Waziri Mkamba leo kwa mkao huu nimeamini kuwa wewe una dharau na umelelewa vibaya

Waziri Mkamba leo kwa mkao huu nimeamini kuwa wewe una dharau na umelelewa vibaya

Thinking capacity zinatofautiana baina ya MTU na MTU ! Wengine wanaamini ukiwaiga iga wakubwa fulani wanavyovaa au wanavyoweka mapozi kwenye kadamnasi basi na wewe utakuwa au utaonekana uko sawa au unastahili kuwa kama wao !!! Usisahau watu wengi wanaamini siasa ni uongo uongo tu. !! Hagar an !
Mwisho nilitaka kuandika hatar sn ! Simu inazingua sana hii
 
Thinking capacity zinatofautiana baina ya MTU na MTU ! Wengine wanaamini ukiwaiga iga wakubwa fulani wanavyovaa au wanavyoweka mapozi kwenye kadamnasi basi na wewe utakuwa au utaonekana uko sawa au unastahili kuwa kama wao !!! Usisahau watu wengi wanaamini siasa ni uongo uongo tu. !! Hagar an !
Wasukuma mmeanza majungu huo mkao hata mstaafu alikuwa anakaa hizo enzi zake mkasema ni raisi ajae baada ya jiwe

Kuimba kupokezana makamba kaa utakavyo 🚮🚮🚮🚮
 
Wasukuma mmeanza majungu huo mkao hata mstaafu alikuwa anakaa hizo enzi zake mkasema ni raisi ajae baada ya jiwe

Kuimba kupokezana makamba kaa utakavyo 🚮🚮🚮🚮
Kwakweli !
 
Na huu wa huyu Sukuma Gang mwenzako unauonaje?
JamiiForums829670902.jpg
 
Mimi binafsi simkubali kabisa Makamba, lakini katika hili la hii picha sijaona shida yoyote, ni pause lake la kawaida sana.
Chuki binafsi zisizidi sana.
1667488728025.png




During a conversation, sitting with crossed legs is seen as disinterested especially if your foot is pointing towards the door or away from the person you are talking to. Experts have noted that in a business setting, one sitting with a crossed leg is more likely to reject ideas, speak less, or even be inattentive compared to those sitting with open gestures. Worse, if you cross your arms also then it is a clear indication of your withdrawal from the conversation.
 
Makamba ni 'zero brain' lakini anashaurika!
Kiongozi mwenye upeo mdogo anayeshaurika ni bora mara mia ya kiongozi mwenye upeo mkubwa, asiyeshaurika! 😎
Inahitaji upeo mkubwa zaidi kumshauri kiongozi mwenye upeo mkubwa. Kwa bahati mbaya kwetu viongozi wenye upeo mkubwa na washauri ni nadra kutokea.

Mnaweza kupata kiongozi mkakosa washauri, au mkapata washauri na kukosa kiongozi.

Heri hilo la pili.
 
Back
Top Bottom