Anagusa Mzinga Wa Nyuki HajuiWaziri hata hajui mambo ya mpira msimamizi wake mkuu ni FIFA, anataka kujichanganya kwa kujazwa upepo wa kishabiki na Mwigulu halafu Tqnzania ije kufungiwa na FIFA ndio hawa vilaza watapata akili.
Hatuwezi Hata Ukiinunua Utaifunga Wapi?Kurekebisha pitch tu tumeshindwa hiyo VAR tutaweza kweli!
Huenda wewe ndio mchengerwa, huo ubora na haki sijaziona kwake.Ww ni mpumbavu sana,you're too negatively huna jema..huna lengo LA kujenga..huna LA maana uliloshauri lifanyike zaidi ya kukosoa kwa chuki,wivu na husda.
Waziri MChengerwa ni miongoni mwa Mawaziri bora sana ktk serikali hii..hazungumzi kwa kumuonea MTU,wala kumpendelea MTU.
Waziri Mchengera ni mtenda haki,ww umeonyesha chuki zako waziwazi kwa Mchengerwa na Mwigulu Nchemba kwa sababu tu Mwigulu ni Yanga ndie awali alishauri wazo LA VAR.
Nchi haiongozwi kwa mihemko na kishabiki ili kupendelea au kudhoofisha jamii ya watu Fulani.
Hiki ulichozungumza hapa kama una lengo LA kumtoa kwenye reli Waziri Mchengerwa nimuombe tu akupuuze na aendelee kufanya kazi zake.
Manungu pale itapendezaHatuwezi Hata Ukiinunua Utaifunga Wapi?
Nyamagana, Kaitaba, Dodoma, Morogoro, Ama Sijui Tumelogwa
Nimesoma andiko la huyo mdau, aliewaita wenzie wajinga, bila kuona welevu wake.Duuh kaka umesoma mara mbili mbili kabla ya kijibu? aisee..ebu rudia tena kusoma bila kuleta Uyanga na Usimba tafadhali....
Naam: Tena Ni njia hata isio na gharama kubwaHata hii itawezekana...inakuwa ni TV ambayo kuna watu hata wanne nao wanaangalia pamoja na muamuzi; wanaweza kurudiarudia kadri wanavyotaka....kisha wanamwachia muamuzi atoe maamuzi. Kwa hiyo muamuzi anatoa maamuzi huku akijua kuwa kuna watu wameona lile tukio pia.
Wacha wafungiwe kama Gambia serikali iliposimamia Mpira walifungiwa miaka ya 2009 wakafunguliwa 2017 leo Gambia inacheza nusu fainal ya Afcon sisi ambao hatujafungiwa tupo na simba na yanga tuu hapa wakati wenzetu wanatoa wachezaji Nje sisi tupo busy hapa hapa ndani...Waziri hata hajui mambo ya mpira msimamizi wake mkuu ni FIFA, anataka kujichanganya kwa kujazwa upepo wa kishabiki na Mwigulu halafu Tqnzania ije kufungiwa na FIFA ndio hawa vilaza watapata akili.