Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaandika hivi sababu utaratibu wa kununua madawati hatuna ufahamu nao.Waweza kuta walikula hela ya kununulia samani za shule na hapo wamewajibishwa.
Walimu wanalo jukumu la kuijulisha serikali kuhusu mahitaji yao ya vitendea kazi, wasijibwatike huku wakivizia madawati ya wanafunzi ambayo hupelekwa kulingana na idadi ya wanafunzi, hapa si jukumu la wanafunzi kuwaombea viti na meza walimu.Wewe ni mpumbav..kwa kiwango cha lami.
Mwalimu hana jukumu la kununua vifaa vya shule, hiyo ni kazi ya serikali
Huzuni sanaHalafu DED ananunua gari la Mil 600 nchi ya vichaa
Huruma sanaWalimu watakuwa hawajui haki zao
Sio jukumu la mwalimu kuomba meza wala kiti...acha ufala.Walimu wanalo jukumu la kuijulisha serikali kuhusu mahitaji yao ya vitendea kazi, wasijibwatike huku wakivizia madawati ya wanafunzi ambayo hupelekwa kulingana na idadi ya wanafunzi, hapa si jukumu la wanafunzi kuwaombea viti na meza walimu.
Ila kuna mpuuzi mmoja anatembelea gari za million 700 bila tabu tena sio mojaWalimu wanalo jukumu la kuijulisha serikali kuhusu mahitaji yao ya vitendea kazi, wasijibwatike huku wakivizia madawati ya wanafunzi ambayo hupelekwa kulingana na idadi ya wanafunzi, hapa si jukumu la wanafunzi kuwaombea viti na meza walimu.
Huruma sanaSio jukumu la mwalimu kuomba meza wala kiti...acha ufala.
Ni kazi ya serikali kujenga ofidi yenye fanicha zote.
Huwezi kuita ofisi bila kuwa na viti.
Nchi hii ina watu wenye upeo mdogo wanapitwa hata na panya.Huruma sana
Sisi na ujinga wetu wa akina Lucas Mwashambwa tunaona ufahari na kushangilia.Ila kuna mpuuzi mmoja anatembelea gari za million 700 bila tabu tena sio moja
This is not rightMapoyoyo hai walimu. Wanashindwa kuwatafutia madawati wanafunzi qanajitafutia wao?
Hao wangechapwa na fimbo juu.
Hao ndiyo walimu wanaofundisha wanafunzi ujinga.
Tatizo ni walimu hawajui kudai haki zaoTatizo la walimu wetu hapa nchini walisha ambiwa kuwa mtaaani Kuna walimu wengi kwamba ukidai haki zako unaweza poteza kazi,na walimu wetu walio wengi wanaamini kuwa hawawezi ishi bila kazi ya ualimu, sasa unakuta walimu wengi wanadhalilishwa , Kila mtu anajidai boss anatoa maagizo ambayo hayana miguu Kwa mwalimu wa Tanzania,na wenyewe wako kama mazombi tu Kila kitu kwao ni YES papaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mpumbavu huyo, mwalimu ana uwezo gani wa kununulia wanafunzi madawati? Ni jukumu la waalimu kununua madawati ya shule? Huyo Bibi hamnazo.Kuna muda unaongeaga ujinga sana wewe bibi
Anajitoaga sana ufahamu huyoMpumbavu huyo, mwalimu ana uwezo gani wa kununulia wanafunzi madawati? Ni jukumu la waalimu kununua madawati ya shule? Huyo Bibi hamnazo.
Wangekubali wanang'anywe madawati lakini wao wangeenda shuleni asubuhi kuripoti then unarudi nyumbani kwako ili upate pa kukaa kwasababu hakuna sehemu ya kukaa shuleniSasa kwa mfano kwa tukio hili wangeliwapiga wana kamati?