Waziri Mchengerwa na maamuzi ya ovyo ovyo!

Waziri Mchengerwa na maamuzi ya ovyo ovyo!

Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Kumbuka kuwa Mchengerwa ni Mkwe wa Maza. Hata leo amesifiwa kuwa ana kifua.... Hivyo ksoelrkwa Tamiseni kwa kazi maalumu ya kuiba kura 2024. Nilitegemea kati ya mawaziri wote angemsifia Biteko kwa utendaji na ndiyo sababu kapewa Naibu Waziri Mkuu. Cha ajabu kamdingle out Mkwewe. Kuoa Pwani kuna raha zake.
 
Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.
Dawa yao ipo jikoni
 
Ni mpiga kazi mzuri......hilo halina shaka. Mengine ni chuki binafsi za watu
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Ndgu yangu na kuambia ukweli hamna mtanganyika muislamu anae weza kuchukia Zanzibar hilo usimlaumu huyu, udungu wa dini kwa muislamu unanguvu kuliko udungu wa taifa.
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Sababu ya Mchengererwa kupelekwa TAMISEMI ni kufunga goli la mkono Bila shaka..
1694060604778.png
 
Mfumo ndio unaruhusu hayo.

US mtu anateuliwa na rais ila lazima apite kwenye senate hearings kwanza na akivuka kwa kura ndio anachukua nafasi.

Mfano secretary of treasury huyu mtu lazima awe na background iliyoshiba .

Pia mtu huyu hawezi kuwa member wa congress kwa wakati mmoja akiserve kama secretary of treasury.

Ila utashanga kwa Tanzania mtu anashika kofia mbili kwa wakati mmoja na hata kila anachoshika kinamshinda wanaishia kuhamishana tu mtu akipwaya wakati anatakiwa awekwe kando, kwa akili tu ya kawaida mtu anahama wizara zaidi ya mbili tofauti kwa miaka miwili huoni ni tatizo hilo maana anayepanga mtu awe waziri ni rais na haulizwi na huyo mtu hathibitishi kwa kura kama wenzetu maana yake ni kuwa bongo rais anaweza teua hata washkaji zake baraza zima na akawa anawahamisha tu akijisikia.

Ndio maana naona hata Bambo na Kingwendu wanaweza kuwa marais kwa nchi ilipofikia
Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati.....
 
Heshima sana wanajamvi.

Waziri Mchengerwa kila Wizara anayoisimamia kuanzia Utumishi & Utawala bora,Utalii na Maliasili na sasa TAMISEMI amekuwa akiacha maamuzi ya hovyo.

Mchengerwa akiwa Maliasili na Utalii alihusika pakubwa kuuza misitu yetu kwa waarabu.

Mchengerwa akiwa Utumishi aliandaa utaratibu wa hovyo wa kutenga ajira 21% kwa Wazanzibar katika taasisi zote za Muungano kama TRA,BOT............

Mchengerwa akiwa TAMISEMI kafuta vijiji, Kata huko Ngorongoro.

Ngongo kwasasa Kizimkazi.
 
Mchengerwa hana tofauti na Count Gian Galeazzo Ciano, waziri wa mambo ya nje wa Italy na mkwe wa dikteta Benito Mussolini. Alikuwa na mishe hizihizi za kumfurahisha baba mkwe kwenye upumbavu, ila mwishone wakasnitchiana.​
Duh 😇
 
Let’s be realistic, hata hao waaarabu wanaelewa hawawezi ichukukua Ngorongoro yote.

Huyo Samia pia anaelewa hawezi gawa Ngorongoro yote.

Shida ya Ngorongoro imeanza toka zama Mkapa, JK, (ikatulia kidogo kwa Magufuli) imeibuka tena kipindi hiki.

Unless waarabu wanaleta wahamiaji wao ndio kungekuwa na hoja ya Samia kuuza Ngorongoro..

Issue ni kuzuia expansion of human activities into nature reserves na hakuna sehemu duniani

You can’t protect the Ngorongoro ‘fauna’ by tolerating Masai expansion into the animal ecology. That’s how it works when it comes to protecting the eco-system. Yiu can only control human activities and limit their expansion into the wild life but not that of animals.

Tusitake kujiaminisha Ngororo ndio nature reserves Tanzania, wakati 1/3 of Tanzania is protected na hakuna malalamiko kwengine.

Ngorongoro lazima iwe protected, wamasai hawawezi jiamkia tu na kuachwa wajianzishie vijiji vipya.
 
Let’s be realistic, hata hao waaarabu wanaelewa hawawezi ichukukua Ngorongoro yote.

Huyo Samia pia anaelewa hawezi gawa Ngorongoro yote.

Shida ya Ngorongoro imeanza toka zama Mkapa, JK, (ikatulia kidogo kwa Magufuli) imeibuka tena kipindi hiki.

Unless waarabu wanaleta wahamiaji wao ndio kungekuwa na hoja ya Samia kuuza Ngorongoro..

Issue ni kuzuia expansion of human activities into nature reserves na hakuna sehemu duniani

You can’t protect the Ngorongoro ‘fauna’ by tolerating Masai expansion into the animal ecology. That’s how it works when it comes to protecting the eco-system. Yiu can only control human activities and limit their expansion into the wild life but not that of animals.

Tusitake kujiaminisha Ngororo ndio nature reserves Tanzania, wakati 1/3 of Tanzania is protected na hakuna malalamiko kwengine.

Ngorongoro lazima iwe protected, wamasai hawawezi jiamkia tu na kuachwa wajianzishie vijiji vipya.
So Madam Tippu Tippu should displace the Maassai from the Ngorongoro in the name of Project Ecology, but in the same light grant mining licences to foreign conglomerates within the same national park. How ironic​
 
So Madam Tippu Tippu should displace the Maassai from the Ngorongoro in the name of Project Ecology, but in the same light grant mining licences to foreign conglomerates within the same national park. How ironic​
Mimi kwa hiyo attachment naweza kwenda UN na ku-argue namtaalamu yoyote kwanini wamasai waame.

Hiyo attachment ndio mambo utakayofundishwa kama unasoma degree ya environmental conservation kuanzia mwaka wa kwanza mpaka, masters (na diploma ya miaka miwili).

Sasa kama kuna watu wana akili wizara ya elimu nimewapa nyenzo ya kuandaa shahada, kama kuna watu wana akili TANAPA nimewapa nyenzo ya kutengeneza hoja maafisa habari kwanini wamasai lazima watoke Ngorongoro na kama kuna watu wana akili serikali nimewapa nyenzo ya kutengeneza propaganda na means of building justified arguments kwanini Masai lazima adhibitiwe Ngorongoro.

Shida zenyewe hizo akili wenyewe wanazo za kuelewa madini (nyenzo niliyowapa), hata watu wenye vyuo kwamba hizo ndio module zenyewe.

After that sina kingine cha kuongeza akili zetu watanzania zinatutosha wenyewe.
 

Attachments

Mfumo ndio unaruhusu hayo.

US mtu anateuliwa na rais ila lazima apite kwenye senate hearings kwanza na akivuka kwa kura ndio anachukua nafasi.

Mfano secretary of treasury huyu mtu lazima awe na background iliyoshiba .

Pia mtu huyu hawezi kuwa member wa congress kwa wakati mmoja akiserve kama secretary of treasury.

Ila utashanga kwa Tanzania mtu anashika kofia mbili kwa wakati mmoja na hata kila anachoshika kinamshinda wanaishia kuhamishana tu mtu akipwaya wakati anatakiwa awekwe kando, kwa akili tu ya kawaida mtu anahama wizara zaidi ya mbili tofauti kwa miaka miwili huoni ni tatizo hilo maana anayepanga mtu awe waziri ni rais na haulizwi na huyo mtu hathibitishi kwa kura kama wenzetu maana yake ni kuwa bongo rais anaweza teua hata washkaji zake baraza zima na akawa anawahamisha tu akijisikia.

Ndio maana naona hata Bambo na Kingwendu wanaweza kuwa marais kwa nchi ilipofikia
Bambo na Kingwendu!

Mzee elewa usanii ni fani halali ya mtu.

Usanii haumuondolei mtu sifa ya kuchagua ama kuchaguliwa.

Rais wa Ukrain ni mtu wa fani hiyo, huo ni mfano tu.
 
Danganyika imekuwa monarchy sasa.

Ni mwendo wa utawala wa kifalme.
 
Mimi kwa hiyo attachment naweza kwenda UN na ku-argue namtaalamu yoyote kwanini wamasai waame.

Hiyo attachment ndio mambo utakayofundishwa kama unasoma degree ya environmental conservation kuanzia mwaka wa kwanza mpaka, masters (na diploma ya miaka miwili).

Sasa kama kuna watu wana akili wizara ya elimu nimewapa nyenzo ya kuandaa shahada, kama kuna watu wana akili TANAPA nimewapa nyenzo ya kutengeneza hoja maafisa habari kwanini wamasai lazima watoke Ngorongoro na kama kuna watu wana akili serikali nimewapa nyenzo ya kutengeneza propaganda na means of building justified arguments kwanini Masai lazima adhibitiwe Ngorongoro.

Shida zenyewe hizo akili wenyewe wanazo za kuelewa madini (nyenzo niliyowapa), hata watu wenye vyuo kwamba hizo ndio module zenyewe.

After that sina kingine cha kuongeza akili zetu watanzania zinatutosha wenyewe.
Let's make life simple, relocate the Maassai only after you've paid them prompt and adequate compensation as provided by the Constitution and the Land Acquisition Act.

Secondly, don't covet the mineral riches within any reserved areas especially national parks.

What difference would there be, if we Kick the Maassai out, and grant mining licences to foreign conglomerates ?

Don't you see the double standards of Madam Tippu Tippu?​
 
Back
Top Bottom