Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
- Thread starter
- #121
Kibaya zaidi wakiacha kuingia darasani wanafukuzwa kazi na hao wakurugenzi …hivi kweli mwalimu gani atapenda watoto wafaulu?Hata kama mnadharau walimu ifike mahala waheshimike jamani.Upokonye walimu madawati ya kukalia kweli?Kosa ni Lao au la serikali?Kwa hiyo mitihani ya wanafunzi wanasahisha wakiwa wamekaa sakafuni au juu ya vitabu? Watu wanawafundishia watoto badala muwathamini mnawadharau,na wakiacha kuingia darasani?HII NI DHARAU KUBWA MNO KWA WALIMU NA WALIOFANYA HIVYO WACHUKULIWE HATUA