Waziri Mkenda hawa walimu walikosea nini hadi wapewe hii adhabu ya kuporwa madawati ya kukalia?

Waziri Mkenda hawa walimu walikosea nini hadi wapewe hii adhabu ya kuporwa madawati ya kukalia?

Mapoyoyo hai walimu. Wanashindwa kuwatafutia madawati wanafunzi qanajitafutia wao?

Hao wangechapwa na fimbo juu.

Hao ndiyo walimu wanaofundisha wanafunzi ujinga.
Jukumu la kuhakikisha samani za ofisi zipo ni la nani? Waalimu ni kazi yao kuwatafutia wanafunzi madawati?

Hivi una elimu kichwani wewe?

Nahisi ni mpumbavu kabisa wewe
 
Hii hali ndio inafanya watu wachukie kazi ya ualimu na wengine waione ni kazi ya utumwa na inayo dharauliwa kabisa!

Hivi inakuwaje Mwalimu anaporwa kiti au dawati la kukali kisha anakwenda kupewa mwanafunzi?

Haki za walimu ziko wapi kwanini mnawadhalilisha na kutweza utu wao namna hii?

Kwanini hiyo Kamati na watendaji walishindwa kutafita meza au madawati halafu walimu wana adhibiwa kwa kukosa pa kukaa?

Hivi hawa walimu ilikuwa jukumu lao kutafuta madawati? Kwanini hawa walimu wasichukie hii kazi? Wamekosa nini hadi wapewe hii adhamu?

View attachment 2882400
Uongozi wa kijiji na mtendaji Kata wao wamejinunulia samani za ofisi zao?
 
Mapoyoyo hai walimu. Wanashindwa kuwatafutia madawati wanafunzi qanajitafutia wao?

Hao wangechapwa na fimbo juu.

Hao ndiyo walimu wanaofundisha wanafunzi ujinga.
Mkuu kweli kazi ya kutafuta dawati ni ya mwalimu? Kipindi Tunaambiwa hela za uviko zimefanya makubwa kwenye shule zote tanzania hawa walisahaulika au ilikuaje. Tusiwabebeshe mzigo mkubwa shule zinamilikiwa na mkurugenzi wanafunzi kukosa madawati si kosa la mwalimu labda kama wakifeli kwa uzembe wa mwalimu hapo walaumiwe ila swala la miundombinu ya shule ni kazi ya serikali na serikali imeshindwa ikiongozwa na raisi msafiri asiejua changamoto za wananchi wake
 
Hiyo shule ipo kwenye wilaya ambayo ina mbunge ina mkuu wa wilaya na mkurugenzi afisa elimu na wengine wenye mamlaka inapotokea uhaba kama hivyo wawajibike wao sio waalimu wanawaonea kesho hiyo shule watoto wakifeli bado mtalaumu walimu sio poa kabisa
 
Mimi ningekuwa Mwalimu hapo ningeenda nyumbani kulala.

Ila kila siku nasema serikali ya CCM ndio inaongoza jahazi la watu kudharau walimu.....haiwezekani kila siku inajenga madarasa mapya bila kujenga nyumba za walimu au kuwalipa house allowance wala kuboresha maslahi......wananchi wanaona wanaenda na vibe, serikali imemjali mwanafunzi kuliko Mwalimu......haijali Mwalimu analala wapi au anaishi vipi.
 
Hiyo shule ipo kwenye wilaya ambayo ina mbunge ina mkuu wa wilaya na mkurugenzi afisa elimu na wengine wenye mamlaka inapotokea uhaba kama hivyo wawajibike wao sio waalimu wanawaonea kesho hiyo shule watoto wakifeli bado mtalaumu walimu sio poa kabisa
Na muda mwingine walimu nao wanazingua, kila mwezi shule zinapelekewa capitation, kuna fungu la ukarabati na fungu la manunuzi ya vifaa....wangeweza kutengeneza samani za ofisi ya walimu.....Ila ukute Mwalimu mkuu kageuza hayo mafungu posho yake binafsi.

Hii Kada acha idharauliwe, kuna watu wabinafsi na wenye roho mbaya wamejazana humo
 
Na muda mwingine walimu nao wanazingua, kila mwezi shule zinapelekewa capitation, kuna fungu la ukarabati na fungu la manunuzi ya vifaa....wangeweza kutengeneza samani za ofisi ya walimu.....Ila ukute Mwalimu mkuu kageuza hayo mafungu posho yake binafsi.

Hii Kada acha idharauliwe, kuna watu wabinafsi na wenye roho mbaya wamejazana humo
Hizo capitation wanapewa walimu au anakabidhiwa mwalimu mkuu!
 
Hii hali ndio inafanya watu wachukie kazi ya ualimu na wengine waione ni kazi ya utumwa na inayo dharauliwa kabisa!

Hivi inakuwaje Mwalimu anaporwa kiti au dawati la kukali kisha anakwenda kupewa mwanafunzi?

Haki za walimu ziko wapi kwanini mnawadhalilisha na kutweza utu wao namna hii?

Kwanini hiyo Kamati na watendaji walishindwa kutafita meza au madawati halafu walimu wana adhibiwa kwa kukosa pa kukaa?

Hivi hawa walimu ilikuwa jukumu lao kutafuta madawati? Kwanini hawa walimu wasichukie hii kazi? Wamekosa nini hadi wapewe hii adhamu?

View attachment 2882400
Wameamua tu Hawa😂😂
 
Kwa Leo asamehewe....kazingua Yani🤣🤣🤣
Sasa anapoandika pumba zake hapa,walimu wamenyang'anywa madawati:
1. Walimu wana mamlaka gani ya kumuamurisha mtu kuwanunulia viti na meza? Na mpaka wanachukuwa madawati hayo,unadhani tatizo halikuongelewa?

2. Mwalimu amenyang'anywa na umati ulotajwa. Mnadhani mwalimu angepigana kupata sehemu ya kukaa?
3. Mwalimu aliona nidhamu kwanza,acha watoto wakae,pamoja na kwamba amedhalilishwa. Ila,viongozi wote hao waliomnyang'anya nani kati yao ana akili sawa!
4. Kama kweli hao viongozi wanajitambua,si wangechangisha hata kwa wazazi mia tano mia tano, wakaongezea michango yao,wakachangisha hata wafanyabiashara na taasisi mbali mbali, wangekosa viti na meza vya walimu!!!!

Walimu hao hawana kosa,na walifanya vizuli ikajulikana uongozi wao unafanya nini.
 
Back
Top Bottom