Waziri Mkamba leo kwa mkao huu nimeamini kuwa wewe una dharau na umelelewa vibaya

Waziri Mkamba leo kwa mkao huu nimeamini kuwa wewe una dharau na umelelewa vibaya

Je hili nalo pozi bayaa?
 

Attachments

  • IMG_20221023_153433_150.jpg
    IMG_20221023_153433_150.jpg
    790.7 KB · Views: 3
Mtoa maada ni wale watu wanaokaa kwa kutanua kabisa na ni wale watu wanaoamini bila kuamkiwa hajaheshimiwa
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Mheshimiwa Madame Samia Suluhu Hassan
Ametoboa Siri Leo
Kasema Mwanangu Sikutoi Kwenye Hii Wizara, Tekeleza Maagizo Yangu
 
Kwa hiyo anatimua vumbi kwenye maji ama

Mbona hata mimi ni mkao wangu huo na pia viongozi na watu wengi wanakaa hivyo?

Nakumbuka hata Obama alikuwa anapenda kukaa hivyo pia

Hata kama ni chuki hii imezidi sasa
Screenshot_20221101-182730_Gallery.jpg
obama-in-oval-with-lincoln-bust_custom-2a46639f07a67e901805ec9135146814f8043b6f.jpg
 
Huyu jamaa simkubali kwa utendaji wake wa kuua kabisa bwawa ala kufua umeme. Lakini kwa mkao nasimama upande wake. ANAONEWA
 
Wanaume kukaa hivyo mbele za watu ni kawaida sana.

Hiyo ni mbinu ya kuzuia watu wasione kama umedindisha.Wanaume tumeumbiwa mateso unaweza ukawa katikati ya mazungumzo gafla Nyoka akatoka pangoni na huna rungu la kumuulia.
 
Mkimsingizia sana Makamba WATANZANIA watamuonea huruma na kumpa urais.

Majungu yenu yawe na mipaka pia yajikite kwenye facts.
 
Makamba ni 'zero brain' lakini anashaurika!
Kiongozi mwenye upeo mdogo anayeshaurika ni bora mara mia ya kiongozi mwenye upeo mkubwa, asiyeshaurika! 😎
Hakunaga kitu kama kiongozi mwenye upeo mdogo, ukishakua na upeo mdogo tulia uongozwe. Hatuwezi kutoka kwa akili kubwa kama Dr. JPM halafu tuongozwe na hilo garasa la mbumbuli
 
Wabongo wakikuchukia hakuna rangi utaacha kuona ,sasa huo mkao una shida gani?
 
Umeona ehh, anajiona sana hili jitu [emoji35]
Ehh Mwenye Enzi Mungu tusaidie Watanzania na utuepushe na watu kama hawa!
Uwiii ehh Mungu sikia jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Thinking capacity zinatofautiana baina ya MTU na MTU ! Wengine wanaamini ukiwaiga iga wakubwa fulani wanavyovaa au wanavyoweka mapozi kwenye kadamnasi basi na wewe utakuwa au utaonekana uko sawa au unastahili kuwa kama wao !!! Usisahau watu wengi wanaamini siasa ni uongo uongo tu. !! Hagar an !
 
Back
Top Bottom