Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Unafaa kuitwa mpu.mbavuMapoyoyo hai walimu. Wanashindwa kuwatafutia madawati wanafunzi qanajitafutia wao?
Hao wangechapwa na fimbo juu.
Hao ndiyo walimu wanaofundisha wanafunzi ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafaa kuitwa mpu.mbavuMapoyoyo hai walimu. Wanashindwa kuwatafutia madawati wanafunzi qanajitafutia wao?
Hao wangechapwa na fimbo juu.
Hao ndiyo walimu wanaofundisha wanafunzi ujinga.
Sasa hapa, unadhani kweli walimu hawakuripoti ugumu wanaopitia? Hio kamati,haijui! Sema tu pesa za serikali zilishapigwa mnada,kila kona ikifika watu wana chao,walimu labda ukute siku moja wanatengewa chai na mandazi,hafu ripoti inaandikwa wametumia milioni 10 kuwasaidia chai walimu.Inaingizwa kwenye AC ya shule, Mwalimu mkuu, mhasibu na mwenyekiti wa kamati ya shule ndio wanaweza kuiaccess....
Matumizi yanapitishwa na kamati ya shule na vikao vya walimu.
Mapoyoyo hai walimu. Wanashindwa kuwatafutia madawati wanafunzi qanajitafutia wao?
Hao wangechapwa na fimbo juu.
Hao ndiyo walimu wanaofundisha wanafunzi ujinga.
Wewe una roho kama ya wa-Taleban. Nadhani una asili ya huko.Mapoyoyo hai walimu. Wanashindwa kuwatafutia madawati wanafunzi qanajitafutia wao?
Hao wangechapwa na fimbo juu.
Hao ndiyo walimu wanaofundisha wanafunzi ujinga.
Hamna wa kumlalamikia, pesa ukute imeliwa na Mwalimu mkuu Kwa kushirikiana na maafisa wilayani.....huwa wanaimpose vimichango vya ajabu ajabu kutoka kwenye hiyo capitation.Sasa hapa, unadhani kweli walimu hawakuripoti ugumu wanaopitia? Hio kamati,haijui! Sema tu pesa za serikali zilishapigwa mnada,kila kona ikifika watu wana chao,walimu labda ukute siku moja wanatengewa chai na mandazi,hafu ripoti inaandikwa wametumia milioni 10 kuwasaidia chai walimu.
Binafsi naona hao walimu wa kawaida hawana kosa lolote,wamedhalilishwa na uongozi wao.
Ila kama alivyosema mtu mmoja kapa,maboss kama ni wengi,hawajui wamlilie nani.
Wangemuandikia barua Waziri mkuu Kassim tuone kama pesa zilizoliwa hazijarudishwa na meza na viti wakanunuliwa.
Hivi gari la milioni 60 land cruiser halifikishi wakubwa kwa wakati mpaka v8?Halafu DED ananunua gari la Mil 600 nchi ya vichaa
[emoji16][emoji16]Kuna muda unaongeaga ujinga sana wewe bibi
Tatizo la walimu wetu hapa nchini walisha ambiwa kuwa mtaaani Kuna walimu wengi kwamba ukidai haki zako unaweza poteza kazi,na walimu wetu walio wengi wanaamini kuwa hawawezi ishi bila kazi ya ualimu, sasa unakuta walimu wengi wanadhalilishwa , Kila mtu anajidai boss anatoa maagizo ambayo hayana miguu Kwa mwalimu wa Tanzania,na wenyewe wako kama mazombi tu Kila kitu kwao ni YES papaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].View attachment 2882428
My Take
Sitaki kuzungumzia uhaba wa samani kwa sababu ni jambo linalojulikana.
Najiuliza Ilikuwaje walimu wakakubali na kuruhusu kunyang'anywa madawati? Mbona walimu inakuwa kada ya kinyonge sana? Nini kinafanya muwe na unyonge wa kijinga
Ndu tuna watu wapumbavu nchi hiii mpaka hasira Yani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pamoja na kumchukulia Samia fomu ya ugombea
Nakazia,na wachawi wamejazana kwenye hii kada ya ualimuNa muda mwingine walimu nao wanazingua, kila mwezi shule zinapelekewa capitation, kuna fungu la ukarabati na fungu la manunuzi ya vifaa....wangeweza kutengeneza samani za ofisi ya walimu.....Ila ukute Mwalimu mkuu kageuza hayo mafungu posho yake binafsi.
Hii Kada acha idharauliwe, kuna watu wabinafsi na wenye roho mbaya wamejazana humo
Tena ukitaka urogwe jifanye unafuatilia hizo capitation [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo capitation wanapewa walimu au anakabidhiwa mwalimu mkuu!
Habari ya upande mmoja hii itawachanganya sana katika kutoa maoni!View attachment 2882428
My Take
Sitaki kuzungumzia uhaba wa samani kwa sababu ni jambo linalojulikana.
Najiuliza Ilikuwaje walimu wakakubali na kuruhusu kunyang'anywa madawati? Mbona walimu inakuwa kada ya kinyonge sana? Nini kinafanya muwe na unyonge wa kijinga
Shida Hawana viongozi wakuwasemea wapo wahuni wapiga Dili 2% ya mshahara wa mwalimu tuWalimu wanadharaulika sana
Lakini wenyewe hawakomi
Ova
Ndo maana JPM kuna watu wengi kufa kwake, kumeendekeza shida zisizo na kikomo. Majaliwa asome na akawasaidie wanyonge haoTena ukitaka urogwe jifanye unafuatilia hizo capitation [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]