mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Mwisho nilitaka kuandika hatar sn ! Simu inazingua sana hiiThinking capacity zinatofautiana baina ya MTU na MTU ! Wengine wanaamini ukiwaiga iga wakubwa fulani wanavyovaa au wanavyoweka mapozi kwenye kadamnasi basi na wewe utakuwa au utaonekana uko sawa au unastahili kuwa kama wao !!! Usisahau watu wengi wanaamini siasa ni uongo uongo tu. !! Hagar an !