Waziri Mchengerwa ukimsikiliza anaonesha utofauti mkubwa na wengine kimtazamo wa 'kifenotipia' ila hatujui kuhusu 'Jenotipia' yake

Waziri Mchengerwa ukimsikiliza anaonesha utofauti mkubwa na wengine kimtazamo wa 'kifenotipia' ila hatujui kuhusu 'Jenotipia' yake

Jesusie

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
1,466
Reaction score
766
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,

 
Ukiona mtu kiongozi ana tafuta watu wa kumpatia kiki mitandaoni jua kuna jambo nyuma ya pazia.
Mchengerwa yuko kwenye kundi lililo mpachikia Mbowe kesi ya ugaidi. Nadhani sasa wameanza kuumbuliwa kwa kufeli an yao ya kesi za kubumba. Elewa Mh. Rais alisha onya hay amakesi wa kutunga. Sasa kuna kitu kiko jikoni na jamaa anataka aonekane ana akili ili Mama amuache.. Hata kama yeye ni. Mkwe kwenye hili jambo linalo chagua taswira ya nchi hatakuwa na undugu. Mchengerwa umechelewa sana.
 
Ukiona mtu kiongozi ana tafuta watu wa kumpatia kiki mitandaoni jua kuna jambo nyuma ya pazia.
Mchengerwa yuko kwenye kundi lililo mpachikia Mbowe kesi ya ugaidi. Nadhani sasa wameanza kuumbuliwa kwa kufeli an yao ya kesi za kubumba. Elewa Mh. Rais alisha onya hay amakesi wa kutunga. Sasa kuna kitu kiko jikoni na jamaa anataka aonekane ana akili ili Mama amuache.. Hata kama yeye ni. Mkwe kwenye hili jambo linalo chagua taswira ya nchi hatakuwa na undugu. Mchengerwa umechelewa sana.
Huyo mchengweraaa sijui ni ameoa mtoto wa Samia kwahiyo ni familia inajipongeza kwa kutawala mazuzu na kukandamiza demokrasia. Hana uhalali wowte wa kupongezwa na zuzu yeyote huko bungeni au lumumba buku7
 
Huyu bwana ni very humble ever,

Nadhani ni mfano mzuri sana kwa Watumishi wenzake wa Umma,

Kauli hizi zinamfanya mwanachi ajivunie Viongozi wake wa Serikali inayomuongoza,

Hongera Rais Samia,
Hongera DP DK Mpango,
Hongera PM Majaliwa
Hongera Waziri Mchengelwa
Hakika,
Anasema yeye si boss ila kiongozi,
Anasema yeye si Mtawala ila mtumishi,
Anasema watumishi kwa mara ya kwanza wamepata mtumishi wao wachape kazi,
 
Ukiona mtu kiongozi ana tafuta watu wa kumpatia kiki mitandaoni jua kuna jambo nyuma ya pazia.
Mchengerwa yuko kwenye kundi lililo mpachikia Mbowe kesi ya ugaidi. Nadhani sasa wameanza kuumbuliwa kwa kufeli an yao ya kesi za kubumba. Elewa Mh. Rais alisha onya hay amakesi wa kutunga. Sasa kuna kitu kiko jikoni na jamaa anataka aonekane ana akili ili Mama amuache.. Hata kama yeye ni. Mkwe kwenye hili jambo linalo chagua taswira ya nchi hatakuwa na undugu. Mchengerwa umechelewa sana.
Mbowe kawa gaidi kabla hata Mchengelwa hajawa waziri,
Msiwape watu ubaya usiowahusu,
Mahakama ni huru sana wacha tuiache ifanye kazi
 
Huyo mchengweraaa sijui ni ameoa mtoto wa Samia kwahiyo ni familia inajipongeza kwa kutawala mazuzu na kukandamiza demokrasia. Hana uhalali wowte wa kupongezwa na zuzu yeyote huko bungeni au lumumba buku7
Ameoa lini?
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Waziri huyu kwa mara ya kwanza nilimfahamu pale alipoleta hoja Bungeni akitaka kujua kwanini mradi wa Umeme wa Mwl Nyerere Rufiji (JNHPP) utakaotoa ajira ya zaidi 7,000 na serikali kuwekeza zaidi ya TZS 6.55trilioni unafanyika katika Wilaya ambayo haina hata benki ya Serikali au hata benki binafsi,

Hoja ile imepelekea Serikali kupeleka benki ya Maendeleo katika wilaya hiyo Kongwe na hata leo ukipita hapo njiani utaiona banki hiyo,hapa ndio nilianza kuona kitu kilichopo ndani ya Waziri huyu,

Hebu Msikilize hapa anachowaambia watumishi wenzake, Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kutuletea viongozi wa aina hii,

Watumishi chapeni kazi kwa bidii na maarifa kama ni mtetezi wa stahiki zenu zote hakika mnae,


Hana jipya,katoka familia ya Raisi,
Huyo ni mkwe wa Raisi Samia,ameoa binti wa Raisi
 
Apige kazi bado kijana mdogo...hata hivyo nampongeza kwa muda mfupi ameweza kuonesha mazuri. Upandaji wa madaraja haraka kwa watumishi,kulipa madeni ingawa bado kuna urasimu kwa baadhi ya taasisi katika kushughulikia madeni na malimbikizo ya mshahara. Kila la heri kwa Mheshimiwa Mchengerwa. Naamini cdm wanamchafua kwa makusudi kwa sababu ya kuwa Karibu na Mh. Rais
 
Apige kazi bado kijana mdogo...hata hivyo nampongeza kwa muda mfupi ameweza kuonesha mazuri. Upandaji wa madaraja haraka kwa watumishi,kulipa madeni ingawa bado kuna urasimu kwa baadhi ya taasisi katika kushughulikia madeni na malimbikizo ya mshahara. Kila la heri kwa Mheshimiwa Mchengerwa. Naamini cdm wanamchafua kwa makusudi kwa sababu ya kuwa Karibu na Mh. Rais
Hakika anaonesha mwanzo mzuri
 
Kupeleka benki ya Maendeleo kumewasaidia nini watu wa kipato cha chini walio wengi?

Benki si zina operate kibiashara ?
Kwahilo sioni Umaana wa Hoja yake bungeni.

Labda la kuwa mnyenyekevu tu ndio nauona ubinadamu wake
 
Kupeleka benki ya Maendeleo kumewasaidia nini watu wa kipato cha chini walio wengi?

Benki si zina operate kibiashara ?
Kwahilo sioni Umaana wa Hoja yake bungeni.

Labda la kuwa mnyenyekevu tu ndio nauona ubinadamu wake
Sawa hata hilo moja linatosha
 
Back
Top Bottom