Waziri Mchengerwa na maamuzi ya ovyo ovyo!

Waziri Mchengerwa na maamuzi ya ovyo ovyo!

Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Mchengerwa ni bumunda.
 
Mchengerwa mwenyewe ana uzanzibar ndani yake.

Baba yake ni mpemba alikuwa bosi wa kampuni ya mafuta BP miaka ya zamani.. mama yake mchengerwa ndie mtanganyika.. mama yake mchengerwa alikuwa air hostes wa Air Tanzania miaka ya 80s mpaka early 90s

Mchengerwa baba yake ni Mzanzibari kikatiba

Mchengerwa kwao ni Yombo vituka kwa limboa.. miaka ya 80s nyumba yao ndio ilikuwa inaonekana nyumba ya kitajiri huko yombo
Sasa naelewa sababu

Sent from my Infinix X689F using JamiiForums mobile app
 
Pale mamlaka ya uteuzi inapokomaa na watu wabovu basi ujue hata yenyewe pia ina tatizo.

Katiba na sheria alipaswa kumwacha Kabudi.

Ardhi alipaswa kumwacha Lukuvi.

Nishati alipaswa kumwacha Kalemani.

Huko kote amefanya mabadiliko na matokeo yake ni majanga matupu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muhimu tupiganie khs intergrity za wana kabla ya Mapendekezo yenu hapa….
 
Kuna watu hawapaswi kuwa mawaziri. Sema ni upendeleo tu. Na pengine aliwekwa huko maliaslli kimkakati kashamaliza kazi yake.

Hata ridhiwani aridhi, makamba nishati nafikiri wamishamaliza deals zao ndo wakahamishwa
Liz 1 morogoro kuna eneo linalingana na wilaya alijimilikisha . Na kuna mgogoro mkubwa eneo moja la kijiji linadaiwa ni la wawekezaji nahsi yeye ndo aliacha Hilo deal
 
Mchengerwa mwenyewe ana uzanzibar ndani yake.

Baba yake ni mpemba alikuwa bosi wa kampuni ya mafuta BP miaka ya zamani.. mama yake mchengerwa ndie mtanganyika.. mama yake mchengerwa alikuwa air hostes wa Air Tanzania miaka ya 80s mpaka early 90s

Mchengerwa baba yake ni Mzanzibari kikatiba

Mchengerwa kwao ni Yombo vituka kwa limboa.. miaka ya 80s nyumba yao ndio ilikuwa inaonekana nyumba ya kitajiri huko yombo
Ameendaje sasa kugombea ubunge pwani, wakati ni mtu wa dar na zenji?
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Namwonea huruma mamako kuzaa pumbavu km wewe
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Mjinga kabisa kitukinacho kusumbua wewe niudini unatataka kujificha kwenyeutanganyika hata haounasema wazanzibari walioko bara hunalolote unamanisha waislam hivi ulemsemotumezoea kuusikia kuwa mtuhuchaguliwa kwa vigezo auteseme uwezo haunamaana tena?Au watu hawa hawakusoma wamesoma madrasa tu haufai tena? Misemo hii ilituchelewesha sana angalia ufanisi tu achamambo yakizamani usiishi kwa mazoea Tanzania nimoja hatatukibaki wenyewe utasema huyu waarusha
 
Mjinga kabisa kitukinacho kusumbua wewe niudini unatataka kujificha kwenyeutanganyika hata haounasema wazanzibari walioko bara hunalolote unamanisha waislam hivi ulemsemotumezoea kuusikia kuwa mtuhuchaguliwa kwa vigezo auteseme uwezo haunamaana tena?Au watu hawa hawakusoma wamesoma madrasa tu haufai tena? Misemo hii ilituchelewesha sana angalia ufanisi tu achamambo yakizamani usiishi kwa mazoea Tanzania nimoja hatatukibaki wenyewe utasema huyu waarusha
Mpuuzi ni mpuuzi tu.

Kwahiyo unataka kusema hakuna 21% ya ajira kwaajili ya Wazanzibari!.

Hatujakabidhi ekta million 8 za misitu !.

Punguza upumbavu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Mchengerwa kama mchengerwa!
 
Hahahahahahaaaaa!
Huwa nacheka sana kila ninapoona mipumbavu imekusanyana na kulishanalishana upumbavu wao kama hivi.......inasikitisha na kukera tu kuona wengine ni watu wazima lakini hamna kitu. Ujinga, ujinga ujinga!
 
Heshima sana wanajamvi,

Mbunge wa Rufiji Mohamed Omary Mchengerwa amehudumu katika Wizara kadhaa za JMT.Katika Wizara zote alizohudumu kaacha kilio kikubwa na simanzi zisizo na kipimo kwa WATANGANYIKA wote.

Akiwa Waziri wa Utawala Bora na Utumishi alihakikisha WaZanzibar wanatengewa 21% ya ajira katika taasisi zote za muungano.Ninapo zungumzia Taasisi za Muungano ni pamoja na TRA,POSTA,BOT,BANDARI .........
Fikiria TRA wametangaza nafasi za ajira 200,Zanzibar watatengewa nafasi 42 huku Tanganyika wakiambulia nafasi 158 tu.Katika nafasi hizi 158 iwapo kuna Mzanzibar yupo huku Tanganyika anaweza kuomba bila kikwazo cha aina ypyote.

Ifahamike wazi Tanganyika ina idadi ya watu million 60 huku Zanzibar ikiwa na idadi ya watu wanaokaribia million 1 tu.Waziri Mchengerwa alipokuwa akkifanya maamuzi haya ya hovyo alitumia vigezo gani ?.Aliamua kuwapendelea WaZanzibar kwakuwa mke wake ni MZANZIBAR !.

Mchengerwa alipopelekwa Wizara ya Maliasili na Utalii kaamua kuwamilikisha WAARABU ekta million 8 za misitu bila kufikisha makataba Bungeni.Ni wazi kabisa tena pasipo shaka yoyote Mchengerwa hakustahili kurejeshwa katika baraza la mawaziri kwa kuliingiza taifa katika janga kubwa la kuuza misitu yetu kwa wageni pasipo kufuata utaratibu wa sheria za nchi.

Waziri Mchengerwa kapelekwa TAMISEMI sijui huko anakwenda kufanya kituko gani !.Labda atapigania Wazanzibar wajazwe huko ili kupata uzoefu.
Anafuata maelekezo ya mamamkwe wake
 
Back
Top Bottom