Mwisho nilitaka kuandika hatar sn ! Simu inazingua sana hiiThinking capacity zinatofautiana baina ya MTU na MTU ! Wengine wanaamini ukiwaiga iga wakubwa fulani wanavyovaa au wanavyoweka mapozi kwenye kadamnasi basi na wewe utakuwa au utaonekana uko sawa au unastahili kuwa kama wao !!! Usisahau watu wengi wanaamini siasa ni uongo uongo tu. !! Hagar an !
Mnamtafutia visababu tu.Ujinga mtupu.Kakae weye sasa!Kengelubete!
Wasukuma mmeanza majungu huo mkao hata mstaafu alikuwa anakaa hizo enzi zake mkasema ni raisi ajae baada ya jiweThinking capacity zinatofautiana baina ya MTU na MTU ! Wengine wanaamini ukiwaiga iga wakubwa fulani wanavyovaa au wanavyoweka mapozi kwenye kadamnasi basi na wewe utakuwa au utaonekana uko sawa au unastahili kuwa kama wao !!! Usisahau watu wengi wanaamini siasa ni uongo uongo tu. !! Hagar an !
Kwakweli !Wasukuma mmeanza majungu huo mkao hata mstaafu alikuwa anakaa hizo enzi zake mkasema ni raisi ajae baada ya jiwe
Kuimba kupokezana makamba kaa utakavyo 🚮🚮🚮🚮
Na huu wa huyu Sukuma Gang mwenzako unauonaje?
Mzungu sawa ni utamaduni wao na hulka yao ya kutudharauHapo ni Waziri Mkuu wa Spain akiwa na Rais Ruto kenya
View attachment 2404352
Yale yale ni dharau na kama kuna watu wanadharau wenzao ni akina KagameHapa kagame alikua na Rais wa Srilanka
View attachment 2404358
Mimi binafsi simkubali kabisa Makamba, lakini katika hili la hii picha sijaona shida yoyote, ni pause lake la kawaida sana.
Chuki binafsi zisizidi sana.
Sasa wewe ulitaka akaeje kwa mfano?
Kamshika Mama kaingia mkenge kwenye nishati safi vasi kiburi komeota
HakikaKwani alikuwa kwenye interview ya ajira?
Tupunguze malalamiko ,furahia maisha tu jinsi yalivyo Kuna vitu huwezi kubadilisha.
AbinukeSasa wewe ulitaka akaeje kwa mfano?
Inahitaji upeo mkubwa zaidi kumshauri kiongozi mwenye upeo mkubwa. Kwa bahati mbaya kwetu viongozi wenye upeo mkubwa na washauri ni nadra kutokea.Makamba ni 'zero brain' lakini anashaurika!
Kiongozi mwenye upeo mdogo anayeshaurika ni bora mara mia ya kiongozi mwenye upeo mkubwa, asiyeshaurika! 😎
Duh aisee.Abinuke