Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nani amekwambia nchi hii inataka usawa? familia nzima ya Kikwete ipo bungeni, Mke na Mume Mchengerwa + mama mkwe ni Rais unategemea usawa kutoka wapi?Kwa kufanya hivyo kunakuwa na mgaongano wa maslahi.
Hivyo si Sawa.