reli zimeungana.
Angalau ni kikubwa, yetu wanakigugumizi kuisema!Kenya train yao ni 120km/h sidhani kama ni kiwango kikubwa sana
Unajua watu wa namna hiyo wakifanya hata kidogo ni kuwashukuru kuliko kuja kusikia taarifa ya CAG harafu wezi hawafanywi kitu...Angalau ni kikubwa, yetu wanakigugumizi kuisema!
Hata hii huenda tumepigwa, treni rasmi haijaanza wao wanashauri eti watu binafsi nao wawe na treni zao! Ndiyo hizo injini na mabehewa mapya, yetu ya mitumba.Unajua watu wa namna hiyo wakifanya hata kidogo ni kuwashukuru kuliko kuja kusikia taarifa ya CAG harafu wezi hawafanywi kitu...
Kupiga lazima wapige ndio maana mimi nashukuru hata kwa hiki kidogo kilichobaki sasa ninyi mnataka zipigwe zote tusomewe taarifa na CAG...ukisikia kiongozi anasema maendeleo ya Nchi ni kuwa na namba E nyingi bara barani jua kuna tatizo kubwa zaidi ya hili tunalolijua...Hata hii huenda tumepigwa, treni rasmi haijaanza wao wanashauri eti watu binafsi nao wawe na treni zao! Ndiyo hizo injini na mabehewa mapya, yetu ya mitumba.
Unaweza kuthibitisha kauli yako? Serikali imesema masaa matatu mpaka manne.Taratibu sasa naanza Kumuelewa aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump aliposema Waafrika hatuna Akili kabisa.
Serikali ipi labda ya hapa nchini Uganda nilipo sasa au ile ya Nyumbani Kwetu kule Nchini Rwanda kwa Mwamba Kagame?Unaweza kudhibitisha kauli yako? Serikali imesema masaa matatu mpaka manne.
Nikimaliza Kukuweka ( Kukupigisha Miluzi ) ndiyo nitaanza.Popoma akianza kutukana mni tag tafadhali
Basi endelea kufuatilia ya Uganda na Rwanda ambapo hamna hata kilomita 1 ya reli hayo ya Dodoma na Dar tuachie wenyewe..Serikali ipi labda ya hapa nchini Uganda nilipo sasa au ile ya Nyumbani Kwetu kule Nchini Rwanda kwa Mwamba Kagame?
Kwahiyo iitwe Treni ya Mwendokasi au tuiite Treni ya Mwendokasi Kiasi?Basi endelea kufuatilia ya Uganda na Rwanda ambapo hamna hata kilomita 1 ya reli hayo ya Dodoma na Dar tuachie wenyewe..