Waziri Mchengerwa anena kuhusu watumishi wazuri

Waziri Mchengerwa anena kuhusu watumishi wazuri

Hataweza kulimaliza Hilo tatizo hao watu wanalindana mno Hilo asahau kulimaliza labda aweke wapelelezi wasiojulikana ndo atalipunguza
Mchengerwa ni mtu wa Haki, ni mtu asiye penda uonevu, ni mtu mchamungu wa kweli.

baadhi ya watendaji wasio na hofu ya Mungu ndio huwaonea walio chini yao.

ni mijitu inayo dhani itakaa kwenye nafasi hizo milele!

Waziri Mchengerwa anapaswa atoe namba yake ya simu amabayo itakuwa inapokea m
 
Nilishangazwa nilipotembelea Taasisi moja ya Serikali kumkuta mtu mmoja Smart....yupo porini anasimamia Taasisi ndogo....nilipokumnlbuka niliowakuta Wizarani nilichoka kabisa!
Tunasafari ndefu Sana!
ukijiona una uwezo mkubwa na mzuri kiutendaji ni bora ukafanye kazi kwenye taasisi na mashirika binafsi kuliko kwenye umma, kama alivyo sema Waziri, utapigwa majungwa na fitina mwishowe unatupwa huko au unapotezwa kabisa porini huko.

matokeo yake Serikali inakosa watendaji weledi kutokana na majungu na fitina.

Waziri anao wajibu wa kusafisha kabisa tabia hii ambayo imeota mizizi.

tabia hiyo pia inaendana sana na kujuana, utafiti unaonyesha kama hujuani na yeyote juu utateseka sana kwenye utumishi wa umma.
ni muhimu jambo hilo lika komeshwa.
 
kwa sisi wa taasisi na kampuni binafsi tunaofanya kazi na serikali karibu kwenye kila nyanja huwa tunabaki na mshangao namna utendaji kazi unavyofanywa isee ukweli mchungu sisi Watz bado Sana...
mfumo wwnyewe kaka,ukiona unazubgushwa ni kuwa ishu uumeileta,mkuu wa idara hawez kusema lastly mpaka murugenz aseme.so na unakuta barua yako mpk iende masjala ishubyako ishushwe kwetu,unakuta mkui yupo kikao cha cmt inabid urud kesho tu hakuna namna
 
Tatizo watumishi wazuri wa serikali huku maofisini ndo hao wanoko huku.
 
Kwa sisi wa taasisi na kampuni binafsi tunaofanya kazi na serikali karibu kwenye kila nyanja huwa tunabaki na mshangao namna utendaji kazi unavyofanywa isee ukweli mchungu sisi Watz bado Sana...
Tatizo nyie wa private mnajikuta mnajua sana na mnavyopelekeshwa kaa ukielezwa taasisi zenu hazina wateja wengi kuliko serikali watanzania ni wachapa kazi haswa sema wizi na Majungu.

Unaenda sehemu unakuta mtandao unasumbua hata wao wafanyao kazi hawapendi situation kutokea we unataka kila kitu upate ontime

Ishu ni mifumo mibovu mpaka internet unakuta unasumbua haswa watu wanaofanya kazi na department nying kwa wakati mmoja
Hayo malalamiko kila siku kuja nayo mitandaoni uonevu upo watu wanafanya vizuri tena sana.
 
Waziri wa Utumishi wa Umma, Mhe. Mchengerwa amesema watumishi wengi wenye uwezo mzuri wa kiutendaji wana fanyiwa mizengwe na majungu ya kuharibiwa kazi, na mbaya zaidi mabosi wao wanakuwa ni sehemu ya kuwaharibia...
Hivi hawa jamaa hawawezagi kutenganisha siasa na dini yao wanapozungumza?, yaani mtu anajisahau kwamba hayupo kwenye nyumba ya ibada..
 
Ukutane na Mkuu wa Idara MEN IN BLACK halafu Incompetent.....
That was my boss, ameletwa ofisini Ila kila kazi ananiita nimuelekeze hajui kitu maana ana miaka mingi kazini Ila sekta aliyokuwa anaitumikia ipo tofauti na yetu kule ni wizara huku ni corporate body, Kuna vikao vya bodi na Mambo tofauti hata namna ya kurespond hoja za bodi na Mambo mengine ya kuitawala.

One day I was fed up nikaandika pepa ikaenda kwa Mwenyekiti wa bodi wakaja kugundua ni kweli aliondolewa akarudishwa alikotoka maana nilijikuta nafanya kazi zangu na zake it was tiresome nilitamani hata kuacha kazi maana yeye anakula mshahara mkubwa for nothing.

Boss akiingia kikao Cha bodi wewe inabidi uwe na simu masaa yote kumsaidia majibu Sasa maana yake nini? And when it comes kwenye safari za nje anajipa yeye hata kusema jamaa yangu hii safari nenda kaoshe macho ndio kwanza ananiambia unajua Sina wa kumyetemea so nakukabidhi ofisi, bastard.
 
Kusema tu haitoshi bali kuchukua hatua madhubuti ktk kuhakikisha hiyo kasumba inaondoka miongoni mwa utumishi wa Umma.
 
Mchengerwa umesema ukweli mpaka umepitiliza. Viongozi serikalini àmbao wengi ni wanaCCM wamekalia majungu na roho mbaya Kwa watumishi Wenye uwezo na tija. Wakiona wamewashindwa wanawachomekea kuwa ni wànachama wa CHADEMA.
AANZE na ishu ya MBOWE ndo ataeleweka kwanza... Watu smart kichwani wanakuwa mAgaidi silaha NENO KATIBA MPYA
 
Waziri ana nia njema sana,atoe namba za simu apokee taarifa moja kwa moja toka wahanga.
hapo umenena mkuu.
watumishi wanaonewa sana na viongozi wao wa juu, na hawana wa kumlalamikia.
bora waziri atoe namba yake ili asikilize malalamiko yao moja kwa moja.
hii tabia ikiachwa iendelee ni hatari sana.
 
Hili zoezi lianze mara moja ili kurejesha matumaini kwa watumishi walio vunjwa moyo na maonevu waliyo fanyiwa na viongozi wao.
 
Huyu Jamaa anasema tu Lakini wako Watumishi Kibao wamemfuata awasaidie hajasaidia Mtu yeyote kila aliemufuata alilalamika jamaa hajali kabisa unamwambia jambo yeye anaaangalia pembeni ndio shida ya Hawa vijana wakipata madaraka wanakua tofauti sana...
Wako Watumishi walionewa sana Kulikua na style ya kuwazushia Ni chadema ili wakomolewe...
 
Back
Top Bottom