MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nimekusikia Clouds Tv na Radio Leo ukikitaka Chuo cha Michezo cha Serikali nchini cha Malya kufanya Tafiti kujua kwani Tanzania haiendelei Kisoka.
Nami MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' nakuambia kuwa huna haja ya Kuwasumbua na Kuwasubiria Wao na Mimi nakupa Majibu yako hapa hapa...
1. Serikali kutokuwa Makini
2. Siasa za CCM kuingia Michezoni
3. Usimba na Uyanga Uliokomaa
4. Unafiki wa Wanamichezo wa Tanzania
5. Upumbavu wa Viongozi wa Soka nchini
6. Maandalizi ya Zimamoto
7. Kutaka Kutembea kabla ya Kutambaa
Ili Tanzania yako ifanye vyema Kisoka anzia kwa haya Mambo yangu Saba (7) niliyokutajia hapa na hutokuja Kujutia kamwe.
Nami MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' nakuambia kuwa huna haja ya Kuwasumbua na Kuwasubiria Wao na Mimi nakupa Majibu yako hapa hapa...
1. Serikali kutokuwa Makini
2. Siasa za CCM kuingia Michezoni
3. Usimba na Uyanga Uliokomaa
4. Unafiki wa Wanamichezo wa Tanzania
5. Upumbavu wa Viongozi wa Soka nchini
6. Maandalizi ya Zimamoto
7. Kutaka Kutembea kabla ya Kutambaa
Ili Tanzania yako ifanye vyema Kisoka anzia kwa haya Mambo yangu Saba (7) niliyokutajia hapa na hutokuja Kujutia kamwe.