Waziri Mbarawa yuko sahihi, Askari wa Traffic wanachangia ugumu kwenye sekta ya Usafirishaji

Waziri Mbarawa yuko sahihi, Askari wa Traffic wanachangia ugumu kwenye sekta ya Usafirishaji

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Waziri Mbarawa yuko sahihi Askari wa Traffic wanachangia ugumu kwenye sekta ya Usafirishaji

Alikuwa akiongelea kuhusu kupunguzwa kwa vituo vya mizani ili mizigo iwahi inakoenda alisema ni vizuri na askari was Traffic wakapunguza usimamishaji magari ili mizigo iwahi inakoenda

Naunga mkono hoja hiyo Rais kama alivyokutana na viongozi wa machinga akutane pia na wamiliki na viongozi wa chama cha madereva na makondakta wa malori na daladala wazungumze naye kuhusu kero za maruhuni Traffic njiani

Mfano daladala Dar kuwa nayo ni kuanzisha mradi wa kuwanufaisha Traffic.Ukiongea na madereva na makondaka wanasema kila siku lazima watoe pesa kwa traffic kwenye route Zao hasa Dar .Wanasimamisha kuchelewesha watu safari zao

Magari ya mizigo ndio usiseme ni kupigwa mkono simama hadi ukome njia nzima
 
Rushwa ya traffic imehalalishwa na serikali, takukuru hawaishugulikii, wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao
 
Waziri Mbarawa yuko sahihi Askari wa Traffic wanachangia ugumu kwenye sekta ya Usafirishaji

Alikuwa akiongelea kuhusu kupunguzwa kwa vituo vya mizani ili mizigo iwahi inakoenda alisema ni vizuri na askari was Traffic wakapunguza usimamishaji magari ili mizigo iwahi inakoenda

Naunga mkono hoja hiyo Raisi kama alivyokutana na viongozi wa machinga akutane pia na wamiliki na viongozi wa chama cha madereva na makondakta wa malori na daladala wazungumze naye kuhusu kero za maruhuni Traffic njiani

Mfano daladala Dar kuwa nayo ni kuanzisha mradi wa kuwanufaisha Traffic.Ukiongea na madereva na makondaka wanasema kila siku lazima watoe pesa kwa traffic kwenye route Zao hasa Dar .Wanasimamisha kuchelewesha watu safari zao

Magari ya mizigo ndio usiseme ni kupigwa mkono simama hadi ukome njia nzima
Kwaiyo mnataka traffic wasiwepo? mlikuwa mnasema Magu alifunga nchi Sasahivi nchi imefunguliwa mnalialia,sijajua Tanganyika mnataka muongozwe na nani?
 
Back
Top Bottom